Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Acha kupotosha. Washindwe kuwaonea huruma watu wanaouwawa kila siku Sudan na kikundi cha kigaidi cha kiislamu. Waje wawaonee huruma magaidi wa October 7?
Hizo nchi zimeingilia? Wanachokifanya hayo mataifa kwenye media wanajifanya wanawaonea huruma ila nje ya media. Wanamwambia Israel peleka moto na misaada wanatoa kwa Israel.
Ona unavyoongea ufala.
Nahisi naongea na kijana wa balehe anayeropoka hapa.
Una ushahidi wa Spain kumwambia Israel kisirisiri aendelee kuua Palestina!?
Brazil,Spain,Colombia zote zimefunga balozi za Israel nchini mwao,je huo ni mchezo!?
Katika upigaji kura mataifa asilimia 70 yamepiga kura kuitambua Palestina kuwa nchi huru je huo ni mchezo!?
Mataifa mengi ikiwemo Spain,Belgium na Norway zimeungana na kukubali Israel ishitakiwe ICJ je huo ni mchezo!?

Kinachoendelea Sudan sio vita za Udini ni za ukabila na UCHU WA MADARAKA baina ya RSF na jeshi ku la Sudan.Hilo ni suala la wenyewe kukaa ndani kulimaliza,na raia wameungana na jeshi la serikali dhidi ya kundi la RSF.
Unaropoka ufala ufala hapa huna unalolijua!?
Suala la Palestina ni la KIMATAIFA.
Nenda kajifunze kama huna kitu kichwani usoni quote huwa sijadili na vilaza.
 
Nanukuu: "Mkikung'utwa hivyo ndo mnakimbilia kulialia eti tumechokozwa"
Ndo zao hizo bro. Wameshasahau kwamba juzi tu kushinda jana walitamba sana kuipiga Tel aviv na kusababisha Hasara kubwa, majeruhi na kifo kwa kutumia drone janja -eti rada za IDF hazikuona..
Safari hii hawakutaja Wazee, akina mama na Watoto. Ila wamewanyoshea vidole Waarabu wenzao eti Egypt, Jordan, UAE na Saudi Arabia lakini kama kawaida hawakumsahau US na UK.
Hayo mataifa kuhusika yanahusika.
Kwasababu hata kuyadungua yale makombora ya Iran yaliyorushwa kwenda Israel Jordan,Saudi Arabia,UK na USA walihusika na ushahidi upo.
Kutoka Israel hadi Yemeni ni zaidi ya 1000kms hizo f35 hazina uwezo wa kwenda na kugeuza tu pasi na kuishiwa mafuta.
Hapo ni bandari moja wapo ya hizo nchi za kiarabu zimetumika.
 
Hayo mataifa kuhusika yanahusika.
Kwasababu hata kuyadungua yale makombora ya Iran yaliyorushwa kwenda Israel Jordan,Saudi Arabia,UK na USA walihusika na ushahidi upo.
Kutoka Israel hadi Yemeni ni zaidi ya 1000kms hizo f35 hazina uwezo wa kwenda na kugeuza tu pasi na kuishiwa mafuta.
Hapo ni bandari moja wapo ya hizo nchi za kiarabu zimetumika.
Houth watafuatilia na kugundua wanafiki wa kiarabu.
 
Nimefuatilia online, Yemen imewaka moto sio mchezo, na uhakika, Israel ikiipiga Yemen hivyo tena, hiyo bandari na mapato ya Houthi yanapotea kabisa na watakwisha kabisa Hauthi
 
Nimefuatilia online, Yemen imewaka moto sio mchezo, na uhakika, Israel ikiipiga Yemen hivyo tena, hiyo bandari na mapato ya Houthi yanapotea kabisa na watakwisha kabisa Hauthi
Israhell inaenda kula kipigo kizito nisuala la muda tuuu
Israhell ya kwenye media inatisha sana kuliko hii yenyewe
 
Ndugu yangu unachukuliwa vita kama maigizo, hizo nchi za kiarabu na Afrika wakapigane na Israel kwa sababu ipi? kama drone za Yemen zinafika Israel wao IDF wanashindwaje kufika Yemen? Mbona akili zako ndogo , kama una akili kweli unaweza kuvamia nuclear states? Wewe dini inakusumbua, njoo tuwatetee wasidhani, wakongo wanaopigana, achana na mambo ya waarabu na wayahudi, kweli kama una akili Yemen ndo wakupiga Israel na kuishinda?
Umeuliza maswali fikirishi. Kwa mfano, kama ndege za Yemen ziliweza kufika Israel na kushambulia, ndege za Israel zitashindwa kufika Yemen? Ikumbukwe pia kwamba mwaka 1976 Wayahudi waliweza kwenda mpaka Entebbe, Uganda, kuokoa mateka kwa kutumia utaalamu wa enzi hizo. Sasa utaalamu umeongezeka sana. Watashindwa kwenda Yemen ambapo ni karibu zaidi?
 
Umeuliza maswali fikirishi. Kwa mfano kama ndege za Yemen ziliweza kufika Israel na kushambulia, ndege za Israel zitashindwa kufika Yemen? Ikumbukwe pia kwamba mwaka 1976 Wayahudi waliweza kwenda mpaka Entebbe, Uganda, kuokoa mateka kwa utaalamu wa enzi hizo. Sasa utaalamu umeongezeka sanawakakaa hapo uwanjani kwa dakika 90
Ndege zina utofauti,hizo walizodau kutumia Israel zinakula mafuta mbaya,kwa umbali ule sharti zitue sehemu zijaze Tena mafuta,tofauti na ndege ya usafiri waliyotumia Entebbe, houthi walitumia drone,ambazo si lazima zitumie mafuta
 
Israhell inaenda kula kipigo kizito nisuala la muda tuuu
Israhell ya kwenye media inatisha sana kuliko hii yenyewe


Unajipa moyo huongei uhalisia, dini inakusukuma kuongea hayo usemayo, kama umeona juzi moto alioupata Houthi huwezi ongea hayo, na bado Israel kasema wazi anaendelea kuwapiga Houthi na vitega uchumi vyake vyote hadi viteketee kabisa, na Myahudi akisema anatekeleza zaidi ya aliyosema, Houthi sasa watajutia na kuteketezwa kabisa
 

Attachments

  • IMG_8437.png
    IMG_8437.png
    753.4 KB · Views: 4
  • IMG_8432.jpeg
    IMG_8432.jpeg
    299.6 KB · Views: 3
  • IMG_8435.jpeg
    IMG_8435.jpeg
    40.2 KB · Views: 3
  • IMG_8434.jpeg
    IMG_8434.jpeg
    34.9 KB · Views: 4
Ndege zina utofauti,hizo walizodau kutumia Israel zinakula mafuta mbaya,kwa umbali ule sharti zitue sehemu zijaze Tena mafuta,tofauti na ndege ya usafiri waliyotumia Entebbe, houthi walitumia drone,ambazo si lazima zitumie mafuta
Israel Ili wafike Yemen walikuwa na Ndege ya kujaza mafuta kwenye ndege za aina ya F35. Wayemen Drone walizirusha tokea nchi jirani na Israel(drone zinatumia Battery kama simu)
 

Attachments

  • IMG_8429.jpeg
    IMG_8429.jpeg
    18.7 KB · Views: 2
  • IMG_8431.png
    IMG_8431.png
    50.2 KB · Views: 2
Una chuki sana na wakristo, pole na sonona
Mimi sina chuki na wakristo na marafiki wengi sana wakristo ambao misimamo yao kama kina Putin, commander Robert Mgabe R.I.P, Magufuli na M7.

Ama vikristo njaa kama nyie huwa ndio na matatizo nao na ndio vinahisi navichukia.
 
Umeuliza maswali fikirishi. Kwa mfano, kama ndege za Yemen ziliweza kufika Israel na kushambulia, ndege za Israel zitashindwa kufika Yemen? Ikumbukwe pia kwamba mwaka 1976 Wayahudi waliweza kwenda mpaka Entebbe, Uganda, kuokoa mateka kwa kutumia utaalamu wa enzi hizo. Sasa utaalamu umeongezeka sana. Watashindwa kwenda Yemen ambapo ni karibu zaidi?
Yaani umeona jamaa kauliza maswali fikirishi ila wewe umeshindwa kujiuliza maswali fikirishi
Kama yemen wameweza kupiga mara ya kwanza wanashindwa kupiga tena ikibidi?
Pia ukashindwa kujiuliza kama mwaka huo ulotaja waliweza kwenda entebeee ila mwaka huu wanashindwa kuokoa watu wao hapo jirani yao ghaza
Israhell ya kwenye media na story book za kutunga inatisha sana sio kama hii ya uhalisia
 
Israhell inaenda kula kipigo kizito nisuala la muda tuuu
Israhell ya kwenye media inatisha sana kuliko hii yenyewe
Israel mdebwedo ile mbaya! Ata Nyanya wanazotumia wanaagiza toka Ilula Iringa😁
 

Attachments

  • IMG_8432.jpeg
    IMG_8432.jpeg
    299.6 KB · Views: 1
  • IMG_8438.jpeg
    IMG_8438.jpeg
    236 KB · Views: 3
  • IMG_8439.jpeg
    IMG_8439.jpeg
    342.7 KB · Views: 2
Hayo mataifa kuhusika yanahusika.
Kwasababu hata kuyadungua yale makombora ya Iran yaliyorushwa kwenda Israel Jordan,Saudi Arabia,UK na USA walihusika na ushahidi upo.
Kutoka Israel hadi Yemeni ni zaidi ya 1000kms hizo f35 hazina uwezo wa kwenda na kugeuza tu pasi na kuishiwa mafuta.
Hapo ni bandari moja wapo ya hizo nchi za kiarabu zimetumika.
OK bro. Kwani kuna mahali imekatazwa Israeli asiungwe mkono? Vita ni mbinu. Kulalamika kwamba amesaidiwa na fulani na fulani ni ule mchezo wa kitoto enzi zetu zile eti mkipigana ngumi huko shuleni "hakuna kuchangia" "Hakuna kukamatia chini" n.k. Hapa Kinachangaliwa au Tathmini hapo ni End results. Je, adui kapigwa kama ilivyokusudiwa? Hoja ya IDF kapita wapi, kasaidiwa na nani hiyo watajua wenyewe. Kwani IDF hawana kikosi cha marines (nyambizi)? Tukisema eti
"Kwasababu hata kuyadungua yale makombora ya Iran yaliyorushwa kwenda Israel Jordan,Saudi Arabia,UK na USA walihusika na ushahidi upo."
Si na wao pia ni Ruksa watumie mbinu hiyo? Waache kulialia hapa.
 
Nanukuu: "Mkikung'utwa hivyo ndo mnakimbilia kulialia eti tumechokozwa"
Ndo zao hizo bro. Wameshasahau kwamba juzi tu kushinda jana walitamba sana kuipiga Tel aviv na kusababisha Hasara kubwa, majeruhi na kifo kwa kutumia drone janja -eti rada za IDF hazikuona..
Safari hii hawakutaja Wazee, akina mama na Watoto. Ila wamewanyoshea vidole Waarabu wenzao eti Egypt, Jordan, UAE na Saudi Arabia lakini kama kawaida hawakumsahau US na UK.
Israel walikuwa wanawatafutia Sababu... Walipoona Hiyo Drone aina Madhara makubwa(kutokana na eneo ilipokuwa inaelekea- USA Embassy building) wakaiacha 🤣 Wao wakaona wamelamba Bingo!! Shambulio Moja tu Yemen Kwishney- Wayemen Awana akili ata kidogo walitakiwa kusaidia Palestina kwa misaada ya kibinadamu lakini sio hivyo wanavyofanya wao. Israel ukiwachokonoa lazima wakujibu na uwa lazima walipe kisasi ata kama miaka 100 ijayo
 

Attachments

  • IMG_8443.jpeg
    IMG_8443.jpeg
    187.3 KB · Views: 1
  • IMG_8442.jpeg
    IMG_8442.jpeg
    27.3 KB · Views: 2
  • IMG_8441.jpeg
    IMG_8441.jpeg
    25.4 KB · Views: 3
  • IMG_8440.png
    IMG_8440.png
    82.8 KB · Views: 2
Unajipa moyo huongei uhalisia, dini inakusukuma kuongea hayo usemayo, kama umeona juzi moto alioupata Houthi huwezi ongea hayo, na bado Israel kasema wazi anaendelea kuwapiga Houthi na vitega uchumi vyake vyote hadi viteketee kabisa, na Myahudi akisema anatekeleza zaidi ya aliyosema, Houthi sasa watajutia na kuteketezwa kabisa
Unadhani mie naendeshwa kama nyie LGBTQ+?
Nimekwambia uhalisia kama huamini utaona
Kushambuliwa washashambuliwa sana matokeo yake yapi?
Red sea wameipiga pini bandari ya Eliat imekua bunkcrupt kisa mizigo haifiki alozuia mizigo nani
Mukiwa munabishana musipende kukurupuka
 
OK bro. Kwani kuna mahali imekatazwa Israeli asiungwe mkono? Vita ni mbinu. Kulalamika kwamba amesaidiwa na fulani na fulani ni ule mchezo wa kitoto enzi zetu zile eti mkipigana ngumi huko shuleni "hakuna kuchangia" "Hakuna kukamatia chini" n.k. Hapa Kinachangaliwa au Tathmini hapo ni End results. Je, adui kapigwa kama ilivyokusudiwa? Hoja ya IDF kapita wapi, kasaidiwa na nani hiyo watajua wenyewe. Kwani IDF hawana kikosi cha marines (nyambizi)? Tukisema eti
"Kwasababu hata kuyadungua yale makombora ya Iran yaliyorushwa kwenda Israel Jordan,Saudi Arabia,UK na USA walihusika na ushahidi upo."
Si na wao pia ni Ruksa watumie mbinu hiyo? Waache kulialia hapa.
Mkuu siasa za middle east naona itakua zinakuchanganya.
Pia kitendo cha hao waarabu kumsaidia Israel ni uhaini ama usaliti.
Na Yemeni ikimnasa yule sahihi aliyehusika awashiwe moto.
Mbona Yemeni ilishambulia directly mpaka Tel Aviv!?
 
Back
Top Bottom