Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Israel uchumi uliyumba March mwaka huu kiasi walipunguza askari kurudi kutoka vitani.
USA na UK wanawapa unconditional loans and grants Israel ili kuokoa uchumi wao na kuendesha nchi yao.
Hilo hulijui ndio maana unaongea unayoongea.
Ingekuwa Israel inajiendesha yenyewe kifedha kwa hii vita ya Gaza isingefika popote pale.
Waliyumba kidogo sana, ila sasa ni Mpeto tu kwa kwenda mbele! Atulopoki na atuna mehemko Ukweli lazima usemwe
 

Attachments

  • IMG_8446.jpeg
    IMG_8446.jpeg
    215.1 KB · Views: 2
Waliyumba kidogo sana, ila sasa ni Mpeto tu kwa kwenda mbele! Atulopoki na atuna mehemko Ukweli lazima usemwe
Wamerudi sawa kiuchumi kwasababu ya UNCONDITIONAL LOANS AND GRANTS kutoka USA.
USA na UK wamepeleka fedha nyingi sana Israel tokea March ambako uchumi ulianza kudorora.
Labda kama hukufuatilia.
Embu soma kwa uelewa.
Bimaana Israel pasi na sapoti ya USA na UK si lolote wala chochote.
 
Israel Ili wafike Yemen walikuwa na Ndege ya kujaza mafuta kwenye ndege za aina ya F35. Wayemen Drone walizirusha tokea nchi jirani na Israel(drone zinatumia Battery kama simu)
Drone na makombora yote ya Yemeni vimerushawa kutokea Hodeidah wala sio nchi jirani.
Usipotoshe kijana.
Nchi jirani ni Syria ama Lebanon.
Na huko Houthi hawana presence yeyote ile.
Sasa sijui nchi jirani ipi unaizungumzia!?
 
Wamerudi sawa kiuchumi kwasababu ya UNCONDITIONAL LOANS AND GRANTS kutoka USA.
USA na UK wamepeleka fedha nyingi sana Israel tokea March ambako uchumi ulianza kudorora.
Labda kama hukufuatilia.
Embu soma kwa uelewa.
Bimaana Israel pasi na sapoti ya USA na UK si lolote wala chochote.
Houthi na makundi mengine ya kigaidi pasina support ya Iran si lolote.
 
Houthi na makundi mengine ya kigaidi pasina support ya Iran si lolote.
Hayo ni makundi ila Israel ni taifa.
Je kuna mfanano hapo!?
😂😂😂😂😂😂
Na ukitizama hata wasapoti wao ni tofauti.
Israel anaungwa mkono unconditionally na USA na UK.
Ila hao uliowataja msapoti wao ni Iran peke yake,taifa ambalo linatoa sapoti kimipaka.
Maana Iran yenyewe inapitia magumu.
 
Wamerudi sawa kiuchumi kwasababu ya UNCONDITIONAL LOANS AND GRANTS kutoka USA.
USA na UK wamepeleka fedha nyingi sana Israel tokea March ambako uchumi ulianza kudorora.
Labda kama hukufuatilia.
Embu soma kwa uelewa.
Bimaana Israel pasi na sapoti ya USA na UK si lolote wala chochote.
Sawa Umeshinda Chagua mji
 
Hayo ni makundi ila Israel ni taifa.
Je kuna mfanano hapo!?
😂😂😂😂😂😂
Na ukitizama hata wasapoti wao ni tofauti.
Israel anaungwa mkono unconditionally na USA na UK.
Ila hao uliowataja msapoti wao ni Iran peke yake,taifa ambalo linatoa sapoti kimipaka.
Maana Iran yenyewe inapitia magumu.
Mfanano upo lakini indirectly kwa sababu Makundi tajwa yapo kwenye nchi na nchi hizo zinayakumbatia na kwa jinsi hiyo nchi yote inajumuishwa kama ndo inashambulia. e.g. HAMAS Wapo Palestina(Gaza) lakini Palestina haiwakatai, Houthi wapo Yemen na Yemen haiwakatai; kwa mantiki hiyo Yemen inajumuishwa kwamba ni Adui na inapigwa.
Iran ni mjanja anawasakizia Waarabu wenzake yeye katulia zake anaangalia ngoma inavyochezwa. Kutoa silaha au materials nyingine za kivita sio hoja sana kwani silaha na vitu bila Watu-Wapambanaji ni kazi bure. Iran anatoa mafunzo/anawafundisha mbinu lakini wanaofundishwa watafundishwa zaidi na IDF kwenye uwanja wa vita halisi.
 
"Projecting power with the F-35 (part 2): going further | The Strategist" Projecting power with the F-35 (part 2): going further | The Strategist

Hazitoboi 1500km bila kujaza mafuta, Israel-yemen 2209km,kwenda na kurudi 4418,ndiyo maana houthi wamesema watazitwanga nchi zote za kiarabu Egypt,saudia na marekani kwa kuwasaidia Israel
Mmmmm! Naona sasa Houthi amechanganyikiwa mazima.Eti atazitwanga nchi zote za kiarabu na Marekani? -Hahaha Houth wapo hapo kwa Mjomba wao Yemen. Kwa maneno rahisi ni kwamba wamejihifadhi hapo na wanaletewa mahitaji na Iran. Wamejisahau siku Yemen akisema " Funga mguu -Ondokeni" hawana pa kwenda vinginevyo waliamshe dhidi ya Yemen (nchi yao wenyewe) na watahesabika kama kundi la Waasi wa kiHouthi linaloungwa mkono na Iran.
 
Mmmmm! Naona sasa Houthi amechanganyikiwa mazima.Eti atazitwanga nchi zote za kiarabu na Marekani? -Hahaha Houth wapo hapo kwa Mjomba wao Yemen. Kwa maneno rahisi ni kwamba wamejihifadhi hapo na wanaletewa mahitaji na Iran. Wamejisahau siku Yemen akisema " Funga mguu -Ondokeni" hawana pa kwenda vinginevyo waliamshe dhidi ya Yemen (nchi yao wenyewe) na watahesabika kama kundi la Waasi wa kiHouthi linaloungwa mkono na Iran.
Houthi ni wayemen,Ila kidhehebu ni shia, ndiyo mafungamano na Iran yalipo
 
Unaamini Houthi ana uwezo wa kumpiga Misri au Saudia?
Saudia si alikua na ugomvi na houthi juzi tu,houthi wakapiga miundombinu yake ya mafuta kwa drone, saudia akaomba majadiliano na ugomvi ukaisha,shida ya houthi hawana Cha kupoteza,fikiria washushe makombora Cairo
 
Back
Top Bottom