Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Wamelipiza kisasi wamelipua Eilat.
Au huna habari??
Ufia dini si kitu kizuri
Dini inayokufanya kuwa liongo,lizushi,lijuaji, na mambo mengine kuhusiana na hayo achana nayo.
Haikuingii akilini kuwa humu kuna great thinkers?
Kwamba great thinkers wa humu hatuna uwezo wa kuanalyze kuwa huu ni uzushi na hii ni pumba?
Kwamba wewe peke yako ndo unajua kwamba ellat ilipigwa?
Hebu yasome maandiko yako halafu ujifanyie assessment kama unajivua nguo ama la!
 
"Houthis target Israeli city of Eilat in wake of Yemen port attack | World News | Sky News" Houthis target Israeli city of Eilat in wake of Yemen port attack
 
Wapi kwenye hii link ellat imeripuliwa?
Au kuwadanganya wasioamini si dhambi?
Ripoti zingine zilisema raia walisikia milipuko Eilat,means ilikua mingi ikisadiki ripoti ya houthi kwamba wameshambulia kwa makombora na si kombora moja Kama madai ya IDF,pili ni kwamba yalitua Eilat maana raia walisikia milipuko,tatu ni kweli houthi walishambulia Israel baada ya kushambuliwa, tofauti na dhana yenu kwamba walinywea
 
Hebu tupe link tujiridhishe,
Once again, UONGO NI DHAMBI
 
aisee Israel inajua kuchapa nasikia mpaka leo jamaa Bado hawajazima moto bandarini,netanyahu kashika korodani za wahouth.
Hivi mHouthi huwa analiaje kwa sauti anapozidiwa??☹️😒
 
Tuongee ukweli...
Mkwawa na Wakoloni wa Kijermani ni nani alikuwa mkorofi...?
 
Wewe kijana ni punguani.
Umepewa link ya Skynews bado unakikataa!?
Halafu unazungumza mambo mengi ambayo ni useless,baseless and factless.
Unadhani hapa tunabishana Udini!?
Je kuna sehemu nimesema nabishana kisa dini?
Tunabishana ama tunaeleweshana na kufahamishana!?
Embu kua kiakili acha uvulana.
 
Mkwawa!!! πŸ–
Ndiyo....namaanisha.
Mkwawa (Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga) 1855 – 19 Julai 1898.
Alikuwa mtemi na kiongozi mkuu wa kabila la Wahehe na alipigana vita against ukoloni wa Ujerumani.

Je.. Nani alikuwa mkorofi kati ya Ukoloni wa German na Mkwawa..?
 
Wewe ndo umeanzisha mada ya kubishana.
Base yangu kuongelea dini ni kusimama katika ukweli kuwa kama ufia dini wako unakufanya kuwa liongo,lizushi na libishi basi hiyo dini haikufai.
Kama gt nimejipa muda kusoma na kuangalia kweli kama hiyo link inaongelea eillat kulipuliwa na houth na nikajiridhisha beyond reasonable doubt kama umeongopa.
Nakutahadhalisha kuwa usijisahau tunakusoma jinsi ulivyo either positively or negatively kupitia mabandiko yako.
Usipoteze credibility ukajivua nguo mbele ya waungwana kwa sababu ya ufia dini.
Wasalaam
Kuniita punguani ni dalili ya kutumia nguvu kujibu hoja badala ya kutoa hoja ya nguvu
 
Baki na dini yako tuache wakristo tumfate kristo Yesu mwokozi wetu. Sisi tunachnokiamimi ni sahihni zaidi kwetu na wewe unachokiamini ni sahnihi zaidi kwako. Oil?a mtu afate chake, tatizo liko wapi? Chuki hbazina mwingi, wasaidieni waislamu wenzenu wamjue Mungu zaidi.
 
Mimi unadhani natishika na wakristo πŸ˜„ 3=1 hata mimi nikisema Mungu yuko na mimi na kuwa 3=1 anzeni kunita na mimi Mungu vichaa kweli nyie.

Mimi huwa sipendi kurudia nilicho kiongea wakristo ambao kidogo nao waheshimu ni wale wanao amini Israeli ni taifa haramu.

Ama nyie vilaza bakini na mjinga aliye kosa nyumba akalala chini ya mti, usingizi ulimvyo mchukua akamuota shetani akadhani kamuota Yesu πŸ˜„
 
Wewe Mohammed ni nani? Kwa kiboko ya wachawo wamejaa waislamu, kwa mamposa wamejaaa waislamu? Mnahangajika sanaa. Masheikh wamejaa uganga na majini
 
Unachekesha sana na uharo wako.😁😁😁
Kujua kusoma kiarabu nawe unajifanya mpalestina?
Acha wapigwe wapalestina mpk wachakae na mpaka wamtaje aliyewatuma october 7.
Sina msaada nao na wala siwezi kuwaonea huruma. Ndugu zangu wapo hapo Sudan wanauwawa na hao waarabu waislamu.
Pmbv zako.
 
Kama Rusia anasaidiwa na Iran Korea ,hivyo hakuna tatizo kwa Israel kusaidiwa na hao sawala na ushindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…