Israel yashambulia Rafah na Hamas, wapiga mji wa mpakani wa Sderot

Israel yashambulia Rafah na Hamas, wapiga mji wa mpakani wa Sderot

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baada ya kumalizika kwa usitishaji wa vita kwa muda wa wiki moja na ubadilishanaji wa mateka vita vimeanza upya kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas.

Katika ngwe hii mpya na katika hai ya kushangaza Hamas wamefanikiwa kurusha makombora kutoka kaskazini ya Gaza na kuyavurumisha kusini ya Israel karibu kabisa na mpaka wa Gaza.Kwa upande wake Israel wameanza kwa kushambulia mji wa Rafah ulio mpkakani na Misri.
 
Baada ya kumalizika kwa usitishaji wa vita kwa muda wa wiki moja na ubadilishanaji wa mateka vita vimeanza upya kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas.
Katika ngwe hii mpya na katika hai ya kushangaza Hamas wamefanikiwa kurusha makombora kutoka kaskazini ya Gaza na kuyavurumisha kusini ya Israel karibu kabisa na mpaka wa Gaza.Kwa upande wake Israel wameanza kwa kushambulia mji wa Rafah ulio mpkakani na Misri.
ripoti hv hv baadae usianze sema fulan anaua watoto , ss hv anarusha ndan ya Israel ambako watoto wapo pia
 
Hawa Hamas sijui ni watu wa aina gani!
Hii nafasi waliyoipata ya kuzungumza na Israel wangeitumia kutafuta muafaka na hatima yao kama taifa.

Sasa hivyo vikombora vya kurusha na kukimbia wanategemea vipeleke ujumbe gani kwa hao mayahudi zaidi ya kuwatia hasira na kuibua maafa mengine kwa raia wasiokuwa na hatia!
 
Hawa Hamas sijui ni watu wa aina gani!
Hii nafasi waliyoipata ya kuzungumza na Israel wangeitumia kutafuta muafaka na hatima yao kama taifa.

Sada hivyo vikombora vya kurusha na kukimbia wanategemea vipeleke ujumbe gani kwa hao mayahudi zaidi ya kuwatia hasira na kuibua maafa mengine kwa raia wasiokuwa na hatia!
Wanapigana na adui wanayemjua na kujulishwa na aliyewaumba.Kama wataweza na hawataweza wawapige wawamalize.
Usitaraji kuwa utasikia eti Hamas wamesalimu amri.Watarusha vikombora vidogo vidogo na vitaleta madhara makubwa kwa Israel mpaka watashindwa kuendelea na vita.
Mtu dhalimu na mwenye kuhalalisha matendo maovu kama ushoga ataleta balaa na ukatili mkubwa lakini hata siku moja hatopewa ushindi.Kumbuka nguvu kubwa ya Marekani na hatimae alishindwa na adui aliyemdharau sana na baada ya miaka 20.
 
Wanapigana na adui wanayemjua na kujulishwa na aliyewaumba.Kama wataweza na hawataweza wawapige wawamalize.
Usitaraji kuwa utasikia eti Hamas wamesalimu amri.Watarusha vikombora vidogo vidogo na vitaleta madhara makubwa kwa Israel mpaka watashindwa kuendelea na vita.
Hakuna wa kutuzuia kuichukua gaza.
 
Wanapigana na adui wanayemjua na kujulishwa na aliyewaumba.Kama wataweza na hawataweza wawapige wawamalize.
Usitaraji kuwa utasikia eti Hamas wamesalimu amri.Watarusha vikombora vidogo vidogo na vitaleta madhara makubwa kwa Israel mpaka watashindwa kuendelea na vita.
Mtu dhalimu na mwenye kuhalalisha matendo maovu kama ushoga ataleta balaa na ukatili mkubwa lakini hata siku moja hatopewa ushindi.Kumbuka nguvu kubwa ya Marekani na hatimae alishindwa na adui aliyemdharau sana na baada ya miaka 20.
na hatutak fujo mitandaon mara KFC mara Biden , maana mmeamua kupigana piganen mpk mfike tamati na muachr kulia lia
 
Watoto wakiwaua sio mimi tu mataifa yote yameonesha kutokuwa tayari na habari hizo.
kama watoto wakiisrael wakiuawa na mabomu ya hamas bas kaen kimya mabomu ya idf yakijibu mapigo
 
Hawa Hamas sijui ni watu wa aina gani!
Hii nafasi waliyoipata ya kuzungumza na Israel wangeitumia kutafuta muafaka na hatima yao kama taifa.

Sada hivyo vikombora vya kurusha na kukimbia wanategemea vipeleke ujumbe gani kwa hao mayahudi zaidi ya kuwatia hasira na kuibua maafa mengine kwa raia wasiokuwa na hatia!
Israel ndo ange itumia vzuri..hapa ni jino kwa jino
 
kama watoto wakiisrael wakiuawa na mabomu ya hamas bas kaen kimya mabomu ya idf yakijibu mapigo
Mpaka leo hao watoto hawajajulikan ni wa nani.Waziri mkuu wa Spain alipooneshwa video wala haikumshtua akifikiria vifo vya wapalestina karibu 20000.
 
Yahudi wa buza kwa lulenge,,,, hivi mnajua lkn kama hawa jamaa hawataki shobo na nyie,,,
Walisema tukiingia Gaza patakuwa sehemu ya machinjo kwa jeshi letu, hadi sasa hakuna kitu baada ya IDF kuingia. Sinagogi limefunguliwa Gaza bado kanisa na hatuiachii tena Gaza hadi mwisho wa dunia.
 
Kama hadi sasa mapigano ya kivita yangekuwa bado yanatumia silaha za mapanga tu basi sidhani kama tungekuwa na hizi vita za kijinga kijinga zenye kugharimu maisha ya watu wengi wasiohusika moja kwa moja na hayo mapigano.

Dunia imekuwa na upumbavu mwingi sana, watu wako busy kubuni kila aina za silaha(na watu hushsbikia) na mwisho wake ndio haya tunapigana vita za kipumbavu zenye kugharimu maisha ya watu(na bado watu pia hushabikia).
 
Baada ya kumalizika kwa usitishaji wa vita kwa muda wa wiki moja na ubadilishanaji wa mateka vita vimeanza upya kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas.

Katika ngwe hii mpya na katika hai ya kushangaza Hamas wamefanikiwa kurusha makombora kutoka kaskazini ya Gaza na kuyavurumisha kusini ya Israel karibu kabisa na mpaka wa Gaza.Kwa upande wake Israel wameanza kwa kushambulia mji wa Rafah ulio mpkakani na Misri.
Haya magaidi ya Israel inabidi ya uwawe
 
Back
Top Bottom