The Fishport Prince
Senior Member
- Sep 25, 2023
- 135
- 305
Dah hii dunia mnasitisha vita kubadilishana watu sitini halafu mnalianzisha kuua mamia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hadi sasa mapigano ya kivita yangekuwa bado yanatumia silaha za mapanga tu basi sidhani kama tungekuwa na hizi vita za kijinga kijinga zenye kugharimu maisha ya watu wengi wasiohusika moja kwa moja na hayo mapigano.
Dunia imekuwa na upumbavu mwingi sana, watu wako busy kubuni kila aina za silaha(na watu hushsbikia) na mwisho wake ndio haya tunapigana vita za kipumbavu zenye kugharimu maisha ya watu(na bado watu pia hushabikia).
Yaan watu wanapambania nchi yao ww unawaita magaidi hicho kichwa chako kitakuwa kina matatizo israel wamehamia hilo eneo wamekuta wa palestine wapo miaka yote leo wanasema maandiko ya mungu yameandika hapo ndio eneo lao.
Wanapambana kwa njia za kigaidi ndio maana wanaitwa magaidi.Yaan watu wanapambania nchi yao ww unawaita magaidi hicho kichwa chako kitakuwa kina matatizo israel wamehamia hilo eneo wamekuta wa palestine wapo miaka yote leo wanasema maandiko ya mungu yameandika hapo ndio eneo lao.
Vita zisizo za kipumbavu ni zile ambazo hazigharimu maisha ya wasiohusika au kuwepo katika uwanja wa vita, unauwa raia wa kawaida tena watoto kwa wazee na wanawake hawahusiki na kwa lolote halafu unakuja kusema tunatetea nchi yetu mara sijui yule ndio kaanza mie nalipiza kisasi, ni upumbavu mtupu na kibaya kuna mashabiki wa huo upumbavu.Vita zisizokuwa za kipumbavu zinakuwaje? Na je hazigharimu maisha ya watu?
Mijinga sana hii mijitu.ripoti hv hv baadae usianze sema fulan anaua watoto , ss hv anarusha ndan ya Israel ambako watoto wapo pia
Mnadanganywa sana huko MUM kwamba Afghan walimshinda US? Anyway viwango vya ushindi vya madrasa ni tofauti na hivi vya kimataifaWanapigana na adui wanayemjua na kujulishwa na aliyewaumba.Kama wataweza na hawataweza wawapige wawamalize.
Usitaraji kuwa utasikia eti Hamas wamesalimu amri.Watarusha vikombora vidogo vidogo na vitaleta madhara makubwa kwa Israel mpaka watashindwa kuendelea na vita.
Mtu dhalimu na mwenye kuhalalisha matendo maovu kama ushoga ataleta balaa na ukatili mkubwa lakini hata siku moja hatopewa ushindi.Kumbuka nguvu kubwa ya Marekani na hatimae alishindwa na adui aliyemdharau sana na baada ya miaka 20.
Wacha mvua inyeshe tuone panapovuja mura,umekuwaje?Us walishawaonya Israel kukubali kusitisha vita,madhara yake yanaanza kuonekana.