Israel yatangaza kuanza kukodisha wanajeshi mamluki

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Israel imetangaza rasmi kuhitaji huduma ya wanajeshi mamluki kutoka sehemu mbali mbali duniani.

Tangazo lililotolewa na jeshi la Israel (IDF) imeelezea ofisi za usaili zipo kwenye ubalozi wa Israel jijini New York kwa wahitaji waliopo bara la Amerika ya Kusini na kaskazini huku wahitaji wa Ulaya na kwingineko wakitakiwa kufika Paris- Ufaransa kwenye ubalozi wa Israel.

Wapo watu tulihoji hapa kuhusu Mtanzania alieuawa kutumika kwenye shughuli za kijeshi kama yule alieuawa Ukraine(Mtanzania aliyeuawa na Hamas alikuwa sehemu ya jeshi la Israel? Serikali itoe tamko Watanzania wangapi wameingizwa kwenye jeshi la Israel), watu wakaja na mhemuko kua Israel inajitosheleza na wanaotumika jeshini ni wayahudi tu wa asili,tangazo hili linaonyesha tofauti sasa!!

Tazama video rasmi ya tangazo
View: https://twitter.com/Sprinter99800/status/1739261543479435629?t=l0K0-HiGT1RODr6jJ9A8Gw&s=19.
 
Zayuni muoga,,, zile story za sijui six day war, mara operation entebe yawezekana tulilishwa matango pori,, dunia ya leo iko wazi na sasa tumejua kipi ni kipi, gaza kieneo kidogo kama boko mnemela lkn mpaka leo kimewashinda,,, naona sasa wameamua kukodi ndondo πŸ˜€
Hamas kundi teule,,,
 

Inatia shaka sana,hapo anapigana na vikundi vya mgambo ambao hawana kifaru hata kimoja wala helcopter wala njia rasmi za kupokea silaha wala kununua silaha kimataifa
 
Yaani wameamua kuwalinda watoto wao ili wengine wakafe
Kama ni hivyo wapo wale wanalala nje homeless wataenda kama waliopelekwa Vietnam

Front line na wana mgambo wa HAMAS,QUDS na PIJ pamoto sana,kila siku askari wasiopungua watano wa Israel wanakufa,bado majeruhi.

Israel anamalizia hasira zake kwa kufanya mauaji ya halaiki kwenye makambi ya wakimbizi, hospital na kubomoa makazi.
 

Attachments

  • Sprinter00000_270p_20231214_075129.mp4
    1 MB
TIKTOK hii hii nayoijua au πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…

Huyo binti kavaa tu gwanda za jeshi apate likes, mambo ya tiktok.
 
Front line na wana mgambo wa HAMAS,QUDS na PIJ pamoto sana,kila siku askari wasiopungua watano wa Israel wanakufa,bado majeruhi.

Israel anamalizia hasira zake kwa kufanya mauaji ya halaiki kwenye makambi ya wakimbizi, hospital na kubomoa makazi.
Hamas wanaume na Israel wengi mashoga hawawezi kuwamaliza
Wao Israel wanadhani kuuwa watoto na kina mama ndio kumaliza kizazi cha Palestine ila wanajidanganya
Haya hayakuanza leo tangu enzi na enzi vita zilikuwepo na hawakuwamaliza
Kwa kweli Hamas wamejipanga hasa safari hii
Waisrael walizioea kuwapiga watoto wanaowapiga mawe
 
Sasa hapo ndio utajua kuwa jeshi la Israel ni sifuri kabisa. Yani pamoja na kupewa silaha nzito nzito tena bure kabisa na US na West, pamoja na mafunzo yote ya kisasa waliyonayo still bado wamewashindwa Hamas ambao hawana hata kifaru kimoja, hawana hata ndege vita moja na hawana silaha yeyote ya maana zaidi ya bunduki walizotengeneza wao wenyewe.

Halafu hapo wanapigana na Hamas ambao hawana chakula, hawana maji, hawana makazi hawana hospitali hawana chochote hali ya kuwa wao IDF wanaletewa vyakula vya kila aina na kuna magari tele ya kubeba majeruhi wao wakatibiwe kwa starehe still bado wameomba msaada wa mercenaries? Sio ajabu yule Abu ubaida wa hamas akasema wanavaa pampers hawa IDF watakuwa machoko tu
 
Hawa watu ni waoga sana wa vita , maneno tu mengi
 
Source ya habari tiktok mleta mada uwe serious

Tiktok mtu anajirekodi na kupost chochote

Ona aibu mleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…