Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Siku ya oktoba saba Hamas walikuwa wamefanya siri kubwa sana kuliko siri ya Mosad na Shinbet.Yatoa hakikisho kwa mataifa ya Kiarabu yawe na amani kwamba chochote inachokusudia kufanya haitawadhuru.....
Dunia sasa hivi inatumia nguvu nyingi kuibembeleza Israel maana tatizo la Israel huwa na usiri mkubwa sana, wao hufanya mnaamka asubuhi na kukuta wamefanya, yaani hata Marekani huwaona kama watu very sneaky bastards...hehehe
Hata hivyo gemu kwa sasa hivi matokeo
Iran imepoteza majeneral 7
Israel imepoteza binti mmoja
==================
Israel has reportedly sent messages to Arab countries across the Middle East saying that it will not respond to Iran's drone and missile attack in a way that would endanger these countries or their governments, KAN reported early on Tuesday.
This comes amid rising questions of how and when Israel should respond to Iran's attacks early Sunday morning, with both Western and Middle Eastern partners cautioning Israel on its next steps.
Regional partners like Jordan supported Israel during the Iranian attack, with the Jordanian air force joining the US, UK, France, and other countries in downing Iranian drones and missiles flying toward Israel.
![]()
Israel to Arab countries: Coming response to Iran won't endanger you, the region
Following Iran's Saturday night attack on Israel, Western and Middle Eastern partners have worried about Israel's next steps and questioned what the retaliation could resemble.www.jpost.com
Kabla hawajaamka wakakuta Hamas wameshafanya vitu vyao.Hata Marekani nao wakashangaa.