Israel yatoa hofu kwa mataifa ya Kiarabu kwamba haitawagusa

Israel yatoa hofu kwa mataifa ya Kiarabu kwamba haitawagusa

Yatoa hakikisho kwa mataifa ya Kiarabu yawe na amani kwamba chochote inachokusudia kufanya haitawadhuru.....
Dunia sasa hivi inatumia nguvu nyingi kuibembeleza Israel maana tatizo la Israel huwa na usiri mkubwa sana, wao hufanya mnaamka asubuhi na kukuta wamefanya, yaani hata Marekani huwaona kama watu very sneaky bastards...hehehe
Hata hivyo gemu kwa sasa hivi matokeo
Iran imepoteza majeneral 7
Israel imepoteza binti mmoja
==================

Israel has reportedly sent messages to Arab countries across the Middle East saying that it will not respond to Iran's drone and missile attack in a way that would endanger these countries or their governments, KAN reported early on Tuesday.

This comes amid rising questions of how and when Israel should respond to Iran's attacks early Sunday morning, with both Western and Middle Eastern partners cautioning Israel on its next steps.

Regional partners like Jordan supported Israel during the Iranian attack, with the Jordanian air force joining the US, UK, France, and other countries in downing Iranian drones and missiles flying toward Israel.
Taarifa zako za magumashi na unaendekeza hisia na chuki kuliko fact
 
Ayatollaah lazima tumwinamishe, viboko vikali sanaaa mbele ya camera dunia nzima ione mchana kweupeee, hapo atajua mwanaume ni nani, ataliaaa, na ndevu zote tunakata hadi kope na kichwa tunanyoa upara, dela tunamvua avae kaptula na kilemba tunamtoa alafu anapindwa viboko tu. Hatarudia ng’oooooo
 
Baade Iran akianza kunyukwa utasikia Free Iran
Wakati yeye ndio kalianzisha
Iran hajaanzisha kajibu kuuliwa kwa makamanda 7katika ubalozi wake nchi ni Syria
 
Yatoa hakikisho kwa mataifa ya Kiarabu yawe na amani kwamba chochote inachokusudia kufanya haitawadhuru.

Dunia sasa hivi inatumia nguvu nyingi kuibembeleza Israel maana tatizo la Israel huwa na usiri mkubwa sana, wao hufanya mnaamka asubuhi na kukuta wamefanya, yaani hata Marekani huwaona kama watu very sneaky bastards...hehehe

Hata hivyo gemu kwa sasa hivi matokeo
Iran imepoteza majeneral 7
Israel imepoteza binti mmoja

===============

Israel has reportedly sent messages to Arab countries across the Middle East saying that it will not respond to Iran's drone and missile attack in a way that would endanger these countries or their governments, KAN reported early on Tuesday.

This comes amid rising questions of how and when Israel should respond to Iran's attacks early Sunday morning, with both Western and Middle Eastern partners cautioning Israel on its next steps.

Regional partners like Jordan supported Israel during the Iranian attack, with the Jordanian air force joining the US, UK, France, and other countries in downing Iranian drones and missiles flying toward Israel.

Jerusalem Post
Sio binti ni mtoto wa kike ndiye aliyefariki
 
Ayatollaah lazima tumwinamishe, viboko vikali sanaaa mbele ya camera dunia nzima ione mchana kweupeee, hapo atajua mwanaume ni nani, ataliaaa, na ndevu zote tunakata hadi kope na kichwa tunanyoa upara, dela tunamvua avae kaptula na kilemba tunamtoa alafu anapindwa viboko tu. Hatarudia ng’oooooo
Kama walivyofanya kwa sadam hussein na muamar ghadaff
 
Dunia hii bado sijamuona wa kumkaripia,kumzuia au kumsumbua Israeli kwa manenomaneno.Wale watu ni viburi,wanajiamini na ni vichaa.
Waichokoze Tanzania, ndio watajuta, watajua kilicho mtoa kanga manyoya. Wamuulize Kagame, Nduli Iddi Amin Dada.
 
Yatoa hakikisho kwa mataifa ya Kiarabu yawe na amani kwamba chochote inachokusudia kufanya haitawadhuru.

Dunia sasa hivi inatumia nguvu nyingi kuibembeleza Israel maana tatizo la Israel huwa na usiri mkubwa sana, wao hufanya mnaamka asubuhi na kukuta wamefanya, yaani hata Marekani huwaona kama watu very sneaky bastards...hehehe

Hata hivyo gemu kwa sasa hivi matokeo
Iran imepoteza majeneral 7
Israel imepoteza binti mmoja

===============

Israel has reportedly sent messages to Arab countries across the Middle East saying that it will not respond to Iran's drone and missile attack in a way that would endanger these countries or their governments, KAN reported early on Tuesday.

This comes amid rising questions of how and when Israel should respond to Iran's attacks early Sunday morning, with both Western and Middle Eastern partners cautioning Israel on its next steps.

Regional partners like Jordan supported Israel during the Iranian attack, with the Jordanian air force joining the US, UK, France, and other countries in downing Iranian drones and missiles flying toward Israel.

Jerusalem Post
Israel bila ya US, UK na France ni Rwanda iliyo changamka.
 
Ayatollaah lazima tumwinamishe, viboko vikali sanaaa mbele ya camera dunia nzima ione mchana kweupeee, hapo atajua mwanaume ni nani, ataliaaa, na ndevu zote tunakata hadi kope na kichwa tunanyoa upara, dela tunamvua avae kaptula na kilemba tunamtoa alafu anapindwa viboko tu. Hatarudia ng’oooooo
Syo rahisi Kama unavyozani
 
Mlisema siku Iran ikiishambulia Israel ndiyo utakuwa mwisho wa utawala wa Ayatollah sasa wameshambuliwa mnaleta ngonjera!
 
Iran imepoteza majeneral 7
Israel imepoteza binti mmoja
Nchi za Magharibi haziwezi ku-afford tena vita nyingine. Iran alipiga mahesabu vizuri sana japo yale makombora hayakuleta madhara makubwa. Wanajua ikianza tena vita nyingine uchumi wa dunia utayumba sana. Na hata iwapo serikali ya Iran itaondolewa nchi itakuwa unstable kishenzi na yanaweza kuzaliwa makundi ya kigaidi na hali ikawa mbaya zaidi.
 
Back
Top Bottom