Israel yatoa hofu kwa mataifa ya Kiarabu kwamba haitawagusa

Siku ya oktoba saba Hamas walikuwa wamefanya siri kubwa sana kuliko siri ya Mosad na Shinbet.
Kabla hawajaamka wakakuta Hamas wameshafanya vitu vyao.Hata Marekani nao wakashangaa.
 
Do not get carried away by a one-sided-story. Find the other side's opinion of the matter so as have a fair and informed opinion of the matter.
 
Peleke ujinga wako huko myahudi wa mchongo
 
Siku ya oktoba saba Hamas walikuwa wamefanya siri kubwa sana kuliko siri ya Mosad na Shinbet.
Kabla hawajaamka wakakuta Hamas wameshafanya vitu vyao.Hata Marekani nao wakashangaa.

Nilikuja kuamini Octoba saba Israel waliijua na kuacha itendeke maana kile kimefanywa pale Gaza sidhani kama kuna siku mtarudia shobo kwa Myahudi.

Kupoteza mazombi yenu zaidi ya 30,000 na majengo kusambaratishwa kufanywa shamba....
 
Do not get carried away by a one-sided-story. Find the other side's opinion of the matter so as have a fair and informed opinion of the matter.

Iran imepoteza majeneral 7
Israel imepoteza binti mmoja
 
Do not get carried away by a one-sided-story. Find the other side's opinion of the matter so as have a fair and informed opinion of the matter.
Upo sahihi mkuu. Nimeona jinsi kambi za jeshi zilivyosambaratishwa nchi Irani. Kuna post nimeiona twitter, inasema laribu 85% ya kambi za kijeshi nchini Israel zimeshambuliwa na kuambukizwa ila vyombo vya habari havitaki kutangaza.
Kwa kweli Ilani ameweza kiisambaratisha Islaili
 
Siku ya oktoba saba Hamas walikuwa wamefanya siri kubwa sana kuliko siri ya Mosad na Shinbet.
Kabla hawajaamka wakakuta Hamas wameshafanya vitu vyao.Hata Marekani nao wakashangaa.
Mpo vizuri sana kwenye kukurupukia kumeza ndoano. Ndiyo maana mnavuliwa tu kama maperege
 
LGBT wacheni porojo...ya juzi mlipewa taarifa ili mjiandae,sasa yatakayofata yatakauwa siri kama nyinyi mnavyofanya hapo ndo tutaona nani ni nani...
 
Siku za mwisho,ukiuliza wanapoteza nini kama wasipopigana hawana majibu,wanawashwa tu kupigana,yani mtu analianzisha tu then wanaanza kuchapana...
uislam ni kansa katika ulimwengu wa leo , miaka ya 1900s walijitahid kuandaa mazingira ya amani ila ghafla vikundi vya kiislam vikaibuka kama utani leo vimekuwa mtaji kwa baadhi ya mataifa ukivigusa bas unayavaa majanga , Asapotiwe Israel aondoe hao mashetani hapo
 
Source; TRUST ME BRO
 
Huyo isrseli ashukuru Mungu hizo nchi za kiarabu zimeisaidia kuzuia baadhi ya mashambulizi laa sivyo kipigo kingekua kizito zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…