Israel yatoa tahadhari kwamba Iran ikiishambulia, itakuwa mwanzo wa vita

Wewe jamaa upo kwenye kikao cha IDF wa Buza.
 
Haya kiko wapi πŸ˜‚ una la kusema ndugu chambuzi Iran kawagonga tunasubiri ifutwe
 
Iran kamlaza Netanyahu na viatu na mpaka sasa, hakuna myahudi mwenye wazo la kwenda kurudisha mashambulizi kwa Iran.
 
Mbona huyo Israel kashambuliwa na kaogopa kufungua hata mdomo?
 
Uwa nacheka sana huyu mzee wa uharo akileta habari za Israel mapunguani wanaomuamini wanavyokubaliana kila kitu πŸ˜…

Alisema Iran warushe hata jiwe Israel waone utawala unavyoangushwa Isael ana bomu la kufuta Iran πŸ˜€

Hawa Walokole wanachekesha sana bwana wao kachezea kichapo Iran walivyokuwa wahuni wamepitisha makombora juu ya bunge la Israel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…