Israel yavuna ilichopanda, Raia wote watakiwa kusafisha mahandaki ili wakimbilie humo na Mawaziri wapewa simu za satelite

Hatari sana
 
Jamaa huwa muongo wewe!šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ™
 
Haya mambo sio ya kubeza kabisa, Western wawe waangalifu sana, wasidhani wao ndio alfa na omega.
 
Shida naona ni yako ndugu mwandishi.
-Islael ilipanda nini?
-kwanini usema Hali hiyo haijawahi kufikiria, wakati huo ukisema wanahimizana kusafisha mahandaki na si kujenga mahandaki mapya?.
 
Wao wameridhika na hali wewe unayeandika ukikonyeza demu Riverside hapo unaisikitikia IsrAel wakati wao wako kwenye kutimiza malengo
 
Kama hali hiyo haijawahi kufikiriwa, raia wangeliamuriwa kusafisha mahandaki?

Ukisikia kusafisha handaki uelewe hayo ni mahandaki ya kudumu.

Ingelikuwa ni jambo wasilolitegemea ungelisikia raia wameamuriwa wachimbe.

Hali hiyo wanaijua na hawaijali, ndiyo maana wanawachinja viongozi wa magaidi mikononi mwa wafadhili wao.
 
Uliandika vitu usivyovijua, kwani Saud Arabia akijiunga BRICS nini kitakachobadilika?
 
Nchi nyingi zina mahandaki kwa ajili ya kujificha wakati wa vita, yalishajengwa siku na matumizi yake ndio hayo. Umejiuliza wananchi wa Iran watakimbilia wapi? au wataachwa wakaangwe kama vibua?
 
Angalau tungetoa tamko la kulaani mauwaji ya Ismail Haniye
Tuna wananchi wanapotea huku hatusemi chochote tukahangaike na waarabu huko, kwani tunahusika vipi na Haniya?. Huyu badala ya kukubaliana na Israel vita iishe, alikomaa huku akinywa tende akiamini haitamgusa kwa ukaribu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…