Israel yazidai Iron Dome zake ilizoziuza kwa US baada ya ilizonazo kuharibiwa na zilizobaki kuzidiwa nguvu

Israel yazidai Iron Dome zake ilizoziuza kwa US baada ya ilizonazo kuharibiwa na zilizobaki kuzidiwa nguvu

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita kumbe bado viko hatua za mwanzo sana na yajayo yatafurahisha.

Inashangaza sana nchi za kiarabu kumuogopa simba ambaye ameshachoka kujitetea

Habari mpya ni kwamba jeshi la Israel huenda likainunua upya mitambo yake ya Iron dome iliyoiuzia au kuitoa kwa mshirika wake US.

Hali hiyo si jambo la kawaida na linadhihirisha kiwango cha kuongezeka mahitaji tangu vita katika mtindo mpya vianze dhidi ya wapalestina.

Cha ajabu zaidi kuongezeka kwa mahitaji hayo kumekuja wakati nchi hiyo ikipigana na wanamgambo ambao hawana ndege wala kifaruj hata kimoja na teknolojia yao kubwa ni utundu wa kugeuza chuma chakavu kuwa makombora kama vile makombora ya Yasin.

Israel may buy back Iron Dome air defense batteries leased from the US

1699508406459.png
 
Mayahudi wenzako wanadai Iron dome zao hata kwa kuzinunua wewe unaleta porojo
Sasa hapa umeongea nini ostadh kwahiyo urusi alipochukua s300 zake kutoka Syria alikuwa mweupe??Israel lazima iongeze ulinzi ukizingatia amezungukwa na maadui wengi na kutengeneza mfumo wa ulinzi huchukua muda mrefu au wewe ulitaka afanyaje??halafu unasema wadhaifu haya nendeni mkawashambulie kama ni vidume kweli
 
Sasa hapa umeongea nini ostadh kwahiyo urusi alipochukua s300 zake kutoka Syria alikuwa mweupe??Israel lazima iongeze ulinzi ukizingatia amezungukwa na maadui wengi na kutengeneza mfumo wa ulinzi huchukua muda mrefu au wewe ulitaka afanyaje??halafu unasema wadhaifu haya nendeni mkawashambulie kama ni vidume kweli
Haya si nyinyi mnasema Israel si mchezo kama kwamba hana upungufu wa kila kitu.
Nakusudia zaidi ikiwa mataifa ya kiarabu yaliyo jirani yakiamua kuwatetea wapalestina basi Israel hana uwezo wa kujitetea.
 
Haya si nyinyi mnasema Israel si mchezo kama kwamba hana upungufu wa kila kitu.
Nakusudia zaidi ikiwa mataifa ya kiarabu yaliyo jirani yakiamua kuwatetea wapalestina basi Israel hana uwezo wa kujitetea.
ni vidume kweli we huoni hao waarabu wanamuogopa licha ya kuwa wengi na wapo karibu nae,Tena Iran sikutegemea kama muoga namna hii mikwara kibao halafu hamna kitu
 
Wahouthi siyo watu wa mchezomchezo.

Ukitaka kupigana na Taifa lenye maguvu mengi kwanza zikane luxuries za dunia na pia usiogope kifo.
Ukikana luxuries za dunia maana yake ni kwamba adui hata akilipua majengo kwako siyo ishu
Na kama huogopi kufa, basi maana yake ni kwamba ili adui ashinde lazima afanye genocide la sivyo mziki unaendelea miaka na miaka , hapo lazima mbabe asande maana yeye anatumia mahela mengi na bado hafikii malengo yake.

Ni vigumu sana kupigana na watu wasiojali magorofa kama Wahauthi
 
Wahouthi siyo watu wa mchezomchezo.

Ukitaka kupigana na Taifa lenye maguvu mengi kwanza zikane luxuries za dunia na pia usiogope kifo.
Ukikana luxuries za dunia maana yake ni kwamba adui hata akilipua majengo kwako siyo ishu
Na kama huogopi kufa, basi maana yake ni kwamba ili adui ashinde lazima afanye genocide la sivyo mziki unaendelea miaka na miaka , hapo lazima mbabe asande maana yeye anatumia mahela mengi na bado hafikii malengo yake.

Ni vigumu sana kupigana na watu wasiojali magorofa kama Wahauthi
Wahouthi ni wamemkomesha Saud Arabia na UAE ila sio Israel.
 
Vita kumbe bado viko hatua za mwanzo sana na yajayo yatafurahisha.

Inashangaza sana nchi za kiarabu kumuogopa simba ambaye ameshachoka kujitetea

Habari mpya ni kwamba jeshi la Israel huenda likainunua upya mitambo yake ya Iron dome iliyoiuzia au kuitoa kwa mshirika wake US.

Hali hiyo si jambo la kawaida na linadhihirisha kiwango cha kuongezeka mahitaji tangu vita katika mtindo mpya vianze dhidi ya wapalestina.

Cha ajabu zaidi kuongezeka kwa mahitaji hayo kumekuja wakati nchi hiyo ikipigana na wanamgambo ambao hawana ndege wala kifaruj hata kimoja na teknolojia yao kubwa ni utundu wa kugeuza chuma chakavu kuwa makombora kama vile makombora ya Yasin.

Israel may buy back Iron Dome air defense batteries leased from the US

View attachment 2808433
sasa ndugu yangu, kama zilitengenezwa israel, si watatengeneza zingine? hata wakizirudisha ni kwa dharura hii tu.
 
sasa ndugu yangu, kama zilitengenezwa israel, si watatengeneza zingine? hata wakizirudisha ni kwa dharura hii tu.
Ingekuwa kuzitengeneza ni kitu rahisi basi wasingefikiria kuzirudisha mbili tu kutoka Marekani.
 
Haya si nyinyi mnasema Israel si mchezo kama kwamba hana upungufu wa kila kitu.
Nakusudia zaidi ikiwa mataifa ya kiarabu yaliyo jirani yakiamua kuwatetea wapalestina basi Israel hana uwezo wa kujitetea.

Yani hamas waanze ugaidi halafu wategemee waarabu waingie vitani. Sahau hilo, kwanza Wapo busy kujenga uchumi wa nchi zao.
 
Vita kumbe bado viko hatua za mwanzo sana na yajayo yatafurahisha.

Inashangaza sana nchi za kiarabu kumuogopa simba ambaye ameshachoka kujitetea

Habari mpya ni kwamba jeshi la Israel huenda likainunua upya mitambo yake ya Iron dome iliyoiuzia au kuitoa kwa mshirika wake US.

Hali hiyo si jambo la kawaida na linadhihirisha kiwango cha kuongezeka mahitaji tangu vita katika mtindo mpya vianze dhidi ya wapalestina.

Cha ajabu zaidi kuongezeka kwa mahitaji hayo kumekuja wakati nchi hiyo ikipigana na wanamgambo ambao hawana ndege wala kifaruj hata kimoja na teknolojia yao kubwa ni utundu wa kugeuza chuma chakavu kuwa makombora kama vile makombora ya Yasin.

Israel may buy back Iron Dome air defense batteries leased from the US

View attachment 2808433
Mkuu huu uzi mwingine🤣🤣🤣
Kweli kichapo cha gaza kimekukolea
 
Israel iko mbali na ina mifumo ya air defence ya kukamata missiles zao. Ila roho ya upambanaji wanayo na hilo ni la msingi sana. MOYO KABLA YA SILAHA
Waouth hamna kitu ni magenge ya wahuni tu kama wasomali.
Uislamu unawapeleka pabaya..
Na mpango wao wa kuivamia saudia umeishia hewani baada ya kukuta mipaka ya kusini mwa saudia inalindwa na wanajeshi wa senegali na north sudani wasiojielewa.
 
Wahouthi siyo watu wa mchezomchezo.

Ukitaka kupigana na Taifa lenye maguvu mengi kwanza zikane luxuries za dunia na pia usiogope kifo.
Ukikana luxuries za dunia maana yake ni kwamba adui hata akilipua majengo kwako siyo ishu
Na kama huogopi kufa, basi maana yake ni kwamba ili adui ashinde lazima afanye genocide la sivyo mziki unaendelea miaka na miaka , hapo lazima mbabe asande maana yeye anatumia mahela mengi na bado hafikii malengo yake.

Ni vigumu sana kupigana na watu wasiojali magorofa kama Wahauthi
Waouth wajinga tu..
Kama hawaogopi kufa mbona makombora ya saudia defense force yakija Sana'a wanadive 🤣🤣
 
Back
Top Bottom