Israel yazidai Iron Dome zake ilizoziuza kwa US baada ya ilizonazo kuharibiwa na zilizobaki kuzidiwa nguvu

Israel yazidai Iron Dome zake ilizoziuza kwa US baada ya ilizonazo kuharibiwa na zilizobaki kuzidiwa nguvu

Haya si nyinyi mnasema Israel si mchezo kama kwamba hana upungufu wa kila kitu.
Nakusudia zaidi ikiwa mataifa ya kiarabu yaliyo jirani yakiamua kuwatetea wapalestina basi Israel hana uwezo wa kujitetea.
1967 na 1973 na 1948 walishindwa.
Je washindwe mara ngapi kuwamaliza wayahudi?
 
Vita kumbe bado viko hatua za mwanzo sana na yajayo yatafurahisha.

Inashangaza sana nchi za kiarabu kumuogopa simba ambaye ameshachoka kujitetea

Habari mpya ni kwamba jeshi la Israel huenda likainunua upya mitambo yake ya Iron dome iliyoiuzia au kuitoa kwa mshirika wake US.

Hali hiyo si jambo la kawaida na linadhihirisha kiwango cha kuongezeka mahitaji tangu vita katika mtindo mpya vianze dhidi ya wapalestina.

Cha ajabu zaidi kuongezeka kwa mahitaji hayo kumekuja wakati nchi hiyo ikipigana na wanamgambo ambao hawana ndege wala kifaruj hata kimoja na teknolojia yao kubwa ni utundu wa kugeuza chuma chakavu kuwa makombora kama vile makombora ya Yasin.

Israel may buy back Iron Dome air defense batteries leased from the US

View attachment 2808433
Hii baada ya Israel kutoa kipondo cha mbwa mwizi Gaza🤣🤣🤣🤣🤣
 
hili ndio tatizo la kusomeshwa madrasa na kuwa shekhe ubwabwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama unaona kajichokea nenda kawasaidie Hamas,kama kubwa LA magaidi Iran ameufyata,nani atamuweza muisraeli??
Yeye hajui kabsa vita ni propaganda kubwa sana. ANGEJUA USIKU NA MCHANA MADEGE MAKUBWA YA US AIR FORCE YA MIZIGO YANAPISHANA HEWANI KUTUA ISRAEL WALA ASINGESEMA ISRAEL IMEZIDIWA. PALE ILIPO ISRAEL TAYARI INA KILA KITU IN CASE VITA IKISAMBAA MIDDLE EAST KAMA HUYO USA AMEWEZA KUPELEKA MAMIA YA MAGARI YA FIRE NA WAFANYAKAZI WAKE ISRAEL TANGU VITA NA HAMAS VIANZE UNAZANI ANAJIANDAA NA NN? PALE UTAKAPOKUJA KUSHANGAA ZAIDI HUKO MBELE NI SIRI KUVUJA ZA VIDEO KUMBE KUNA MAKOMANDO WA USA GAZA KWENYE BATTLE FIELD TENA MSTARI WA MBELE WAMEVAA COMBAT ZA MUISRAEL
 
Mkuu acha propaganda za msikitini.
Ujue sie watu wazima na tuna akili timamu na ni waandishi wa habari
Nionyeshe we wapi nimeongea propoganda we kama kweli mtu mzima na una akili sawa utamini kisima kiwe handaki au utaishangilia Israel inapiga hospital eti kuna base ya Hamasi pale.

Afu unajidai muandishi wa habari aliyekuuwacha uandike habari ni nani labda kichaa au unandika magazeti ya udaku.
 
Haya si nyinyi mnasema Israel si mchezo kama kwamba hana upungufu wa kila kitu.
Nakusudia zaidi ikiwa mataifa ya kiarabu yaliyo jirani yakiamua kuwatetea wapalestina basi Israel hana uwezo wa kujitetea.
Kwanini unapendekeza mpaka hayo mataifa yaungane pamoja/yote ?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nionyeshe we wapi nimeongea propoganda we kama kweli mtu mzima na una akili sawa utamini kisima kiwe handaki au utaishangilia Israel inapiga hospital eti kuna base ya Hamasi pale.

Afu unajidai muandishi wa habari aliyekuuwacha uandike habari ni nani labda kichaa au unandika magazeti ya udaku.
Na hawa ni akina nani mkuu,,,wanaojificha hosptalini pale Shifah hosptal Gaza city na kwenye ambulance.
Sisi waandishi wa habari hatuna propaganda
 
hili ndio tatizo la kusomeshwa madrasa na kuwa shekhe ubwabwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama unaona kajichokea nenda kawasaidie Hamas,kama kubwa LA magaidi Iran ameufyata,nani atamuweza muisraeli??

Ndio maana ukapigwa na BAN, hamuna hoja za kubishana na waislamu. Mnabaki kushabikia tu
 
Yeye hajui kabsa vita ni propaganda kubwa sana. ANGEJUA USIKU NA MCHANA MADEGE MAKUBWA YA US AIR FORCE YA MIZIGO YANAPISHANA HEWANI KUTUA ISRAEL WALA ASINGESEMA ISRAEL IMEZIDIWA. PALE ILIPO ISRAEL TAYARI INA KILA KITU IN CASE VITA IKISAMBAA MIDDLE EAST KAMA HUYO USA AMEWEZA KUPELEKA MAMIA YA MAGARI YA FIRE NA WAFANYAKAZI WAKE ISRAEL TANGU VITA NA HAMAS VIANZE UNAZANI ANAJIANDAA NA NN? PALE UTAKAPOKUJA KUSHANGAA ZAIDI HUKO MBELE NI SIRI KUVUJA ZA VIDEO KUMBE KUNA MAKOMANDO WA USA GAZA KWENYE BATTLE FIELD TENA MSTARI WA MBELE WAMEVAA COMBAT ZA MUISRAEL
Hao makomandoo wa US si munawaogopa ninyi tuuu
 
Bado hamjasema endeleeni kujitenkenya mtacheka muda ukifika
 
Wahouthi siyo watu wa mchezomchezo.

Ukitaka kupigana na Taifa lenye maguvu mengi kwanza zikane luxuries za dunia na pia usiogope kifo.
Ukikana luxuries za dunia maana yake ni kwamba adui hata akilipua majengo kwako siyo ishu
Na kama huogopi kufa, basi maana yake ni kwamba ili adui ashinde lazima afanye genocide la sivyo mziki unaendelea miaka na miaka , hapo lazima mbabe asande maana yeye anatumia mahela mengi na bado hafikii malengo yake.

Ni vigumu sana kupigana na watu wasiojali magorofa kama Wahauthi
Miongon mwa mambo ambayo viongoz wetu huwa vinawatesa mno mpaka kuwapelekea kuwa vibaraka wa mabeberu ni kukwapua pesa za mirad ktk nchi zao na kwenda kuficha pesa husika ktk benki za mabeberu
 
Punguza mahaba ulete taarifa sahii, umeanza ukiwa na uhakika ,wazidai " mwisho unasema huenda. Ushabiki.
 
Hii vita inazidi kuonyesha jinsi watu walivyo weupe vichwani.
Umesema wanadai, alafu unasema huenda ! Hovyo kabisa
 
ni vidume kweli we huoni hao waarabu wanamuogopa licha ya kuwa wengi na wapo karibu nae,Tena Iran sikutegemea kama muoga namna hii mikwara kibao halafu hamna kitu
Hataki miji yake ibaki magofu.
Iran anawachora tu Hamas wakipukutika.
Alichofauru Iran katika hii vita ni kuitenga Israel nchi za kiarabu. Hata wafe wapalestina wote hilo kwake hakuna tatizo.
 
Hawa ndio wanataka kupigana na middle East yote.Mbona kiburi kimewatoa akili
 
Back
Top Bottom