Israeli kusitisha mapigano na Hezbollah, je ni hatua ya Israeli kujiimarisha zaidi au ni mbinu na mkakati wa kumfifisha Iran?

Israeli kusitisha mapigano na Hezbollah, je ni hatua ya Israeli kujiimarisha zaidi au ni mbinu na mkakati wa kumfifisha Iran?

Kiminyio 01

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
1,389
Reaction score
2,025
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
 
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Sapota wataanza kubadili muandiko sasa
 
Hizbullah haiwezi kukubali kusimamisha mapigano bila baraka kutoka Iran ,unapo ona wame kubali kusimamisha mapigano ujue na Iran kalidhia.
Alafu kwa sasa Iran ina silaha zenye uwezo mkubwa wa kuipiga Israel moja kwa moja ,hivyo uhitaji wa kuwa makundi yaliyoko karibu na mipaka ya Israel unapungua.
 
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Nimeamini ili ushinde vita inabidi uwe na jeshi bora la ardhini
 
Hizbullah haiwezi kukubali kusimamisha mapigano bila baraka kutoka Iran ,unapo ona wame kubali kusimamisha mapigano ujue na Iran kalidhia.
Alafu kwa sasa Iran ina silaha zenye uwezo mkubwa wa kuipiga Israel moja kwa moja ,hivyo uhitaji wa kuwa makundi yaliyoko karibu na mipaka ya Israel unapungua.
Hawana ujanja huo, Tena wao ndio wanalilia ceasefire Kila siku
 
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Pale moto umewaka ni 50/50. Israel kapiga majengo mengi ila moto bado anamwagiwa mwingi sana. Watakua wanasitisha ili kujipanga upya.
 
Daaah Israeli kasarenda mbele ya Hezbollah kilahisi namna hiyo aisee
Unaishi Ulimwengu wa giza kweli!! Inaonekana hujui hata aliyeomva ceasefire ni nani?

Israel imekubali ombi la Lebanon kusitisha maligano kwa siku 60 tu. Baada ya hapo watafanya tathmini jinsi Hezbollah na Lebanon walivyotekeleza masharti ya Ceacefire. Ikiwa vinginevyo, vita inaendelea.

Lakini ni jambo hema kama Hezbollah watapata angalao hata hekima ndogo ili maafa ya watu wasio na hatia yakome.

Nina hakika ungekuwa huko Lebanon, ungeifurahia sana hatua hii.

Israel imesisitiza kuwa Hezbollah ikikiuka kipengere chochote, ataitwanga tena:

Effective at 04:00 tomorrow local time (02:00 GMT on Wednesday), the fighting across the Lebanese-Israeli border will end," Biden said, adding that it aimed to be a "permanent cessation of hostilities".
Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu said Israel will not hesitate to strike if Hezbollah breaks any part of the agreed deal.
 
Hizbullah haiwezi kukubali kusimamisha mapigano bila baraka kutoka Iran ,unapo ona wame kubali kusimamisha mapigano ujue na Iran kalidhia.
Alafu kwa sasa Iran ina silaha zenye uwezo mkubwa wa kuipiga Israel moja kwa moja ,hivyo uhitaji wa kuwa makundi yaliyoko karibu na mipaka ya Israel unapungua.
Israel kashindwa vita
Allahu akbaruuuuuu!
 
Ila wavaa Kobazi bhana... Sasa nani ameshindwa Israel imeteka Eneo lote la kuzunguka mpaka wake na Lebanon Saudi ya Km 10 kutoka mpakani kwake... Alafu Bado wanaamini Hezbollah alikuwa ananguvu kuzidi Israel
 
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Screenshot_2024-11-27-10-23-52-859_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-11-27-10-23-15-069_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-11-27-10-24-10-150_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-11-27-10-24-25-168_com.android.chrome.jpg
 
Hapo Hezbollah ndo kashindwa kwa sababu lengo lake la kuingia mapiganoni ni kuilazimisha Israeli iache kuishambulia Gaza,Sasa mapigano yanasimamishwa na Irael Bado inabinda Gaza.Pili kampeni ya Israeli kuingia kusini mwa Lebanoni ni kuwasukuma mbali na mpaka Hezbollah na katika makubaliano Hezbollah anaondoka kilimeta kadhaa toka mpakani na kufanya raia wa Israeli walio hama kaskazini warudi na kama Hezbolaah watashambulia sitisho la mapigano linakoma vita inaendelea jambo ambalo serikali y a Lebanon haitaki litokee
 
Hizbullah haiwezi kukubali kusimamisha mapigano bila baraka kutoka Iran ,unapo ona wame kubali kusimamisha mapigano ujue na Iran kalidhia.
Alafu kwa sasa Iran ina silaha zenye uwezo mkubwa wa kuipiga Israel moja kwa moja ,hivyo uhitaji wa kuwa makundi yaliyoko karibu na mipaka ya Israel unapungua.
Hapo Hezbollah ndo kashindwa kwa sababu lengo lake la kuingia mapiganoni ni kuilazimisha Israeli iache kuishambulia Gaza,Sasa mapigano yanasimamishwa na Irael Bado inabinda Gaza.Pili kampeni ya Israeli kuingia kusini mwa Lebanoni ni kuwasukuma mbali na mpaka Hezbollah na katika makubaliano Hezbollah anaondoka kilimeta kadhaa toka mpakani na kufanya raia wa Israeli walio hama kaskazini warudi na kama Hezbolaah watashambulia sitisho la mapigano linakoma vita inaendelea jambo ambalo serikali y a Lebanon haitaki litokee
 
Israel kashindwa vita
Allahu akbaruuuuuu!
Hapo Hezbollah ndo kashindwa kwa sababu lengo lake la kuingia mapiganoni ni kuilazimisha Israeli iache kuishambulia Gaza,Sasa mapigano yanasimamishwa na Irael Bado inabinda Gaza.Pili kampeni ya Israeli kuingia kusini mwa Lebanoni ni kuwasukuma mbali na mpaka Hezbollah na katika makubaliano Hezbollah anaondoka kilimeta kadhaa toka mpakani na kufanya raia wa Israeli walio hama kaskazini warudi na kama Hezbolaah watashambulia sitisho la mapigano linakoma vita inaendelea jambo ambalo serikali y a Lebanon haitaki litokee
 
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Umeandika kama vile mshindi Israel? Wakati Isreal yeye ndio aliemuomba mmarekani aingilie kati
 
Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.

Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Ni hatua muhimu kuleta utulivu eneo hilo.....hata Gaza wanahitaji makubaliano aina hiyo.
 
Back
Top Bottom