Je wanao kuvisha kobazi na kipedo hawapati tabu? mudi fundi aisee, hata kusoma hajui ila kawashika masikio eti mtakunywa pombe mbinguniUnazidi kujidhihirisha wanao kuvusha bara bara wanapata tabu
😂😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wanao kuvisha kobazi na kipedo hawapati tabu? mudi fundi aisee, hata kusoma hajui ila kawashika masikio eti mtakunywa pombe mbinguniUnazidi kujidhihirisha wanao kuvusha bara bara wanapata tabu
Wana kazi wanao kuvusha barabaraJe wanao kuvisha kobazi na kipedo hawapati tabu? mudi fundi aisee, hata kusoma hajui ila kawashika masikio eti mtakunywa pombe mbinguni
😂😂😂😂😂
Au mm ndo sijui hii Vita ya Hezbollah na Israel imesha maliza Mwaka kweli??Israel kupitia Waziri Mkuu, Benjamin Netanyahu imetangaza kukubali kusitisha mapigano dhidi ya kundi la Hezbollah la Lebanon, hatua inayodhaniwa kumaliza vita hivyo vilivyodumu ndani ya mwaka mmoja na kuua takriban watu 3,800.
Rais Joe Biden ametangaza kuwa Marekani imesaidia kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Lebanon, ambayo yatamaliza vita kati ya Israeli na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran.
Check huyu naye chiziIsrael kashindwa vita
Allahu akbaruuuuuu!
Ndiyo, je wanao kuvisha kobazi na kipedo hawana kazi? mudi fundiWana kazi wanao kuvusha barabara