Mimi ni zaidi ya ujuavyo wewe.
Tuliza akili embu acha kujidhihirisha ujinga wako.
Hapa nazungumzia raia kutokumpenda Netanyahu.
Na nilishakuambia wapo wakubwa ambao wana maslahi naye ndio maana amebaki madarakani.
Hamas sio magaidi bali wanajulikana kama Freedom fighters,fuatilia vikao takriban vyote vya UNGA husikii Hamas wala Hizbollah wakiitwa magaidi.
Wanaowaita magaidi ni Israel,USA na washirika wake.
Hata vikao vya UNGA hufuatil