Issue kubwa ni watu kutaka kutimiza ndoto zao za urais 2025 baada ya Mwendazake kuondoka

Issue kubwa ni watu kutaka kutimiza ndoto zao za urais 2025 baada ya Mwendazake kuondoka

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Yatasemwa mengi na mtasikia mengi, ila issue kubwa ni watu kuutaka urais wa nchi hii mwaka 2025.

Wakati Magu yuko hai, walikosa ujasiri wa kuonyesha hadharani mtatamani yao na kwa Mama, bado hawajaanza, ila ili wapate hiyo fursa(waanze) ni lazima Mama asigombee (bahati mbaya alishasema atagombea), hivyo wamebaki na option moja tu ya kumpinga au kutafuta sababu aonekane hatoshi.

No wonder hata waandamizi ndani ya chama na serikali wako kimya ingawa walipaswa wamtetea Boss wao kulingana na utamaduni wao.

Kwa maneno mengine,waandamizi nao wanautaka urais wa 2025 na ndio maana wametulia kama maji kwenye mtungi.

Kwa sasa, wanaweza kuungana kwa hoja ya Utanganyika dhidi ya Uzanzibari, na wakishatimiza azima yao, hawa watanganyika wataingia tena katika vita ya makundi huku kila kundi likiwa na Mgombea/Mtia nia wao na hapo ndipo ile dhambi ya ubaguzi aliyoiongelea Baba wa Taifa itapoanza kuwatafuna.

2025 patakuwa hapatoshi na si ajabu yale ya JK na EL yakajirudia na safari wanaweza wasivuke salama.
 
Yatasemwa mengi na mtasikia mengi, ila issue kubwa ni watu kuutaka uraisi wa nchi hii mwaka 2025.

Wakati Magu yuko hai, walikosa ujasiri wa kuonyesha hadharani mtatamani yao na kwa Mama, bado hawajaanza, ila ili wapate hiyo fursa(waanze) ni lazima Mama asigombee (bahati mbaya alishasema atagombea), hivyo wamebaki na option moja tu ya kumpinga au kutafuta sababu aonekane hatoshi.

No wonder hata waandamizi ndani ya chama na serikali wako kimya ingawa walipaswa wametetea Boss wao kulingana na utamaduni wao.

Kwa maneno mengine,waandamizi nao wanautaka uraisi wa 2025 na ndio maana wametulia kama maji kwenye mtungi.

2025 patakuwa hapatoshi na si ajabu yale ya JK na EL yakajirudia na safari wanaweza wasvuke salama.
Mama wakambo atake asitake 2025 hagombei

Kama anapenda uongozi basi akaongoze kwao Zenji

2025 ni mtanganyika atakayeongoza nchi ya Tanganyika, na ikiwezekana presidaa mwanaume (jembe)
 
Mama wakambo atake asitake 2025 hagombei

Kama anapenda uongozi basi akaongoze kwao Zenji

2025 ni mtanganyika atakayeongoza nchi ya Tanganyika, na ikiwezekana presidaa mwanaume (jembe)
Du mchango wenye jaziba huu !why unataka mwanaume?una tatizo na wanawake kuwa watawala au una elements za kuwa na GBV?
 
Mama wakambo atake asitake 2025 hagombei

Kama anapenda uongozi basi akaongoze kwao Zenji

2025 ni mtanganyika atakayeongoza nchi ya Tanganyika, na ikiwezekana presidaa mwanaume (jembe)
Ni mipango ya wanamichongo sgang sio?
 
Bwana Salary Slip....hao waandamizi kumtetea mama sio lazima wewe ujue..

EL alitamba sana kuanzia 2010 to 2015 lakini akaishia kuwa mgombea wa CDM na leo ni mstaafu ndani ya CCM..
 
Naomba wasiwepo wale walioshiriki kutufikisha hapa walioharibu uchaguzi wa local government na uchaguzi mkuu. Tupate wapya kabisa kama wapo
 
Yatasemwa mengi na mtasikia mengi, ila issue kubwa ni watu kuutaka uraisi wa nchi hii mwaka 2025.

Wakati Magu yuko hai, walikosa ujasiri wa kuonyesha hadharani mtatamani yao na kwa Mama, bado hawajaanza, ila ili wapate hiyo fursa(waanze) ni lazima Mama asigombee (bahati mbaya alishasema atagombea), hivyo wamebaki na option moja tu ya kumpinga au kutafuta sababu aonekane hatoshi.

No wonder hata waandamizi ndani ya chama na serikali wako kimya ingawa walipaswa wametetea Boss wao kulingana na utamaduni wao.

Kwa maneno mengine,waandamizi nao wanautaka uraisi wa 2025 na ndio maana wametulia kama maji kwenye mtungi.

2025 patakuwa hapatoshi na si ajabu yale ya JK na EL yakajirudia na safari wanaweza wasvuke salama.
I've the same feeling
 
Kuna wakati nikitafakari sana naamini kifo cha Mwamba Rais Magufuli tutokea kwake kuna sababu na ndio maana Mungu alikiruhusu whether kilifanya na mtu/watu au kilikuwa ni mapenzi ya Mungu ila amini msiamini Mungu ana jambo na Tanzania.

Itakuwa kivumbi na jasho.

Wacha waparurane tukae sawa.
 
Huyu Mama kufika 2025 kila mtu atakuwa amemgeuka,Kwa ujumla kama Chadema wakijipanga,plus huruma za wananchi na kupitia Viongozi wa Dini na Asas Zisizokuwa za kiserikali wanachukua inchi kiulaini.Maana mpaluano ulioko huko CCM sio wa kitoto,hata mda wa kuiba kura watakosa
 
Yatasemwa mengi na mtasikia mengi, ila issue kubwa ni watu kuutaka uraisi wa nchi hii mwaka 2025.

Wakati Magu yuko hai, walikosa ujasiri wa kuonyesha hadharani mtatamani yao na kwa Mama, bado hawajaanza, ila ili wapate hiyo fursa(waanze) ni lazima Mama asigombee (bahati mbaya alishasema atagombea), hivyo wamebaki na option moja tu ya kumpinga au kutafuta sababu aonekane hatoshi.

No wonder hata waandamizi ndani ya chama na serikali wako kimya ingawa walipaswa wametetea Boss wao kulingana na utamaduni wao.

Kwa maneno mengine,waandamizi nao wanautaka uraisi wa 2025 na ndio maana wametulia kama maji kwenye mtungi.

Kwa sasa, wanaweza kuungana kwa hoja ya uzanzibari na utanganyika, na wskiashamitiza azima yao, hawa watanganyika wataiingia tena katika vita ya makundi huku kila kundi likiwa na mgombea/Mtia nia wao na hapo ndio ile dhambi ya ubaguzi aliyoiongelea Baba wa Taifa itapoanza kuwatafuna.

2025 patakuwa hapatoshi na si ajabu yale ya JK na EL yakajirudia na safari wanaweza wasvuke salama.
2025 ndo mwaka CCM inasambaratika rasmi
 
Naomba kuuliza kwa nini mtanganyika haruhusiwi kwenda kugombea urais zanzibar. Ila mzanzibari anaruhusiwa kugombea urais akiwa tanganyika.
 
Huyu Mama kufika 2025 kila mtu atakuwa amemgeuka,Kwa ujumla kama Chadema wakijipanga,plus huruma za wananchi na kupitia Viongozi wa Dini na Asas Zisizokuwa za kiserikali wanachukua inchi kiulaini.Maana mpaluano ulioko huko CCM sio wa kitoto,hata mda wa kuiba kura watakosa
CHADEMA hawawezi kuchukua Nchi. Juzi tu hapa mama kapachika watiifu wa TISS kule NEC.

Kwa status-quo, ni ndoto za mchana kufikiri eti CHADEMA wanaweza kuingia ikulu kupitia sanduku la kura
 
Back
Top Bottom