Primitive nonsense...kaburu ni kaburu tu.Kwa hali ilivyo sasa ni aibu, inauma, na kuchukiza: Tanganyika kuongozwa na raia wa kigeni, then she
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Primitive nonsense...kaburu ni kaburu tu.Kwa hali ilivyo sasa ni aibu, inauma, na kuchukiza: Tanganyika kuongozwa na raia wa kigeni, then she
Hamna maana kama unakuwa Rais/mwenyekiti mwoga. Leo wameanza CCM wenzake, mwakani upinzani wataanza kuingia barabarani. Nchi hii itamshinda kama asipokuwa Iron lady na kupunguza Uzanzibari. shauri yake.Uzuri mama ndio mwenyekiti na fomu ya mgombea tutachapisha moja tu kama tulivyofanya kwa mwendakuzimu.
Hizi akili amekufa nazo Nyerere. Watu wanataka usawa kwenye Muungano.Primitive nonsense...kaburu ni kaburu tu.
Natamani RAIS Samia aone hiiMama wakambo atake asitake 2025 hagombei
Kama anapenda uongozi basi akaongoze kwao Zenji
2025 ni mtanganyika atakayeongoza nchi ya Tanganyika, na ikiwezekana presidaa mwanaume (jembe)
My foot!
Naomba kuuliza kwa nini mtanganyika haruhusiwi kwenda kugombea urahisi zanzibar. Ila mzanzibari anaruhusiwa kugombea urahisi akiwa tanganyika.
Mimi ningemshauri mama kwasabu wenye kuutaka urais wamesha anza kukunjua makucha ... aruhusu katiba mpya ipatikane ili watu wapambanie kombe ili yeye sasa apate popularity kupitia katiba na ikiwezekana apite ..Naomba wasiwepo wale walioshiriki kutufikisha hapa walioharibu uchaguzi wa local government na uchaguzi mkuu. Tupate wapya kabisa kama wapo
Brother kabisa uko serious?Chadema wachukue nchi?Kwa tume ipi?Kwa uchaguzi upi?Huyu Mama kufika 2025 kila mtu atakuwa amemgeuka,Kwa ujumla kama Chadema wakijipanga,plus huruma za wananchi na kupitia Viongozi wa Dini na Asas Zisizokuwa za kiserikali wanachukua inchi kiulaini.Maana mpaluano ulioko huko CCM sio wa kitoto,hata mda wa kuiba kura watakosa
Alichoandika Salary slip ni sahihi.Lakini pamoja na vurugu zote za wanaompinga, mama ataapishwa kuwa Rais kwa miaka mingine mitano na mizinga itapigwa.
Hapa ni njia nyeupe kwa wapinzani kama huyu mama atataka kulazimisha kupita bila kupingwa ndani ya chama chake....
Kwa katiba ipi?Kwa hyo CHADEMA nyie ni wasindikizaji tu?? Hamna malengo ya kuongoza nchi?
Tume ni CCM, vyombo vya dola ni CCM,nyenzo zote za ushindi, kukimbia na masanduku ya kura, kujaza kura fake ndani ya masanduku ya kura, kupora form za wapinzani, kuteka wapinzani na kila aina ya takataka ni njia zinazotumika na CCM kupora haki za wananchi.Brother kabisa uko serious?Chadema wachukue nchi?Kwa tume ipi?Kwa uchaguzi upi?
Basi waache siasa,watuache CCMKwa katiba ipi?
Bado sana. TANU ilifanikiwa sana kupandikiza mbegu flan ya woga wa mabadiliko vichwani mwa Watanzania. CCM ikarithi na matokeo yake yake sasa inahama kutoka kizazi hadi kizazi. Hili ndilo eneo ambalo Mwalimu pengine alifanikiwa kuliko maeneo yote. CCM ilitikiswa na Mrema sote tukaamini kwamba Kachero Lyatonga anatinga Ikulu. Wakati huo Mrema alitokea kuwa kati ya watu 5 maarufu nchini asingekosekana.Ikaja enzi ya CUF ngangari.Unakumbuka amshaamsha ya wafuasi wa Lipumba kipindi kile wakisafiri huku na kule kwa kutumia malori.Unakumbuka mafuriko ya Lowasa?Jiulize kwa nini kote huko upinzani ulidondokea pua. Nitajie chama kimoja tofauti na CCM barani Africa kilichoasisi Uhuru na bado kiko na uhakika wa kubaki mamlakani kwa asilimia 100?Nitajie kimoja tu.Mwalimu alipiga msumari mbaya sana.Tume ni CCM, vyombo vya dola ni CCM,nyenzo zote za ushindi, kukimbia na masanduku ya kura, kujaza kura fake ndani ya masanduku ya kura, kupora form za wapinzani, kuteka wapinzani na kila aina ya takataka ni njia zinazotumika na CCM kupora haki za wananchi.
Wapinzani wakiendelea kuchochea kuni moto ulioanza kuwaka ukiendelea kukolea CCM ikageuka kuwa masizi na moshi,pamoja na takataka zake zote,kitu ambachokinaweza kutoa mwanya kwa wapinzani kutinga magogoni kwa kuwa CCM hawatakuwa na ubavu tena wakufanya uharamia wao.
Nafasi ya wapinzani kushika dola itatokana na CCM yenyewe kwa kujikaanga na mafuta yake yenyewe.Bado sana. TANU ilifanikiwa sana kupandikiza mbegu flan ya woga wa mabadiliko vichwani mwa Watanzania. CCM ikarithi na matokeo yake yake sasa inahama kutoka kizazi hadi kizazi. Hili ndilo eneo ambalo Mwalimu pengine alifanikiwa kuliko maeneo yote. CCM ilitikiswa na Mrema sote tukaamini kwamba Kachero Lyatonga anatinga Ikulu. Wakati huo Mrema alitokea kuwa kati ya watu 5 maarufu nchini asingekosekana.Ikaja enzi ya CUF ngangari.Unakumbuka amshaamsha ya wafuasi wa Lipumba kipindi kile wakisafiri huku na kule kwa kutumia malori.Unakumbuka mafuriko ya Lowasa?Jiulize kwa nini kote huko upinzani ulidondokea pua. Nitajie chama kimoja tofauti na CCM barani Africa kilichoasisi Uhuru na bado kiko na uhakika wa kubaki mamlakani kwa asilimia 100?Nitajie kimoja tu.Mwalimu alipiga msumari mbaya sana.
Kwamfano ni nan president material wakusimama hyo 2025Mama wakambo atake asitake 2025 hagombei
Kama anapenda uongozi basi akaongoze kwao Zenji
2025 ni mtanganyika atakayeongoza nchi ya Tanganyika, na ikiwezekana presidaa mwanaume (jembe)