Issue kubwa ni watu kutaka kutimiza ndoto zao za urais 2025 baada ya Mwendazake kuondoka

Subiri uone Ccm watakavyoungana ktk uchaguzi huwa wanasambalatika kabla na baada ya uchaguzi wale
 
Mbeleko ipo pale kwa ile katiba chakavu c lingne
 
Ndo tunaingia 2022, Mungu atunusuru. Tuna a full 2023 na 2024, na miezi 10 almost ya 2025. In between yatakokea mengi, misimamo itabadilika, watajitokeza ambao hatutegemei. Tusubiri
 
Kwa kusubiri loose ball watakuwa pending mpaka sisi sote tutaondoka duniani
Hawana nia ya kuwasaidia watanzania. Wangekuwa na nia wangeishaleta msukosuko wa maana. Wakati mwingine huwa nawaza kuwa Chadema na wengine ni mpango wa kuwahadaa washirika wetu wa maendeleo.
 
unajidanganya, ccm itoke madarakani kwa Sanduku la kura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…