#COVID19 Issue ya Covid-19, Serikali izuie safari za India Mara moja

#COVID19 Issue ya Covid-19, Serikali izuie safari za India Mara moja

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Hapa nchini tuna jumuia kubwa ya wananchi wenzetu ambao wana Asili ya India, miongoni mwao huwa wanasafiri kwenda na kurudi Ibdia kwa shughuli za kijamii, kibiashara na Kidini.

Na tunajua kuwa hali ya India kwa sasa kutokana na Janga la Covid 19 kuwa ni kubwa Naishauri serikali kufunga mara moja safari zote za kuingia na kutoka India.

Serikali izuie kuingia nchini wageni/watu wote waliokuwa India wakati wowote wa mwezi mzima wa April

Mpaka sasa tumeshapoteza Watanzania wawili kwa Covid huko India, Mwanafunzi anayesoma PhD huko na Mwambata wa Kijeshi wa ubalozi wa Tanzania India.

Huu ni muda wa Samia kuonyesha uongozi katika suala la kudhibiti wageni kuingia nchini linapokuja suala la Covid.

Hata ile Covid iliyotuchapa mwezi December mwaka jana hadi February mwaka huu tungethibiti wageni kutoka Uingereza na South Africa hali isingekuwa mbaya sana.
 
Nimeona India kuna variant mpya ya kirusi cha Corona inawatesa sana, sisi sio kisiwa, tusipokuwa makini kitakuja kutuumiza kama kile cha SA, sijui kwanini tuko very to react.
 
Nimeona India kuna variant mpya ya kirusi cha Corona inawatesa sana, sisi sio kisiwa, tusipokuwa makini kitakuja kutuumiza kama kile cha SA, sijui kwanini tuko very to react.
JPM alimishandle kirusi cha South Africa. Kilitupa tabu sana mwezi January na February.

Sasa Samia asikosee kwa kirusi hiki cha India isije ikawa disaster!
 
JPM alimishandle kirusi cha South Africa. Kilitupa tabu sana mwezi January na February.

Sasa Samia asikosee kwa kirusi hiki cha India isije ikawa disaster!
Wange deal na hii kama dharura kwanza, ndio walete habari za kuunda Tume, hii kitu haiitaji second thought ni ku act accordingly as long as tumeshajua hatari inatokea wapi.
 
Hapa nchini tuna jumuia kubwa ya wananchi wenzetu ambao wana Asili ya India, miongoni mwao huwa wanasafiri kwenda na kurudi Ibdia kwa shughuli za kijamii, kibiashara na Kidini.

Na tunajua kuwa hali ya India kwa sasa kutokana na Janga la Covid 19 kuwa ni kubwa Naishauri serikali kufunga mara moja safari zote za kuingia na kutoka India.

Serikali izuie kuingia nchini wageni/watu wote waliokuwa India wakati wowote wa mwezi mzima wa April

Mpaka sasa tumeshapoteza Watanzania wawili kwa Covid huko India, Mwanafunzi anayesoma PhD huko na Mwambata wa Kijeshi wa ubalozi wa Tanzania India.

Huu ni muda wa Samia kuonyesha uongozi katika suala la kudhibiti wageni kuingia nchini linapokuja suala la Covid.

Hata ile Covid iliyotuchapa mwezi December mwaka jana hadi February mwaka huu tungethibiti wageni kutoka Uingereza na South Africa hali isingekuwa mbaya sana.
Ili iweje? yaani wewe mwenyewe huwezi kuchukuwa maamuzi?
 
IMG-20210502-WA0030.jpg
 
Sawa, but this is too little kwa sababu aliyepata covid siku chache kabla ya safari au kwenye ndege au airport ukimpima leo au hata kesho hutaona virusi, Ila ataanza kuambukiza watu wengine akishaingia nchini baada ya siku chache tu.

Serikali iache kucheza na maisha ya Watanzania

Serikali izuie wasafiri wanaotoka India kuingia nchini full stop!
 
Mnahangaika sana aise, mtu mmoja mwenye stress zake anaindika uzi ili kutisha wengine. Kama afya yako ya mgogoro ongeza kula mboga za majani na matunda. Ova
 
Hapa nchini tuna jumuia kubwa ya wananchi wenzetu ambao wana Asili ya India, miongoni mwao huwa wanasafiri kwenda na kurudi Ibdia kwa shughuli za kijamii, kibiashara na Kidini.

Na tunajua kuwa hali ya India kwa sasa kutokana na Janga la Covid 19 kuwa ni kubwa Naishauri serikali kufunga mara moja safari zote za kuingia na kutoka India.

Serikali izuie kuingia nchini wageni/watu wote waliokuwa India wakati wowote wa mwezi mzima wa April

Mpaka sasa tumeshapoteza Watanzania wawili kwa Covid huko India, Mwanafunzi anayesoma PhD huko na Mwambata wa Kijeshi wa ubalozi wa Tanzania India.

Huu ni muda wa Samia kuonyesha uongozi katika suala la kudhibiti wageni kuingia nchini linapokuja suala la Covid.

Hata ile Covid iliyotuchapa mwezi December mwaka jana hadi February mwaka huu tungethibiti wageni kutoka Uingereza na South Africa hali isingekuwa mbaya sana.
Bavicha bwana!
 
Back
Top Bottom