Kilitutendea mambo makuu, kikatuondolea lile jamaa laanakum...Hicho cha SA kiliishaje?
Unamaanisha siku chache au nyingi, hueleweki... au unadhani india ni hapo tu... hata hivo hizo conditions unadhani wao wameziandik tu bila kuzingatia utaalamu... mjitunze kuridhika... kila mkifanyiwa kitu... unapanua domo bado haitoshi.... jichimbie kbur bas ukajfche kidikufuate huko...Sawa, but this is too little kwa sababu aliyepata covid siku chache kabla ya safari au kwenye ndege au airport ukimpima leo au hata kesho hutaona virusi, Ila ataanza kuambukiza watu wengine akishaingia nchini baada ya siku chache tu.
Serikali iache kucheza na maisha ya Watanzania
Serikali izuie wasafiri wanaotoka India kuingia nchini full stop!
Sawa mjuaji, sisi mataahira wacha tuendelee kusisitiza umuhimu wa serikali kuchukua hatua za kunusuru maisha ya watanzania.Mimi watu wote wanaokaaga wanaiwaza Corona Kama sio wazee huwa nahisi wanaishi kwa shemeji zao au ni watoto wa masaki. Mpambanaji wa Kariakoo na mtaani kukaa unahofia Corona ni dalili za utaahira.
Mara yako ya mwisho kuvaa barakoa ilikuwa lini ndugu...??? Chsnjo vipi hujachoma? Msalimie dada, naona anakutunza vizuri pamoja na shemeji yako.... ukikua tafufa chumba upangeSawa mjuaji, sisi mataahira wacha tuendelee kusisitiza umuhimu wa serikali kuchukua hatua za kunusuru maisha ya watanzania.
Nyie wenye akili Corona haiwapati
Kliisha 17th MarchHicho cha SA kiliishaje?
Dada nitamfikishia salamu na nikikua nitapanga chumba!Mara yako ya mwisho kuvaa barakoa ilikuwa lini ndugu...??? Chsnjo vipi hujachoma? Msalimie dada, naona anakutunza vizuri pamoja na shemeji yako.... ukikua tafufa chumba upange
Hivi haujui kuwa variant ya India vijana wanakufa kwa wingi piaMimi watu wote wanaokaaga wanaiwaza Corona Kama sio wazee huwa nahisi wanaishi kwa shemeji zao au ni watoto wa masaki. Mpambanaji wa Kariakoo na mtaani kukaa unahofia Corona ni dalili za utaahira.