Issue ya Masogange, Uwoya amlipua Wema

Issue ya Masogange, Uwoya amlipua Wema

Sio team Wema ila sioni kosa la Wema hata mimi ningeumia nipewe kesi wengine waachwe kisa tu wanatembea na big boss wakati hadi kufungwa walifungwa kwa madawa, Warumi unamtetea Uwoya sababu humpendi wema ila hii meseji angeandika mama Ubaya ungeiponda tu
 
Lile sakata la masogange kuwekwa ndani kwa shutuma za madawa ya kulevya, limeingia ukurasa mpya baada ya hivi karibuni rafiki wa masogange ambaye pia ni staa wa filamu aitwaye Irene uwoya, kumjia juu wema sepetu baada ya kumtaja masogange kuwa mi miongoni mwa ma staa wanaotumia na kuuza madawa ya kulevya, staa hyo alitumia tafsida kufikisha ujumbe kwa wema sepetu kuwa alichokifanya sio ustaarabu ,alimtaka staa hyo kujifunza kutatua matatizo yake bila kumshirikisha mtu.

Wema na uwoya ni mastaa ambao inasadikiwa wako kwenye bifu la chini kwa chini kwa muda mrefu, uenda sakata hili linaweza kuibua ugomvi mkubwa kwa mastaa hao wawili wenye mvuto wa aina yake.
0d4af2ad2c1425946e216485b5739984.jpg
Nakuaminia
 
Duh
Samahani ivi Warumi ni ke au me?
Samahani kwa swali tata wakuu naomba kujua tu[emoji23]
 
Wema mchawi , na pale alikua hajui kama anarekodiwa anaanza kuropoka utumbo, mi limeniboa sana kwa kweli, unajua ni bora aggy angekamatwa kivyake sasa wema ndo kafanya akamatwe, hyo ni binadamu sasa?

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Kumbe alikuwa Hujui kama anarekodiwa...kwa alisema kwa hasira kwamba yeye kakamatwa wakati hafanyi hio biashara.... Na Anaefanya ambaye keshakamatwa hatakiwi kwa sababu chakula ya mkulu.... Ivi ingekuwa wewe umefanyiwa uonevu huu usingesema??? Kumbuka hasira zake hazikuwa masogange zilikuwa kwa mkulu. Na kwa vile alikuwa hajui kwamba anarekodiwa nadhani wema yuko innocent. Inaitwa ajali. Kama angemtaja moja kwa moja tungesema wema mkorofi.
 
Lile sakata la masogange kuwekwa ndani kwa shutuma za madawa ya kulevya, limeingia ukurasa mpya baada ya hivi karibuni rafiki wa masogange ambaye pia ni staa wa filamu aitwaye Irene uwoya, kumjia juu wema sepetu baada ya kumtaja masogange kuwa mi miongoni mwa ma staa wanaotumia na kuuza madawa ya kulevya, staa hyo alitumia tafsida kufikisha ujumbe kwa wema sepetu kuwa alichokifanya sio ustaarabu ,alimtaka staa hyo kujifunza kutatua matatizo yake bila kumshirikisha mtu.

Wema na uwoya ni mastaa ambao inasadikiwa wako kwenye bifu la chini kwa chini kwa muda mrefu, uenda sakata hili linaweza kuibua ugomvi mkubwa kwa mastaa hao wawili wenye mvuto wa aina yake.
0d4af2ad2c1425946e216485b5739984.jpg
Hapo kwenye "Your dead and gone" Uwoya alikuwa anamaanisha nini. Tujifunze kutumia na kuipenda lugha yetu ya Taifa popote pale kama anavyofanya Dr John.
 
Wema mchawi , na pale alikua hajui kama anarekodiwa anaanza kuropoka utumbo, mi limeniboa sana kwa kweli, unajua ni bora aggy angekamatwa kivyake sasa wema ndo kafanya akamatwe, hyo ni binadamu sasa?

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app

Si Wema aliyefanya akamatwe, tuwe wa kweli.

Kama Wema alifanya akamatwe ina maana Wema kasema kweli kuhusu Masogange na Makonda?

Na alivyoshikwa SA, ni Wema alimchomea?

Masogange kama anataka kujisafisha aseme kweli tu.
 
Issue ya Masogange ni ngumu hata Mwakyembe amekiri kuwa aliewatonya ameishia kufungwa, jiulize ni kwa nini? ule mzigo ulikuwa wa nani? hiyo ndio ngoma ambayo ilichezwa vizuri awamu iliyopita mpaka kupelekea mwanadada aliekamatwa na mabegi ya unga kuwa huru utafikiri alikuwa amebeba vitenge vya wax.
 
Back
Top Bottom