John Creasy
Senior Member
- Jul 27, 2023
- 176
- 298
Compare and contrast. Bill Gates Havard University drop out and a billionare. On the other hand Richard Matgew Stallman Havard Univesity and Massachusetts Institute of Technology worth USD 9m Founder of Free Sotware. My point is one is a businessman and the other is a Software Engineer. If you want to ve a billionare IT is not your cup of teamNi kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine
Ni IT wachache mnooooo wameweza kutajirika na ujasiriamali wa digital platdorms. Naemjua kwa sasa ni Nala ila huyu naona anapata boost sana kutoka kwenye familia aliyotoka,, wengine ni yule jamaa wa Max Malipo alilipwa bilioni akanunua range kali sana ya mamia ya mamilioni toka hapo sijamsikia.
Ajabu ni kwamba hadi sasa alieweza kutoboa zaidi wala hakusomea IT, ni mtu aliesomea mambo ya uhasibu ila alikomaa kwenye IT akauza platform yake ya mambo ya kuuza gesi wakampa bilioni 50.
Wengine wapo bize kuiba account za Fb utakuta account ya dada yako inapost picha za uchi huko magroup ya sauzi kumbe kuna jangili anaitumia ili apate pesa za blogging, hapa penyewe wengi wanaambulia milioni kwa mwezi, (wapo wanaopiga hadi 10 ila wachache)
Mfano mzuriii wa IT mbabaishajiiii ni ww ... Nilishawaiii kukupatia project ya ecommerce ikakushinda . Ukizingizia disk ime corruptIT ni kama taaluma nyingine kama U daktari, Uhandisi au Ualimu
Wenyewe haukufanyi uwe tajiri. Hao kina Mark Zuckerberg na Bill Gate ulio watazama kama mifano, moja hawakusomea IT kama Taaluma, na mbili sio IT iliyofanya wawe matajiri bali ni Entrepreneurship iliyochukua fursa ya soko la Personal computer (kwa Bill Gate) na technology ya World wide web (kwa Zuckerberg)
Pia tambua kuwa kuja na idea ni kitu kimoja, na kuifanya idea yako iwe product iliyofanikiwa sokoni ni kitu kingine
Wenzetu wana ecosystem nzuri mno ya kukuza kampuni changa / startups
Kuna startups marekeni zinapewa pesa nyingi ya kujiendesha kuliko pesa walizotoa DP Worlds kununua bandari zetu hapa
Na wana uwezo wa kuendelea kui support miaka mingi bila Faida
Hapa Tanzania kuna aina hio ya Ecosystem? Nani ni Angel investor hapa? Venture capital?
Jambo jingine, IT industry ya Marekani ni profitable kuliko nchi yoyote ile, so demand ya IT ni kubwa, hivyo mshahara wao ni mkubwa kuliko huku ambapo demand sio kubwa
The reason huku demand sio kubwa ni kwa sababu wafanyabishara wa huku hawaja ona value kubwa kwenye sekta ya IT, biashara zao bado ni Local
Mo anauza Juice na vibiriti.
Halafu hata logic yako bado ni ya kijinga, kutaka IT wa Tanzania wawe na mafanikio sawa na IT wa Marekani
Naweza tumia logic yako kusema Matajiri wa Bongo ni kituko, mbona hawapo top 100 ya Forbes?
Wewe ni taaluma gani kwani? Na una mafanikio kiasi gani?
Ni kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine
Ni IT wachache mnooooo wameweza kutajirika na ujasiriamali wa digital platdorms. Naemjua kwa sasa ni Nala ila huyu naona anapata boost sana kutoka kwenye familia aliyotoka,, wengine ni yule jamaa wa Max Malipo alilipwa pesa takribani bilioni toka hapo sijamsikia, bila kumsahau Maxence mwanzilishi wa huu mtandao maarufu hapa nchin nae si haba.
Ajabu ni kwamba hadi sasa alieweza kutoboa zaidi wala hakusomea IT, ni mtu aliesomea mambo ya uhasibu ila alikomaa kwenye IT akauza platform yake ya mambo ya kuuza gesi wakampa bilioni 50.
Wengine wapo bize kuiba account za Fb utakuta account ya dada yako inapost picha za uchi huko magroup ya sauzi kumbe kuna jangili anaitumia ili apate pesa za blogging, hapa penyewe wengi wanaambulia milioni kwa mwezi, (wapo wanaopiga hadi 10 ila wachache)
Jina kubwa ila kazi bado haimbebi ni wale developers wa majukwaa kila wiki wana meetup π π sasa untegemea tunakua competent linikuna huyu Kalebu wa Neurotech
daah πMfano mzuriii wa IT mbabaishajiiii ni ww ... Nilishawaiii kukupatia project ya ecommerce ikakushinda . Ukizingizia disk ime corrupt
Nala wateja wake ni diaspora je wewe ni diaspora au una ndugu ambaye ni diaspora?sio kwamba ni bifu ila NALA ana jina kubwa kuliko kazi, wewe mara ya mwisho umetumia nala ni lini, jamii forum naweza sema ndo iliofanikiwa zaidi kama kampuni
mm sio diaspora but nategemea pia kupokea ela kwa diaspora nkiwa na nala si ndio? unfortunately hata sisi tunaopokea hatujawahi ulizwa kama tunatumia NALA. we mostly use binance labda sjui unanielewaNala wateja wake ni diaspora je wewe ni diaspora au una ndugu ambaye ni diaspora?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
System hairuhusu startup kufanikiwa. Ukiona mtu ametoboa kwenye IT nchi hii ni yule ambaye yupo na financial support au connection ya kumwezesha kufika juu.
Kuna startup nipo nayo, lakini kila nikijaribu kuipush kuunganisha na system za fedha kama banks, mobile money wanahitaji a lot of documents ambazo kwa startup siwezi kuwa nazo au ili niwe nazo lazima mifuko itoboke kwa kiwango cha kutosha and they say ni matakwa ya BOT.
Ili tuweze kufanikiwa kwenye Tech industry kwa Tanzania, ni lazima tuwe na systems zinazo support maendeleo ya startups kuanzia kwenye policy, financial support, tech-minded leaders na sio wazee ambao they know nothing or they don't have any exposure to technology.
ahsanteni.
Hujawahi kuniangusha mkuu umemaliza mjadaraHata huko nje Ma IT sio Matajiri, IT sio field ya kumfanya mtu awe tajiri, wapo waliosoma IT wachache ambao pia wana vipaji vya Ujasiriamali wametoboa kwa kujiajiri.
Pia Tanzania wapo IT wengi wametoboa, pengine tunao wengi kuliko Nchi nyengine za Ki Africa.
Marehemu Ali Mufuruki Founder wa Infotech, aliwahi kumiliki Part ya Vodacom, Yeye pia ndio alituletea Fiber Zuku. Huyu jamaa alikua ni Tajiri kucompete Na Kina Mengi, Manji, Bakhresa etc. Moja ya IT wakubwa kabisa kutokea Africa na speech zake TED na kwengineko zinaangaliwa na mamilioni
Zipo kampuni kama Nala, Max Malipo, Selcom etc zimefanya vizuri tu.
Congratulations Maxence Melo π₯Nimesikitika sana kwenye kutaja kwako hujamtaja boss wa jamiiforum....
Naamini hii platform ipo successful sana na ni numero uno hapa bongoland.
Daah ππππMfano mzuriii wa IT mbabaishajiiii ni ww ... Nilishawaiii kukupatia project ya ecommerce ikakushinda . Ukizingizia disk ime corrupt