IT wa bongo mbona hamuanzishi platforms dark net?

IT wa bongo mbona hamuanzishi platforms dark net?

Sawa ili ujibiwe usiwe specific maana waTZ wamekalilishwa kuwa mtu yyt anaesomea Computer related studies ni IT.
Jibu ni hapana Kuna computer scientists, software engineers, CyberExperts na kada nyingine. IT ni professional ya aliyesoma Bachelor ya IT yaani information Technology na wanasoma wanapalaza sio deep kivilee. IT Anajua kwa juu Juu tu baadhi ya vitu hasa hasa computer maintenances.

Now tukija kwenye swali lako La kwanini watz hawatengenezi Dark web websites?

Dark web ni mahala sensitive sana penye uhitaji wa high security why because of continous cyber war and attacks. Sasa TZ kuna server farm nzuri kiasi icho. Jibu No na Je TTCL wataweza Ku host website yako yenye surfers wa darkweb jibu ni No.
lakini bado darkweb kazi wanaoingia kule wanafanya kazi maalum na za usiri mkubwa na hawaendi kule kuchati tu.
Kuanzisha darkweb website lazima uwe na lengo. Je lipo au una biashara haramu na watz walivyowoga duuuh ndio kabisaaa ila I recall one incident nilikuta Buffalo horns ziko onsale na unalipia kwa bitcoins na ziko specified zilikotoka Moja ya mbunga ya wanyama kanda ya ziwa

NB: Ukitaka kujua TZ kuna watu wa Bad jipange na ingia darkweb website weka tender na utoe Masharti kuwa unataka awe mtz ashushe server ya kampuni kubwa halafu weka mzigo wa kutosha. Utaona reply utakazopata.

NAKUPA USHAURI BURE... Ukiwa mpenzi Wa kwenda darkweb then Ziba PC Camera UTANISHUKURU
Ina maaana humo humo darkweb kuna website zake si ndio?kiukweli sijawahi kuelewa darkweb ipoje ipoje
 
Sasa ata wakiwemo utawajuaje? Kuhusu matumizi ya kiswahili sio jambo lenye afya sana maana sio lugha inayoeleweka na watumiaji weng.
 
Ina maaana humo humo darkweb kuna website zake si ndio?kiukweli sijawahi kuelewa darkweb ipoje ipoje
Yap website ni mfanano ila zina Domain name extension tofauti kama za kawaida mfano .com .co ila kuna browsers special zinaweza kukuwezesha kusurf kupitia hizo domain extension ila Chrome na nyinginezo huwezi.
Unaweza tumia Tor browser na usisahau VPN ili Feds na Hackers wanaojifunza wasije kukunyima privacy
 
Asilimia kubwa ya watu wanaojihusisha na hizo activies za dark net ni vijana jobless ila wana base nzuri ya computing, kwa mtu ambae ni professional ni nadra sana kumkuta akijihusisha na shughuli hizo labda awe funded na secret organizations for a purpose. Kwahiyo hata hapa bongo skillful graduates wengi hawawezi kupoteza muda kwa vitu visivyo na tija, watu wengi wenye kuweza kufanya illigal activities hawana background nzuri za computer zaidi ya kucheza games.
NB. kuweza kufanya kitu chenye tija kwenye dark net na kuishinda censoring, inahitaji a lot of investment; wabongo hawatakagi ku risk.
 
Si tumekwisha kubaliana IT wa Bongo ni ziro, sifuri matapeli n.k. Sasa unataka ma IT gani hai wafanye hayo mambo?

 
Kuwa wewe IT kama unaona wengine hawana uwezo.

Bongo tumezoea kuponda tu utasikia wachezaji hawajui mpira, waimbaji hawajui mziki, wanasiasa hawajui walitendalo anayesema yote hayo anaponda tu ila yeye hawezi kufanya.

Usipotaka kufanya jambo wewe mwenyewe kwa uweledi kubali kufanyiwa na yeyote yule.
 
Back
Top Bottom