Itabidi nimwambie tu kakangu ukweli

Itabidi nimwambie tu kakangu ukweli

Umesema shemu wako ni mwanamke anaepewa kila kitu na bro wako ila umesahau kitu kimoja.....anamiss mapenzi, bro wako ni mtu wa kusafiri kila mara, sasa yeye atapata wapi huduma.
Kuna kiapo cha ndoa lazima kiheshimiwe,jamaa anasafiri kikazi ikumbukwe! mfano Mr wake magonjwa wa stroke ndiyo afanya uzinzi!! Malaya ni malaya tu, hata kama Mr anasafiri sana hasipofanya hafi.
 
Ni mada mbili tofauti,na huyo kakangu ndo aliyenisomesha mpaka hayo mafanikio yote hayo nimefanikiwa kwa msaada wake kwangu,ila kwa hali kama hii inaumiza hata ungekuwa wewe mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukuru huyo shemeji hakumwaribu kaka yako akawatenga ndugu zake
Hicho ni kifaa chake hakikuhusu
 
Kuna kiapo cha ndoa lazima kiheshimiwe,jamaa anasafiri kikazi ikumbukwe! mfano Mr wake magonjwa wa stroke ndiyo afanya uzinzi!! Malaya ni malaya tu, hata kama Mr anasafiri sana hasipofanya hafi.
Dah.....ukweli mtupu
 
Habari wakuu,

Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,

Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,

Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,

Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,

Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,

Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh
 
Kuna kiapo cha ndoa lazima kiheshimiwe,jamaa anasafiri kikazi ikumbukwe! mfano Mr wake magonjwa wa stroke ndiyo afanya uzinzi!! Malaya ni malaya tu, hata kama Mr anasafiri sana hasipofanya hafi.
Naam
 
Habari wakuu,

Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,

Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,

Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,

Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,

Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,

Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
 
Back
Top Bottom