Itachukua Miaka Mingi Kumpata Rais Samia Mwingine Mwenye moyo wa upendo, uvumilivu, Hekima, Busara, Unyenyekevu, Subira, Usikivu na uzalendo

Moyo wa ufisadi siku hizi unaitwa kuwa ni moyo wa upendo,uvumilivu,hekima,busara,unyenyekevu,usikivu,uzalendo?!
Your browser is not able to display this video.
 
Waliokwambia kuwa ingekuwa kipindi cha ukoloni ungekuwa nyapara na kuonea waafrika wenzako hawakukosea, it's just a matter of time haijalishi majibu ya unachokifanya humu ndani ya jukwaa yatakufanya uiache hii ID yako kwa aibu.

Kwa akili kama hii ikitawala kwa kijana wa kitanzania tunamiaka 200 ya kupata maendeleo.

NB: Chukua ushauri wa Pascal Mayala aliokupa ukiwa unaisema CHADEMA itakusaidia sana.
 
Moyo wa ufisadi siku hizi unaitwa kuwa ni moyo wa upendo,uvumilivu,hekima,busara,unyenyekevu,usikivu,uzalendo?!
View attachment 2427614
Hapo mh Rais alikuwa anawaasa kuwa wazalendo kwa Taifa letu na waridhike na like wakipatacho kwa mujibu wa sheria. Wasipatwe na Tamaa ya kujipatia vipato vikubwa kinyume na sheria
 
"You can fool some people some times but you cant fool all the people all the time"

Bob Marley
 
Jibu hoja kwa hoja na siyo hoja kwa vihoja,Mimi Kama mtanzania nawasilisha mtizamo wangu juu ya kile nachokiona na kukishuhudia katika uongozi wa Rais Samia
 
Wakati wa Nyerere uliona nini? wakati wa mwinyi uliona nini? Wakati wa Mkapa Uliona nini? Wakati wa Kikwete uliona nini? Wakati wa JPM uliona nini?
Kila Zama na kitabu chake na kila Ukurasa na habari take,Hizi Ni Zama za mh Mama Samia zilizo has matumaini kwa watanzania ambapo kila mtanzania anaona fursa ya kuinuka kiuchumi katika uongozi huu wa Rais Samia,kwa kuwa katoa nafasi ya watanzania kupiga hatua za kimaendeleo kwa kuweka mazingira wezeshi.mfano Tumeona namna alivyowawezesha wakulima katika kilimo kwa kutoa mbolea za Ruzuku
 
Narudia tena, acha sifa za kijinga.
Rais Samia Anastahili sifa na pongezi kwa kazi kubwa na ya kutukuka aliyoifanya katika kulitumikia na kulijenga Taifa letu ambalo kwa Sasa kinaheshimika kila mahali utakapokwenda
 
Lucas unaishi wapi mwezetu maana unasifu vitu ambavyo mtaani havipo umeme tabu, maji tabu, mfumuko wa bei juu, any way inafaa nikuweke ignore tu mkuu
 
Daah asitokee mwingine tena.

Please GOD!!!!
 
Rais Samia Anastahili sifa na pongezi kwa kazi kubwa na ya kutukuka aliyoifanya katika kulitumikia na kulijenga Taifa letu ambalo kwa Sasa kinaheshimika kila mahali utakapokwenda

Anastahili pongezi toka kwanyie chawa wake.
 
Anastahili pongezi toka kwanyie chawa wake.
Anastahili pongezi kutoka kwa watanzania Ambao kwa macho yao wameona namna mh Rais alivyoiheshimisha Tanzania na kuwa Taifa la kupigiwa mfano na chaguo namba moja kwa wawekezaji na watalii kutoka kila pembe ya Dunia
 
Anastahili pongezi kutoka kwa watanzania Ambao kwa macho yao wameona namna mh Rais alivyoiheshimisha Tanzania na kuwa Taifa la kupigiwa mfano na chaguo namba moja kwa wawekezaji na watalii kutoka kila pembe ya Dunia

Chaguo la wawekezaji kwa huu mgao wa umeme?!
 
Acha utoto dogo.
Uwe na Imani na serikali ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia ambaye ameonyesha juhudi kubwa katika ujenzi wa Taifa letu na juhudi kubwa katika kukabiliana na changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…