Itachukua muda mrefu sana kupata jiwe hili wajenzi walilolikataa

Itachukua muda mrefu sana kupata jiwe hili wajenzi walilolikataa

Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu...
Uthubutu mwingine ni wa kijinga.

Kama vile uthubutu wa kukataa kuvaa barakoa kwenye pandemic huku ukijijua una matatizo ya moyo.

Hapo Magufuli aliongoza kijinga, tuseme ukweli.
 
IMG-20210318-WA0000.jpg
 
Ni kweri ndiyo maana ameacha taifa lililogawanyika mno. Hakukuwa na sababu za kuwafikisha watu huku kwenye kuombeana kufa...
brazaj mnaemchukia amekufa tayari burudikeni sasa ni wakati wenu.

Msitulazimishe tufurahi nanyi naomba mtuache tuhuzunike maana sisi twatambua ya kwamba aliyafanya yote kwa ajili ya Tanzania.

Madhaifu yake ameenda nayo wacheni tuyakumbuke mema yake maana ni adimu kupata mtu wa Kariba yake
 
Ukijenga barabara na madaraja huku ukiua wanaopingana na wewe kimtazamo ina faida gani!?
Binafsi nilimhesabu kama Rais asiyejiamini kabisa kupata kumuona!!
 
Ukijenga barabara na madaraja huku ukiua wanaopingana na wewe kimtazamo ina faida gani!?
Binafsi nilimhesabu kama Rais asiyejiamini kabisa kupata kumuona!!
Ni bora asingejenga tukabaki vile vile? Ndo msaada huo?
 
Tumepoteza kiongozi imara sana kuwahi kutokea Afrika Mashariki, ukitoa Waasisi!
Tutahangaika sana na hii katiba yetu mbovu
 
Ukijenga barabara na madaraja huku ukiua wanaopingana na wewe kimtazamo ina faida gani!?
Binafsi nilimhesabu kama Rais asiyejiamini kabisa kupata kumuona!!

Ukweli mchungu huyu bwana alikuwa ni rais mzigo kuwahi kutokea katika history ya nchi hii.

Chuki na mifarakano aliyotuletea haina mfano.

Samahani wasukuma huyu bwana kama alikuwa ndugu yenu, hamfai kupewa dhamana kama hii kwa muda wa kutosha kwanza. Mjifunze kabisa kwanza.

Kwani hata ni siri?

Mambo yote yalihamia chattle achilia machungu aliyotuletea.

Si ukweli ndugu zangu?
 
Meku labda kiongozi nyumbani kwako,mtu anatukana mama n dada zetu hadharani,mauaji ya kutisha hajawahi hata kemea,mungu kampiga kelbu moja tu kameza ulimi wake yuko anapistahili aishi,duniani haikua mahala pake pa kuishi
Mkuu unaamini kutoka kwake ni nafuu kwa mtz?
 
Mungu akubariki sana mangi
Umeyasema ya moyoni mwangu
Tumuombee mpendwa wetu na tujifunze kupitia kwake "tenda wema nenda zako"
Tafakari pia
Kwamba urais ni Taasisi lakini bwana mkubwa alifanya urais Kama ni jambo binafsi
Unamlaumu nani kuhusu kuondoka kwa huyu mwamba?
Lawama zote zirudisheni kwake mwenyewe kwa kushupaza shingo kuwa bwana haambiliki na hili lililotokea na kuhitimisha uhai wake Ni dogo tu katika mengi ambayo amefanya ndivyo sivyo mpaka wananchi wengi kumchukia ukiachilia yale machache ambayo ni mazuri Sana aliyoyafanya
 
Ukweli mchungu huyu bwana alikuwa ni rais mzigo kuwahi kutokea katika history ya nchi hii.

Chuki na mifarakano aliyotuletea haina mfano.

Samahani wasukuma huyu bwana kama alikuwa ndugu yenu, hamfai kupewa dhamana kama hii kwa muda wa kutosha kwanza. Mjifunze kabisa kwanza.

Kwani hata ni siri?

Mambo yote yalihamia chattle achilia machungu aliyotuletea.

Si ukweli ndugu zangu?
Mimi ni mchaga alitutenga sana lakini bado,shida inakuja nani atakuwa nafuu? Jibu hakuna waliobaki wote ni mzigo tu.

Ukitanguliza mapenzi binafsi huezi kama ana maana kwako ila angalia faida za pamoja ndio utamuona ni mtu tofauti sana.
 
Kama kujenga madaraja gharama yake ni kuua wanaopishana na wewe mtazamo ni bora tungebaki vile vile!!

Ni bora kukaa na njaaa ukiwa huru kuliko kushiba ukiwa gerezani!!
Mzee mshamba sana yule!
Ushamba ni kawaida ya wasukuma lakini hakuna kama yeye kwa nyakat hizi...muda utaongea,weka alama uzi huu
 
ni swala la muda natamani wanao sherehekea kifo chake wakusanyike tena baada ya miaka miwili wafanye hivyo hivyo wakifurahia kifo cha Magufuri na huku wakituonyesha mafanikio waliyopata kwa kuondoka kwake.
 
Maccm yanajipanga kurudi upya, ile osha osha, tumbua tumbua, fukuza fukuza. Ilikuwa chukizo sana kwa mafisadi
 
Alikuwa na ulazima gani wa kuuwa?

Hapo achilia mbali waliokufa kwa Corona ambao iliwezekana kuipisha.

Ndugu zao hao wana jema lipi la kumsifu nalo?
Swala la covid lilikuwa la kibinafsi,ukipoteza afya yako serikali haiwahusu... Ww unajua covid ni hatari lakini huchukui tahadhari unategemea nini?
 
Back
Top Bottom