Itachukua muda mrefu sana kupata jiwe hili wajenzi walilolikataa

Itachukua muda mrefu sana kupata jiwe hili wajenzi walilolikataa

Mimi ni mchaga alitutenga sana lakini bado,shida inakuja nani atakuwa nafuu? Jibu hakuna waliobaki wote ni mzigo tu.

Ukitanguliza mapenzi binafsi huezi kama ana maana kwako ila angalia faida za pamoja ndio utamuona ni mtu tofauti sana.

Huyu bwana atupishe tupambane na Corona kwanza. Mengine baadaye.

Tumepoteza wengi akiwamo yeye kwa kutokusikiliza tu.

Tuanze na mabarakoa na social distancing kwanza. Tuingie takwimu za ufonjwa tupate kuwa salama kwanza.

Nakazia: mengine baadaye!
 
N
Alikuwa na ulazima gani wa kuuwa?

Hapo achilia mbali waliokufa kwa Corona ambao iliwezekana kuipisha.

Ndugu zao hao wana jema lipi la kumsifu nalo?
Nitajie watu watatu tu waliokufa kwa Corona Tanzania
 
Kaka Watanzania wengi ufahamu wao ni mdogo sana kumambanua Mambo. Muda mwingi tumekua watu wa Majuto.

Mimi niseme ukweli 2015 siku mpigia Ndugu Magufuli. Kutokana na Siasa za Upinzani na waliyotuaminisha kwamba nchi yetu inaibiwa sana na serikali ya chama cha Mapinduzi imeshindwa kudhibiri wizi na ufisadi unaopelekea Umaskini na mateso mengi kwa wananchi wake.

Na kumbuka siku huyu bwana Alipotangazwa ulikua Msiba mzito sana kutokana na Matokeo kutoka tofauti na Matarajio yetu.

Lakini Na kumbuka baada ya kuanza kuona jitihada za dhati kabisa Ambazo huyu Mzalendo wa ukweli kabisa kuanza kufanya Taratibu nilianza kumpenda na kumwelewa.

Maana wale Ambao walituaminisha Ufisadi ndio wakageuka wapinga mema Aliyoyafanya Huyu Mzalendo wa Kweli kabisa.

Kaka Mimi nimekaa nikawaza sana juu ya jambo hili kwa nini Mungu Ameliruhusu?

Nikapata jibu 1
Watanzania wameikanyaga Lulu Ambayo Mungu Alitupatia. Hawa kuona Thamani Yake na wamekufuru hivyo Mungu Ameamua kuchukua Lulu Yake ili tupate tulichokua tunakitaka na kukataa MTU Mwema kama huyu.

Nimalizie kwa kusema
Kila jicho litamwombolezea na kusema heri kama siku za Magufuli zingerudishwa tunge Mzunguka na Kumbariki kwa Matendo Yake Mema Aliyotutendea. Muda utaongea.
 
Mungu akubariki mkuu.... tuombeane uzima tuliomtukana jana tutamhitaji kesho.

Rais sio Mungu ni binadamu mwenye kasoro zake kama ilivyo kwako na kwangu.

JPM alikuwa na mapungufu yake kama binadamu. Alikuwa mthubutu, mpenda nchi yake na mpenda watu wa hali ya chini.

Muda ni wakati hata miezi sita haipiti tutamhitaji.
 
Swala la covid lilikuwa la kibinafsi,ukipoteza afya yako serikali haiwahusu... Ww unajua covid ni hatari lakini huchukui tahadhari unategemea nini?

Covid halikuwa suala binafsi. Wala aliyekufa au kuugua covid unadhani ni makosa yake?

IMG_20210214_214251_251.jpg


Chanjo nazo je? Tunazipataje bila serikali.

Mwenyewe yamemkuta, Maalim, Nkapa, Kijazi nk. Sisi tuna hepa vipi?

Serikali zinawajibu wa kutuhami siyo kutukamua kodi tu.
 

Good Riddance​

Alitaka kuifunga Jamii Forum, lakini kashindwa na kamwe hatotokea wa kuifunga. Jamii Forum
Amefunga Twitter mpaka VPN imempiga bao

Halafu mnakuja humu kumsikitikia, kwenye Jamii Forum, Kafeni mbele huko......
He is done and dusted, and I am happy he is gone


Naunga Mkono Jamii Forum Team kwa kutokuweka bandiko la rasmi la Maombelezi.
 
Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu.

Toka nipate akili sikuwahi kuona kiongozi mwenye uthubutu kama Magufuli, hakuwa muoga, alikua mkali na aliogopeka na kila mtu. Mwaka 2015 kabla ya ufunguzi maoni ya Watanzania wengi walitaka kiongozi mkali, ili asimamie vizuri mali zao na aache kucheka na wezi.

Magufuli alijitahidi sana kutimiza hilo, serikalini kulikuwa na nidhamu ya kweli, mnyonge alipata furaha lakini kama ujuavyo katika dunia hii hutaweza kumridhisha kila mwanadamu. Magufuli hakuwa malaika asiwe na kasoro, pamoja na kasoro yake alimizia mengi kuliko matarajio ya wengi.

Harakati za kumpiga vita mitandao ni kubwa sana kuliko mitaani, hali ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja sio powa sana lakini ameimarisha miundombinu. Online Tanzania hatakiwi wakati Wakenya waliomba awe rais wao.

JK akitukanwa sana lakini alikumbukwa baada ya muda mfupi. Magufuli ni jiwe walilolikataa waashi lakini litakuwa jiwe kuu la pembeni muda si mrefu.

Miradi kama SGR, mwendo kasi Mbagala, kujenga mji mkuu Dodoma n.k vinaweza kusimama au kuchukua muda mrefu kama kiongozi anaeingia hatavaa viatu vyake vizuri. Binafsi naamini Magufuli atakumbukwa zaidi ya marais wote Tanzania.
Magufuli alipotezwa na wapambe kama wewe. Angeshirikisha watu wenye busara na upeo kwenye uongozi wake bila kujali kama anawachukia au wanampinga angekuwa kiongozi mzuri sana. Tatizo lake alikumbutia wasaka tonge wapambe kama wewe ambao walikuwa wanamdanganya mambo mengi ili waendelee kushiba. Watu kama Makonda, watu kama yule James mtoto wa dadake, watu kama mzee wa ngono Gwajima, wote hawa walimpotosha.
 
Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu.

Toka nipate akili sikuwahi kuona kiongozi mwenye uthubutu kama Magufuli, hakuwa muoga, alikua mkali na aliogopeka na kila mtu. Mwaka 2015 kabla ya ufunguzi maoni ya Watanzania wengi walitaka kiongozi mkali, ili asimamie vizuri mali zao na aache kucheka na wezi.

Magufuli alijitahidi sana kutimiza hilo, serikalini kulikuwa na nidhamu ya kweli, mnyonge alipata furaha lakini kama ujuavyo katika dunia hii hutaweza kumridhisha kila mwanadamu. Magufuli hakuwa malaika asiwe na kasoro, pamoja na kasoro yake alimizia mengi kuliko matarajio ya wengi.

Harakati za kumpiga vita mitandao ni kubwa sana kuliko mitaani, hali ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja sio powa sana lakini ameimarisha miundombinu. Online Tanzania hatakiwi wakati Wakenya waliomba awe rais wao.

JK akitukanwa sana lakini alikumbukwa baada ya muda mfupi. Magufuli ni jiwe walilolikataa waashi lakini litakuwa jiwe kuu la pembeni muda si mrefu.

Miradi kama SGR, mwendo kasi Mbagala, kujenga mji mkuu Dodoma n.k vinaweza kusimama au kuchukua muda mrefu kama kiongozi anaeingia hatavaa viatu vyake vizuri. Binafsi naamini Magufuli atakumbukwa zaidi ya marais wote Tanzania.Hakika

Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu.

Toka nipate akili sikuwahi kuona kiongozi mwenye uthubutu kama Magufuli, hakuwa muoga, alikua mkali na aliogopeka na kila mtu. Mwaka 2015 kabla ya ufunguzi maoni ya Watanzania wengi walitaka kiongozi mkali, ili asimamie vizuri mali zao na aache kucheka na wezi.

Magufuli alijitahidi sana kutimiza hilo, serikalini kulikuwa na nidhamu ya kweli, mnyonge alipata furaha lakini kama ujuavyo katika dunia hii hutaweza kumridhisha kila mwanadamu. Magufuli hakuwa malaika asiwe na kasoro, pamoja na kasoro yake alimizia mengi kuliko matarajio ya wengi.

Harakati za kumpiga vita mitandao ni kubwa sana kuliko mitaani, hali ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja sio powa sana lakini ameimarisha miundombinu. Online Tanzania hatakiwi wakati Wakenya waliomba awe rais wao.

JK akitukanwa sana lakini alikumbukwa baada ya muda mfupi. Magufuli ni jiwe walilolikataa waashi lakini litakuwa jiwe kuu la pembeni muda si mrefu.

Miradi kama SGR, mwendo kasi Mbagala, kujenga mji mkuu Dodoma n.k vinaweza kusimama au kuchukua muda mrefu kama kiongozi anaeingia hatavaa viatu vyake vizuri. Binafsi naamini Magufuli atakumbukwa zaidi ya marais wote Tanzania.
uko sahihi mkuu
 
Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu.

Toka nipate akili sikuwahi kuona kiongozi mwenye uthubutu kama Magufuli, hakuwa muoga, alikua mkali na aliogopeka na kila mtu. Mwaka 2015 kabla ya ufunguzi maoni ya Watanzania wengi walitaka kiongozi mkali, ili asimamie vizuri mali zao na aache kucheka na wezi.

Magufuli alijitahidi sana kutimiza hilo, serikalini kulikuwa na nidhamu ya kweli, mnyonge alipata furaha lakini kama ujuavyo katika dunia hii hutaweza kumridhisha kila mwanadamu. Magufuli hakuwa malaika asiwe na kasoro, pamoja na kasoro yake alimizia mengi kuliko matarajio ya wengi.

Harakati za kumpiga vita mitandao ni kubwa sana kuliko mitaani, hali ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja sio powa sana lakini ameimarisha miundombinu. Online Tanzania hatakiwi wakati Wakenya waliomba awe rais wao.

JK akitukanwa sana lakini alikumbukwa baada ya muda mfupi. Magufuli ni jiwe walilolikataa waashi lakini litakuwa jiwe kuu la pembeni muda si mrefu.

Miradi kama SGR, mwendo kasi Mbagala, kujenga mji mkuu Dodoma n.k vinaweza kusimama au kuchukua muda mrefu kama kiongozi anaeingia hatavaa viatu vyake vizuri. Binafsi naamini Magufuli atakumbukwa zaidi ya marais wote Tanzania.
Mwenyezi Mungu atusaidia tuombe sana wkt huu
 
Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu.

Toka nipate akili sikuwahi kuona kiongozi mwenye uthubutu kama Magufuli, hakuwa muoga, alikua mkali na aliogopeka na kila mtu. Mwaka 2015 kabla ya ufunguzi maoni ya Watanzania wengi walitaka kiongozi mkali, ili asimamie vizuri mali zao na aache kucheka na wezi.

Magufuli alijitahidi sana kutimiza hilo, serikalini kulikuwa na nidhamu ya kweli, mnyonge alipata furaha lakini kama ujuavyo katika dunia hii hutaweza kumridhisha kila mwanadamu. Magufuli hakuwa malaika asiwe na kasoro, pamoja na kasoro yake alimizia mengi kuliko matarajio ya wengi.

Harakati za kumpiga vita mitandao ni kubwa sana kuliko mitaani, hali ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja sio powa sana lakini ameimarisha miundombinu. Online Tanzania hatakiwi wakati Wakenya waliomba awe rais wao.

JK akitukanwa sana lakini alikumbukwa baada ya muda mfupi. Magufuli ni jiwe walilolikataa waashi lakini litakuwa jiwe kuu la pembeni muda si mrefu.

Miradi kama SGR, mwendo kasi Mbagala, kujenga mji mkuu Dodoma n.k vinaweza kusimama au kuchukua muda mrefu kama kiongozi anaeingia hatavaa viatu vyake vizuri. Binafsi naamini Magufuli atakumbukwa zaidi ya marais wote Tanzania.
Uko sahihi mkuu
 
Mungu akubariki mkuu.... tuombeane uzima tuliomtukana jana tutamhitaji kesho.

Rais sio Mungu ni binadamu mwenye kasoro zake kama ilivyo kwako na kwangu.

JPM alikuwa na mapungufu yake kama binadamu. Alikuwa mthubutu, mpenda nchi yake na mpenda watu wa hali ya chini.

Muda ni wakati hata miezi sita haipiti tutamhitaji.
hakika
 
Mawe yapo Meeengiiii
Hao Wakenya wanaishi Tz? Wanashuhudia Mateso yetu? Media zina ripoti tunayo pitia?
 
Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa Mungu.

Toka nipate akili sikuwahi kuona kiongozi mwenye uthubutu kama Magufuli, hakuwa muoga, alikua mkali na aliogopeka na kila mtu. Mwaka 2015 kabla ya ufunguzi maoni ya Watanzania wengi walitaka kiongozi mkali, ili asimamie vizuri mali zao na aache kucheka na wezi.

Magufuli alijitahidi sana kutimiza hilo, serikalini kulikuwa na nidhamu ya kweli, mnyonge alipata furaha lakini kama ujuavyo katika dunia hii hutaweza kumridhisha kila mwanadamu. Magufuli hakuwa malaika asiwe na kasoro, pamoja na kasoro yake alimizia mengi kuliko matarajio ya wengi.

Harakati za kumpiga vita mitandao ni kubwa sana kuliko mitaani, hali ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja sio powa sana lakini ameimarisha miundombinu. Online Tanzania hatakiwi wakati Wakenya waliomba awe rais wao.

JK akitukanwa sana lakini alikumbukwa baada ya muda mfupi. Magufuli ni jiwe walilolikataa waashi lakini litakuwa jiwe kuu la pembeni muda si mrefu.

Miradi kama SGR, mwendo kasi Mbagala, kujenga mji mkuu Dodoma n.k vinaweza kusimama au kuchukua muda mrefu kama kiongozi anaeingia hatavaa viatu vyake vizuri. Binafsi naamini Magufuli atakumbukwa zaidi ya marais wote Tanzania.
Chuma kimeondoka bila kutu,sasa sijajua Mama Samia ataamua kuwa wa moto au wa baridi na kuturejesha enzi zile za " unanijua mimi nani".

RIP Magu.
 
Kaka Watanzania wengi ufahamu wao ni mdogo sana kumambanua Mambo. Muda mwingi tumekua watu wa Majuto.

Mimi niseme ukweli 2015 siku mpigia Ndugu Magufuli. Kutokana na Siasa za Upinzani na waliyotuaminisha kwamba nchi yetu inaibiwa sana na serikali ya chama cha Mapinduzi imeshindwa kudhibiri wizi na ufisadi unaopelekea Umaskini na mateso mengi kwa wananchi wake.

Na kumbuka siku huyu bwana Alipotangazwa ulikua Msiba mzito sana kutokana na Matokeo kutoka tofauti na Matarajio yetu.

Lakini Na kumbuka baada ya kuanza kuona jitihada za dhati kabisa Ambazo huyu Mzalendo wa ukweli kabisa kuanza kufanya Taratibu nilianza kumpenda na kumwelewa.

Maana wale Ambao walituaminisha Ufisadi ndio wakageuka wapinga mema Aliyoyafanya Huyu Mzalendo wa Kweli kabisa.

Kaka Mimi nimekaa nikawaza sana juu ya jambo hili kwa nini Mungu Ameliruhusu?

Nikapata jibu 1
Watanzania wameikanyaga Lulu Ambayo Mungu Alitupatia. Hawa kuona Thamani Yake na wamekufuru hivyo Mungu Ameamua kuchukua Lulu Yake ili tupate tulichokua tunakitaka na kukataa MTU Mwema kama huyu.

Nimalizie kwa kusema
Kila jicho litamwombolezea na kusema heri kama siku za Magufuli zingerudishwa tunge Mzunguka na Kumbariki kwa Matendo Yake Mema Aliyotutendea. Muda utaongea.
Umemaliza maneno yangu mkuu.
 
brazaj mnaemchukia amekufa tayari burudikeni sasa ni wakati wenu.

Msitulazimishe tufurahi nanyi naomba mtuache tuhuzunike maana sisi twatambua ya kwamba aliyafanya yote kwa ajili ya Tanzania.

Madhaifu yake ameenda nayo wacheni tuyakumbuke mema yake maana ni adimu kupata mtu wa Kariba yake
[emoji106]
 
Back
Top Bottom