Itafute elimu ya siri - hidden knowledge

Itafute elimu ya siri - hidden knowledge

Nje ya mada, kuna mtu alinihadithia kuhusu dini ya jadi, na kiongozi (mtume) wao anaitwa fumbakasa. Na ibada zao wanafanyia kigamboni, mwny kujua naomba anijuze zyd
 
Uchawi ni uchawi tu, nenda YouTube ukaangalie vizuri. Search best magician 2023, 2022 agt au bgt au vyovyote. Tatizo ni kwamba miujiza akifanya mzungu inaonekana katumia akili. Akifanya mweusi inaonekana mchawi. Amini usiamini uchawi ni ule ule, kama unabisha nikuletee link ya mfano hapa. Wanayofanya pale ni uchawi 100%, mambo yasiyowezekana kwa uwezo wa kibinadamu.
Mkuu, ungeweka link
 
Jf ishakuwa ya kifala, sijui kwanini baadhi ya comments zinafungiwa?
 
Kuna vitu viwili wanafanya wazungu kuna magic tricks na kuna uchawi. Narudia tena kuna uchawi. Kuna mzungu anaitwa DYNAMO ni raia wa uingereza, karithishwa uchawi na babu yake tangu akiwa mdogo, yamekuwa ndo maisha yake. Amesafiri nchi nyingi akifanya miujiza hata barabarani, mtafute YouTube, alitembea hadi juu ya maji au kupanda ghorofa kwa upande(against gravity). Hizo magic tricks huwa zinakuwa revealed wamefanyaje ila kuna uchawi hakuna anayeweza kuureveal. Ukiamua kusaka maarifa na kuelewa utanielewa. Nitakuletea mfano..
We endelea kuwaza uchawi wenzako wanatengeneza chanjo artificial intelligence na marocket ya kwenda mars afu baadae unauliza are Africans cursed.. maendeleo huanzia kwenye mindset..wenzetu washatoka huko
 

View: https://youtu.be/TY08SBH2xzc?si=-I7XS6t-xtIc7rrm
Angalia hiyo video Dynamo akiwa South Africa uswahilini, ana ndoo ndogo tupu katoa samaki wengi kuliko ndoo yenyewe, mpaka leo wazungu wanabwabwaja kujaribu kuelezea namna alivyofanya na hawajawahi kupata majibu, wote wanabahatisha tu ukiwasikiliza kwa umakini.

🤣Just because mtu kanizidi ujanja siwezi conclude ni superstition...mi kutoweza kuelezea kitu doesn't mean ni uchawi it means siwezi kuelezea .na sio kazi yangu kuelezea.. mzungu akiona kitu hakielewi anatafuta suluhisho.. ndo maana wakati we unaombea corona iondoke kwa mwamposa na kukanyaga mafuta mwenzako yupo maabara anahangaika apate chanjo
 
Kabisaa asee,,asilimia kubwa waliosoma shule za seminari hata kama hana ajira rasmi hawezi na wala si rahisi kushindwa kupambana na Hali yoyote ya kimaisha Wana kuwa Kwanza usiri,, ujuzi,,Maarifa,,mitazamo,,fikra na maono ya kiutofauti na wanaosoma hizi shule za kawaida na ndio maana wengi wao hupewa vitengo nyeti kwenye taasisi za kiserikali,,mashirika ya umma,,binafsi n.k!!na michujo ya kuwapata wale supa kwa ajili ya matumizi hufanyika huko huko kwenye mashule ya seminari
🤣🤣🤣🤣Huu ni uwongo...shule za seminari tumesoma hamna Cha maana zaidi ya kukaririshana salamu maria na sala kadhaa na bible knowledge ya mchongo . Eti maono
 
🤣🤣🤣🤣Huu ni uwongo...shule za seminari tumesoma hamna Cha maana zaidi ya kukaririshana salamu maria na sala kadhaa na bible knowledge ya mchongo . Eti maono
Wewe ndio hukupewa vya maana na nimekwambia ni Kwa % Fulani sio wote na sio shule zote,, michujo na ubora lazima izingatiwe kwa shule na wanafunzi pia hawaokotezi kiboya kama unavyodhani
 
🤣Just because mtu kanizidi ujanja siwezi conclude ni superstition...mi kutoweza kuelezea kitu doesn't mean ni uchawi it means siwezi kuelezea .na sio kazi yangu kuelezea.. mzungu akiona kitu hakielewi anatafuta suluhisho.. ndo maana wakati we unaombea corona iondoke kwa mwamposa na kukanyaga mafuta mwenzako yupo maabara anahangaika apate chanjo
Kama wewe ni mtu wa kutafuta sababu sababu bila kuumiza kichwa kubali HUNA AKILI.., Mimi Kila kitu najipa majibu kwanza mimi.., sikubali kuendeshwa.na ha NWO(New World Order). Tuishie hapa.
 
Nipe Connection ya huyo Mzee Mkuu!Mjadala usiwe mrefu.
Njia ya Iringa_Mbeya...Kuna sehemu wanatengeneza vyungu...panaitwa Rungemba...shuka hapo ulizia njia ya kwenda kijiji cha Udumuka.....ndani ya njia hiyo ulizia Mzee Magege. 👍
 

View: https://youtu.be/TY08SBH2xzc?si=-I7XS6t-xtIc7rrm
Angalia hiyo video Dynamo akiwa South Africa uswahilini, ana ndoo ndogo tupu katoa samaki wengi kuliko ndoo yenyewe, mpaka leo wazungu wanabwabwaja kujaribu kuelezea namna alivyofanya na hawajawahi kupata majibu, wote wanabahatisha tu ukiwasikiliza kwa umakini.

Haya mambo yapo sana....lakini wengi wetu tunapigwa upofu tusipate ufahamu.
Unajua hata Yesu wengi walimfuata kwa sababu ya uhakika wa kula mkate na samaki....ofcoz na mvinyo 🍷.
 
Kuna kipindi kipo UK kinaitwa British has got talent, na Marekani - America's got talent, kuna jamaa wanajiita magician (wanamazingaombwe), wanafanya vitu ambavyo ni miujiza kabisa na ni nje ya uwezo wa kawaida wa binadamu. Ukiingia YouTube ukaangalia video zao utakubaliana na mleta mada.

Na wengi ni wazungu, niliiona hadi mtoto wa kike wa miaka 8 muingereza alifanya miujiza na akadai amefundishwa na babu yake. Hii dunia ina mambo mengi yaliyojificha.
Mimi niliona upande wa pili wa hilo!

Ni raia wa UK. Naye yeye ni magician. Alipoulizwa imekuwaje kuwa na hicho kipaji alichojibu ni kuwa aliupenda hivyo aliomba kufundishwa na mzee aliyokuwa akifanya hayo!

Yeye anasema alipelekwa kwenye pango. Kisha huyo mzee akachora duara. Akamwambia aingie na asitoke mpaka kesho asubuhi atakapo kuja kumuona.

Akamwambia haja zote akijisikia ajisaidie ndani ya hilo shimo asitoke. Na usiku atakuja mtu atamuuliza shida yake ni nini basi amuelezee huyo mtu atamfundisha cha kufanya.

Yeye jamaa anasema usiku hakumuona mtu bali alisikia sauti ikimhoji tu. Ila alimalizia kwa aliingia makubaliano naye. Ndiyo siri ya yeye kuwa magician.
 
Wewe ndio hukupewa vya maana na nimekwambia ni Kwa % Fulani sio wote na sio shule zote,, michujo na ubora lazima izingatiwe kwa shule na wanafunzi pia hawaokotezi kiboya kama unavyodhani
How can we prove this...ushaanza kusema Mara wewe Mara huyu...kaja hizo knowledge zingekuwa za maana mbona afrika inaongoza kwa udini na ndo sehemu maskini kuliko zote duniani...we kubali umeongea pumba yaishe
 
Kama wewe ni mtu wa kutafuta sababu sababu bila kuumiza kichwa kubali HUNA AKILI.., Mimi Kila kitu najipa majibu kwanza mimi.., sikubali kuendeshwa.na ha NWO(New World Order). Tuishie hapa.
🤣🤣🤣That's not research...huwezi sema nini kinasababisha mvua...afu unasema malaika anamwaga mikojo afu ukalala ukasema unajibu.. yaani hata elimu ya class 5 ya scientific investigation huna ndo maana hatuendelei
 
🤣 nimetoka kumsearch huyo dynamo cjui ni magician tu wa kawaida na kitabu chake kinaelezea namna ya kufanya, hamna Cha uchawi Wala unini...tatizo linaanza hapa ndo maana bongo mtaishia kuishi kwa mafuta ya kukanyaga
 
How can we prove this...ushaanza kusema Mara wewe Mara huyu...kaja hizo knowledge zingekuwa za maana mbona afrika inaongoza kwa udini na ndo sehemu maskini kuliko zote duniani...we kubali umeongea pumba yaishe
Kwani uliyoyasema wewe Una uhakika unaweza ukayapruvu??
 
🤣 nimetoka kumsearch huyo dynamo cjui ni magician tu wa kawaida na kitabu chake kinaelezea namna ya kufanya, hamna Cha uchawi Wala unini...tatizo linaanza hapa ndo maana bongo mtaishia kuishi kwa mafuta ya kukanyaga
Mbona umekazana bongo mnaishi hivi mara vile, mara mafuta ya kukanyaga? we unawajua watu wote humu wanaishi wapi!?.., unajua mimi ni raia wa nchi gani na naishi wapi!?,au sababu tupo hapa tunazozana kwa kiswahili!!?,una tatizo la kuhisi upo juu ya wengine na unajua kila kitu. Mara nyingi watu kama wewe huwa hata elimu yenu ya kawaida sana ila much know nyingi. Kwenye maisha ukiwa mtu wa kujiona mjuaji sana mara nyingi utapitwa na mengi na mnakujaga kuujua ukweli ukiwa 65 years huko. Punguza ujuaji itakusaidia hata kwenye jamii inayokuzunguka kila siku. Mengine kubali hujui uelimishwe.
 
Back
Top Bottom