Kuna moja alikutana na wa watu barabara akawa anawambia mfikirie mtu yeyote yule unaetamani kuongea nae atakupigia sim hapo hapo, na kweli ukimfikiria tu unashanga huyo mtu kakupiga sim. Hadi wakawa wanamuuliza anawezaje kufanya hvyo
View: https://youtu.be/TY08SBH2xzc?si=-I7XS6t-xtIc7rrmAngalia hiyo video Dynamo akiwa South Africa uswahilini, ana ndoo ndogo tupu katoa samaki wengi kuliko ndoo yenyewe, mpaka leo wazungu wanabwabwaja kujaribu kuelezea namna alivyofanya na hawajawahi kupata majibu, wote wanabahatisha tu ukiwasikiliza kwa umakini.
Sahihi mkuu, umenikumbusha nyingine alikuwa new York watu kibao wakamzunguka akawaambia kila mtu atoe simu yake mfukoni aishikilie mkononi, baada ya kama sekunde 10 hivi simu zote zikaanza kuita na zote namba ni UNKNOWN, Kuna magic tricks na kuna uchawi (miujiza),ila ikifanywa na wazungu inatafutiwa sababu za kisayansi. Ila jaji mmoja wa Britain has got talent alimuuliza dogo mmoja, Is your grandpa a Wizard!?,akasema Yes, he is. And I inherited his witchcraft.Kuna moja alikutana na wa watu barabara akawa anawambia mfikirie mtu yeyote yule unaetamani kuongea nae atakupigia sim hapo hapo, na kweli ukimfikiria tu unashanga huyo mtu kakupiga sim. Hadi wakawa wanamuuliza anawezaje kufanya hvyo
Allucinating plants mbona iko mingi sana na inajulikana mfano mbangi, Coca, tobacco nk. Mengine inaota katika mazingira tunayoishi..Kuhusu huo Mmea sijui miti ya Hallucinating humu ishazungumziwa Sana kipindi fulani,,nikipata link nitaweka sio kwamba wewe ndio wa kwanza kuleta Jambo Hilo
By the way Asante kwa maarifa uliyo tupatia,shusha vitu
Wapi huko tukamuoneKuna moja alikutana na wa watu barabara akawa anawambia mfikirie mtu yeyote yule unaetamani kuongea nae atakupigia sim hapo hapo, na kweli ukimfikiria tu unashanga huyo mtu kakupiga sim. Hadi wakawa wanamuuliza anawezaje kufanya hvyo
mi nilikuwa naangalia kipindi chake discovery channel ila unaweza zitafta youtubeWapi huko tukamuone
Haha ndio ...we ni sawa na kusema Nina ngombe mwenye kutoa barafu ila haonekani kwa macho ya kawaida mpaka uwe na ya kiroho ..🤣ni kichaa peke yake anaweza amini such bullcrapKwani uliyoyasema wewe Una uhakika unaweza ukayapruvu??
Nielimishe vitu factual sio conspiracy theoriesMbona umekazana bongo mnaishi hivi mara vile, mara mafuta ya kukanyaga? we unawajua watu wote humu wanaishi wapi!?.., unajua mimi ni raia wa nchi gani na naishi wapi!?,au sababu tupo hapa tunazozana kwa kiswahili!!?,una tatizo la kuhisi upo juu ya wengine na unajua kila kitu. Mara nyingi watu kama wewe huwa hata elimu yenu ya kawaida sana ila much know nyingi. Kwenye maisha ukiwa mtu wa kujiona mjuaji sana mara nyingi utapitwa na mengi na mnakujaga kuujua ukweli ukiwa 65 years huko. Punguza ujuaji itakusaidia hata kwenye jamii inayokuzunguka kila siku. Mengine kubali hujui uelimishwe.
Nitakupa elimu gani kuhusu miujiza(uchawi) uelewe!?,tafuta video moja Dynamo yupo New York kazungukwa na raia wakishangaa uchawi wake, akawaamuru watoe simu mifukoni wote wazishike mkononi., sekunde chache simu zote zinaita na Unknown number, utaniambia hiyo ni magic tricks!??,katafute maelezo yoyote alifanyaje kama utayapata!.. halafu njoo hapa uniambie wewe hiyo ni magic trick au uchawi!???Nielimishe vitu factual sio conspiracy theories
Time travel.?Mkuu upo sahihi
Kuna aina ya uyoga....kijiji fulani kwa mzee fulani...psilocybin mushrooms....daah uyoga huu ulikuwa na maajabu ya kutosha...Kuna namna aliuandaa akachanganya na vile vitu vyeupe vinavyotoka kwenye kichuguu...halafu tukavuta na tumbaku muda wa kulala....ghafla nikajikuta nipo miaka ya nyuma darasa la kwanza tupo darasani na wenzangu wote nikawakambuka.....muda wa kutoka shule.....nikawaaga hamtaniona tena....wakawa wanachekaa....Sasa cha ajabu mwalimu akawa anashangaa mbona leo unasoma vizuri unaandika vizuri....(nikawa kimya tu)...manake ningetoa siri nisingeeeza kuamka tena....HAWA MAMBO VERY CONTROVERSIAL yapo lakini wanadai ati ni MYSTERY.
siamini hadi namimi nikutane nae.😂 labda ni maigizo tu kama yule reporter wamchongo.?Kuna moja alikutana na wa watu barabara akawa anawambia mfikirie mtu yeyote yule unaetamani kuongea nae atakupigia sim hapo hapo, na kweli ukimfikiria tu unashanga huyo mtu kakupiga sim. Hadi wakawa wanamuuliza anawezaje kufanya hvyo
Kitu dizani hiyo ila sitarudia tenaTime travel.?
Kuna mkasa fulani ulitokea kwenye ukoo fulani,jamaa wakahangaika sana kila sehemu kupata ufumbuzi walienda kwa waganga wote nguli ikashindikana na maombi yote yakagoma,mwisho wakakutana na Mzee mmoja akawaambia kama mna mtu au ndugu ana uhusiano wa karibu mno na Padre yeyote wa Catholic amfuate aongee nae private na amwombe sana amtatulie hilo tatizo. Huyo Mzee akaweka angalizo kuwa jamaa wanaweza kufanya ila kwa hela ndefu mno,kweli wakapata Padre akawafanyia na tatizo likaisha,ila iliwakost zaidi ya 10+mlMojawapo ya watu wanaopewaga maarifa ya siri ni waseminari wanaosomea Upadre.
nataka namimi brotherKitu dizani hiyo ila sitarudia tena
kumbe hata hizi Imani za wenzetu bado hatuzijui vizuri yani tunazani tukisoma bible tumemaliza.Kuna mkasa fulani ulitokea kwenye ukoo fulani,jamaa wakahangaika sana kila sehemu kupata ufumbuzi walienda kwa waganga wote nguli ikashindikana na maombi yote yakagoma,mwisho wakakutana na Mzee mmoja akawaambia kama mna mtu au ndugu ana uhusiano wa karibu mno na Padre yeyote wa Catholic amfuate aongee nae private na amwombe sana amtatulie hilo tatizo. Huyo Mzee akaweka angalizo kuwa jamaa wanaweza kufanya ila kwa hela ndefu mno,kweli wakapata Padre akawafanyia na tatizo likaisha,ila iliwakost zaidi ya 10+ml