Itaje hapa shule ya Msingi ya Serikali inayotoa elimu kwa lugha ya kiingereza (English medium) iliyopo mkoani kwako

Itaje hapa shule ya Msingi ya Serikali inayotoa elimu kwa lugha ya kiingereza (English medium) iliyopo mkoani kwako


Kumekuwa na hoja kwamba majina wapewayo watoto yanaweza kuwafanya wakafanikiwa sana maishani ama wakawa na changamotooo.....Je inaweza ikawa pia kwa majina ya shule wasomazo watoto...mfano hiloo ..kaauchii likamfanya mwanafunzi akawa anapenda kula/liwa tunda kimasiharaaa
 
Kuna shule za secondary nazo ni kiboko kwa mandhari
Screenshot_20200715-210552.png
 
Habari zenu wanabodi,

Kuna watu wengi hawafahamu kama serikali inazo shule zake za msingi za mitaala ya kiingereza (English medium) kwa gharama nafuu, Tusaidiane kufahamu majina na zilipo kwa kila eneo/mkoa hizi shule. Naanza

1. Olympio - Dar Es Salaam
2. Diamond - Dar Es Salaam
3. Magufuli - Mbeya
4. Mapinduzi - Gangilonga Iringa
5. Mkapa - Mbeya
6. Oysterbay primary school - Dar
7. Nyasa primary school - Kyela, Mbeya
8. Arusha primary school - Arusha
9. Angaza - Mbeya
10. Nuru - Mbeya
11. Iringa primary school - Iringa
12. Lupilisi - Ruvuma
13. Tanga Primary school - Tanga
14. Kisimani - Arusha
15. Azimio - Mbeya
16. Nyanza primary school - Mwanza
17. Chato primary school - Geita
18..........................................................
19.........................................................
20..............................................................


Karibuni wakuuu
nyanza ya mwanza sijui tangu lini imekuwa english medium ( chaka hili)
 
Habari zenu wanabodi,

Kuna watu wengi hawafahamu kama serikali inazo shule zake za msingi za mitaala ya kiingereza (English medium) kwa gharama nafuu, Tusaidiane kufahamu majina na zilipo kwa kila eneo/mkoa hizi shule. Naanza

1. Olympio - Dar Es Salaam
2. Diamond - Dar Es Salaam
3. Magufuli - Mbeya
4. Mapinduzi - Gangilonga Iringa
5. Mkapa - Mbeya
6. Oysterbay primary school - Dar
7. Nyasa primary school - Kyela, Mbeya
8. Arusha primary school - Arusha
9. Angaza - Mbeya
10. Nuru - Mbeya
11. Iringa primary school - Iringa
12. Lupilisi - Ruvuma
13. Changa Primary school - Tanga
14. Kisimani - Arusha
15. Azimio - Mbeya
16. Nyanza primary school - Mwanza
17. Nyakahoja primary school - Mwanza
18..........................................................
19.........................................................
20..............................................................


Karibuni wakuuu
mkoani primary school-kibaha pwani
 
Habari zenu wanabodi,

Kuna watu wengi hawafahamu kama serikali inazo shule zake za msingi za mitaala ya kiingereza (English medium) kwa gharama nafuu, Tusaidiane kufahamu majina na zilipo kwa kila eneo/mkoa hizi shule. Naanza

1. Olympio - Dar Es Salaam
2. Diamond - Dar Es Salaam
3. Magufuli - Mbeya
4. Mapinduzi - Gangilonga Iringa
5. Mkapa - Mbeya
6. Oysterbay primary school - Dar
7. Nyasa primary school - Kyela, Mbeya
8. Arusha primary school - Arusha
9. Angaza - Mbeya
10. Nuru - Mbeya
11. Iringa primary school - Iringa
12. Lupilisi - Ruvuma
13. Tanga Primary school - Tanga
14. Kisimani - Arusha
15. Azimio - Mbeya
16. Chato primary school - Geita
17..........................................................
1.........................................................
19..............................................................


Karibuni wakuuu
Tatizo kumwandikisha mwanao hapo mpaka angie ni shughuli Takukuru nadhani wangeweka kambi kwenye hizi shule
 
Kuna shule za secondary nazo ni kiboko kwa mandhariView attachment 1508442
Pumba-vu sana Nappe, Kumbe ulitumia Wizara husika kupeleka miradi ya Uboreshaji wa Viwanja kwenye Kijiji chako, unadhani ujanja kumbe ni upuuuzi na upotezaji wa Rasilimali za Taifa. Nimekutoa thamani kabisa kwa ubinafsi na Upendeleo wa dhahiri, mwisho wa siku hilo Carpet litaoza kwa jua with Under Utilization. Hongera baba wa Taifa kwa Usawa maaana hatukuona kila kitu kikipelekwa Butiama.
 
Habari zenu wanabodi,

Kuna watu wengi hawafahamu kama serikali inazo shule zake za msingi za mitaala ya kiingereza (English medium) kwa gharama nafuu, Tusaidiane kufahamu majina na zilipo kwa kila eneo/mkoa hizi shule. Naanza

1. Olympio - Dar Es Salaam
2. Diamond - Dar Es Salaam
3. Magufuli - Mbeya
4. Mapinduzi - Gangilonga Iringa
5. Mkapa - Mbeya
6. Oysterbay primary school - Dar
7. Nyasa primary school - Kyela, Mbeya
8. Arusha primary school - Arusha
9. Angaza - Mbeya
10. Nuru - Mbeya
11. Iringa primary school - Iringa
12. Lupilisi - Ruvuma
13. Tanga Primary school - Tanga
14. Kisimani - Arusha
15. Azimio - Mbeya
16. Nyanza primary school - Mwanza
17. Chato primary school - Geita
18..........................................................
19.........................................................
20..............................................................


Karibuni wakuuu
Tangu lini liserikali likawa na akili ya kuongoza na kufanya biashara ya shule au elimu kwa ujumla?

Inefficiency tupu na ujinga ujinga!
 
Back
Top Bottom