Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanza miaka yote ilikuwa ya kiswahili labda Kama wameanza awamu hii. Nyakahoja ilikuwa chini ya kanisa katoliki, labda Kama imetaifishwa hivi karibuniNyanza primary school,Nyakahoja primary school Mwanza
Kuona fursa ni wapi tunaweza kupeleka watoto (kwa wenye watoto) kwa Ada nafuuLengo kuu ni nini hasa?
Arusha school ndio jina maarufuInaitwaje kaka
Kwamba akishajua kiingereza anakuwa mu Irish?Kuona fursa ni wapi tunaweza kupeleka watoto (kwa wenye watoto) kwa Ada nafuu
Nyakahoja ni private skul toka miaka ya sabini kama sikoseiNyanza primary school,Nyakahoja primary school Mwanza
Nyanza ni shule ya kiswahili,mkoa wa mwanza hauna shule ya primary yenye hadhi hiyoinawezekana nimechanganya mkuu ngoja nicheki vizuri
Mwache mwanao asome shule za bure unapenda slope eeeehKwamba akishajua kiingereza anakuwa mu Irish?
Kwani uingereza wewe unatoka sehemu ipi? Kifaa tunachotumia huku kukunia nazi uingereza ulikotoka mnakiitaje kwaniMwache mwanao asome shule za bure unapenda slope eeeeh
Chadema secondary school Moshi TanzaniaHabari zenu wanabodi,
Kuna watu wengi hawafahamu kama serikali inazo shule zake za msingi za mitaala ya kiingereza (English medium) kwa gharama nafuu, Tusaidiane kufahamu majina na zilipo kwa kila eneo/mkoa hizi shule. Naanza
1. Olympio - Dar Es Salaam
2. Diamond - Dar Es Salaam
3. Magufuli - Mbeya
4. Mapinduzi - Gangilonga Iringa
5. Mkapa - Mbeya
6. Oysterbay primary school - Dar
7. Nyasa primary school - Kyela, Mbeya
8. Arusha primary school - Arusha
9. Angaza - Mbeya
10. Nuru - Mbeya
11. Iringa primary school - Iringa
12. Lupilisi - Ruvuma
13. Tanga Primary school - Tanga
14. Kisimani - Arusha
15. Azimio - Mbeya
16. Chato primary school - Geita
17. mkoani primary school-kibaha pwani
1.........................................................
19..............................................................
Karibuni wakuuu
Duh..! Vichaa huwa hawakosekaniChadema secondary school Moshi Tanzania
Mngejaribu kuweka na bei kwa maana ya gharama ingependeza sanachief ahsante
Laki tatu mkuu ada nje ya michango mingineMngejaribu kuweka na bei kwa maana ya gharama ingependeza sana
Poa poa!!Laki tatu mkuu ada nje ya michango mingine