Itakuaje siku Diamond akiwaomba radhi clouds TV?

umekalili ivo,, uyo ruby si katokea THT?

Hawezi furukuta hapo, wamemkuza wenyewe,,

lakini Diamond ni [emoji91]
 
Usifananishe brand ya Mosha na brand wa WCB kumbuka robo 3 ya watanzania ambao wengi wao ni wanawake,watoto,na vijana ni mashabiki kindakindaki wa WCB....
Kwenye vita usitengemee marafiki zako watakuwa upande wako

Mashabiki wa Ally Kiba watakuwa upande wa clouds

Hakuna media au msanii atakae weza kuiangusha clouds hata waje cnn, foxnews clouds itaendelea kuwepo na bongo sasa hvi hamna media inayo weza kuipa changamoto clouds ni ukweli ambao wengi hatu taki kuusikia...

Ipp media ndiyo walio kuwa wapambane na clouds lakini tulisha wazika.

E media nao wapo Intensive Care Unit..
 
Kwani mose kugombana na Shilawadu unaua urafiki wa Dai na claus! Hata kama sallam alingilia kati kulikua hakuna haja ya Dai ku leta beef. Putting in mind sallam ana uswahili alafu huyu mwengine ana Masters ya street management, wanataka kumwangusha kijana wao. Sio kwamba anabebwa na Media lashaha lakini leo hii hawako sawa na EATV sasa ni clouds then itafuata nyingine. Anaelekea wapi kama celebrity? Atakumbuka ushauri wa Eric Shingongo
 


Kama na wewe una tatizo la macho kama mimi kana kwamba ukiona kivuli cha picha ya Don Carleon kinakufanya ukifananishe na cha Joseph kusaga basi jibu utalipata kirahisi hii vita itaishaje

Na nadhan utakuwa sahihi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nakuona B12
 
Usifananishe brand ya Mosha na brand wa WCB kumbuka robo 3 ya watanzania ambao wengi wao ni wanawake,watoto,na vijana ni mashabiki kindakindaki wa WCB....
Unaweza kutupatia methodology uliyotumia kupata hizi findings?
 
Kwani diamond kakosa nn kamtukana au kumjibu mtu sk na iyobo ndio wameleta vurugu kinyesi apakwe mondi its unfair
 
Hivi unajua gharama ya msanii kufanya kazi na mtu kama rick ross
 
E FM wenyewe wanaonekana kushindwa, walekua ktk game 2016 2017 lkn hadi kufikia Leo, naona bado hawajatoboa tena hao wana TV wana radio, sembuse msanii wa kawaida!!!?
E Fm ulitaka watoboaje kwa mfano.
Redio ambayo imeanza 2016 leo inasikika mikoa 10 masafa ya Fm na inasikika dunia nzima kwenye mtandao na inasikika nch nzima kwenye madish ya azam.
Aisee nani alianza ndani ya mwaka akasambaa mikoa 10?
Wamejitahidi sana
 
Lakin jiulize kwanin nao ant virus ilishindwa au baada ya sugu kuwasaliti wenzie kisa dili lake la mradi wa malaria kuwekwa sawa
 
Jide na Sugu mkuu naomba msiwe mnamsahau Sugu jaman
Sugu alipatanishwa na Dr Nchimbi.
Jide hajapatanishwa na mtu hope anakwenda vizur.
Sugu alipondwa sana 2010 kwenye kampeni ila alikaza na akashinda hapo ndo IKAWA AMESHINE ZAIDI,na CMG walishaona image yao inapotea kwa sababu SUGU alikuwa akiwaponda sana kwenye bunge ndio maana wakakaa chini wakayamaliza.
So Jide na Sugu ndo waliweza kufanya kilichopaswa kufanywa
 
Sugu hapana mkuu,Sugu kasanda,ugomvi wao uliisha kwa kigezo cha kusema Mbowe alikutana na Ruge hili waweze kupata mwafaka...SUGU kashamaliza ugomvi na Ruge.
Sugu alipatanishwa na Nchimbi,
Sasa unaweza kusema kasanda alisandaje kwa mfano?Clouds walikuwa wakimponda kwenye kampeni za 2010 kapita,haya 2015 ndo kaongoza kwa kura and he's still moving,sasa huyo amesanda kweli?
 
Nakubaliana na wewe asilimia zote kiongozi wangu...
 
Reactions: SDG
Istoshe ETV sasa hv Wapo vizuri zaidi ya Clouds tv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…