Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Si jambo rahisi kufunga tu twitter na mitandao mingine.

Ni suala la kiufundi sana na siwezi kulizungumzia kwa undani kutokana na umuhimu wake mkubwa kwa taifa.

Ila inawezekana, na hao China na nchi zingine kadhaa zimeweza kutofunga bali kwa kutumia njia ya kuwadhibiti watoa huduma za internet yaani ISPs na wale wa binafsi kama wa VPN.

Kinachotafutwa bu kuweka balance kati ya masuala ya kueneza sumu mitandaoni na nia njema ya watumiaji wa mitandao hiyo.
TCRA wanao uwezo wa kufungia Twitter mkuu, hayo mengine uliyosema yanahitaji utafiti.
 
Tcra wanao uwezo wa kufungia Twitter mkuu, hayo mengine uliyosema yanahitaji utafiti.
Nakubali, ila si jambo rahisi tu kufunga mitandao.

Kuna mambo mengi watakiwa kuyazingatia unapofikiria kudhibiti mitandao ya kijamii.

Hivyo basi, wazo lako liwe ni kudhibiti mitandao na si kuifunga.
 
Haina haja sababu wanao eneza ubaya Twitter ubaya wao Wana uona wenyewe tu na watu wenye akil timam ya kuwaelewa wanacho chohea
 
Huu mfano uliotoa hapa unaonesha wazi ufahamu mdogo ulionao kuhusu mambo unayojitahidi kujifanya unayajua. Labda kwa taarifa yako tu, risasi inakotokea inaweza kutoboa ukubwa wowote kutegemeana na kaliba ya Bunduki, umbali, aina ya risasi na eneo la kifua.
 
Nilipojiunga hapa JamiiForums nilikuambia Wewe na 'Wapuuzi' Wenzako wote kuwa Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ni Mfuasi wa CHADEMA?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui kuwa wewe ni mwenzetu pale Lumumba ila huwa uko invisible. Unaitwa katika kuchakata habari za THINK TANK tu, hebu amuulize Petro Magoti kama hakufahamu.

Itakuwa hata Mtunduizi El Commandante Kichwa Mashine Mh. Patrobass P. Katambi amezisikia vyema Habari zako kule SAUT ALUMNI.

Wewe DAWA KALI YA KUUA VIJIDUDU vya bakteria uko ndani ya PARTY CAUCUSES.

Siempre Siempre
Hasta la Victoria

Najua nawe kwako MAENDELEO HAYANA VYAMA.
 
wewe ndio unapost upuuzi,mkifunga Twiter mtafunga na JF, utatolea wapi mapumba yako? stupid
JF hata Police kitengo cha Cybercrimes wanafanya nao kazi ndio waje waifunge? Hujasikia wanasifiwa kwa kuweka moderators.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hajui kuwa wewe ni mwenzetu pale LUMUMBA ila huwa uko invisible...unaitwa katika kuchakata habari za THINK TANK tu, hebu amuulize PETRO MAGOTI kama hakufahamu.

ITAKUWA hata Mtunduizi El Commandante Kichwa Mashine mh.Patrobass P. Katambi amezisikia vyema HABARI zako kule SAUT ALUMNI.

Wewe DAWA KALI YA KUUA VIJIDUDU vya bakteria uko ndani ya PARTY CAUCUSES.

Siempre Siempre
Hasta la Victoria

Najua nawe kwako MAENDELEO HAYANA VYAMA.
Mimi nimeamua kuisema kweli nayo imeniweka huru sasa ni yeye kujipima mwenyewe.

Watu kama hawa sio wa kuwaendekeza.
 
Wewe nafikiri unawashwa huko chini, Jf hata Police kitengo cha Cybercrimes wanafanya nao kazi ndio waje waifunge? Hujasikia wanasifiwa kwa kuweka moderators. Unatype huku unajikuna?

Loooh mkuu umeamua kumuingia "maungoni" dada yetu huyu wa SINZA MORI...😂😂😂

Kumbeee hata POLICE wamo humu JF...wanachakata vya kupost na vya kudustbin?!!

Ahsante kwa KUTUJUZA...
Lingekuwa jambo la mbolea kama hao polisi wangekuwa wako huko TCRA kuishughulikia hiyo Twitter.

Tatizo bado hatujawa vema kwenye teknolojia.

Vinginevyo suala la kuidhibiti hiyo mitandao ni suala jepesi sana.
 
Mimi nimeamua kuisema kweli nayo imeniweka huru sasa ni yeye kujipima mwenyewe.

Watu kama hawa sio wa kuwaendekeza.
Mkuu umenikumbusha IMANI kuu. Hakika KWELI HUTUWEKA HURU. FITINA KWETU MWIKO.

Nakuongezea na zile kubwa 3:

1.Binadamu wote ni Sawa

2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia sahihi ya KUJENGA JAMII ILIYO SAWA NA HURU.

Mkuu mnaweza kuongea MAUDHUI yafananayo kwa different APPROACHES(party CAUCUSES).

Hicho chama kina watu wengi mnoo tena mnooo.

Wengine ukiambiwa UTAKATAA na kuwaita kuwa ni TLP 😂😂😂😂 ha ha ha ha ha
 
Lingekuwa jambo la mbolea kama hao polisi wangeuwa wako huko TCRA kuishughulikia hiyo Twitter.

Tatizo bado hatujawa vema kwenye teknolojia.

Vinginevyo suala la kuidhibiti hiyo mitandao ni suala jepesi sana.
Kumbeee eeee?!!

Sasa Irugunde anasema hapa JF wako "mamwera" was cybercrimes...ndio wakose kuwepo TCRA?!!?

Inawezekana kweli MTUNDUIZI?
 
Wafungie waliopora kura za wananchi hadi kupeleka wazinzi bungeni#Gwajiboy
 
Back
Top Bottom