Bila kusahau pia kwamba Tanzania inalinda anga la Great Lakes.Kama anga la Tanzania linaweza kuona ndege vita inayoweza kuiletea madahara Tanzania ndio isiweze kudhibiti Vpn,naomba ulale kama hauna mke
Nenda kasome Cyber crimes Act, 2015. Section 6(1) Acha kuropoka. Watu wanajidanganya ukiwa China unapata Twitter sio kirahiai unavyodhania.Sawasawa.
Ila China wana sheria inayozuia VPN kwa watu binafsi.
Makampuni na taasisi wao wanaruhusiwa kama nilivyosema hapo juu.
Sheria zinataka VPN ziwe approved na serikali ndio watu waweze kutumia.
China wao walijenga ukuta uitwao Great Firewall of China ambao unatoa huduma za kujikinga na matatizo ya Internet kutokea nje ya China.
Nimeisoma uzuri.Nenda kasome Cyber crimes Act, 2015. Section 6(1) Acha kuropoka. Watu wanajidanganya ukiwa China unapata Twitter sio kirahiai unavyodhania.
N.b: China na Tanzaniq ni ndugu.
ππKizuri Chajiuza, Kibaya Chajitembeza . Acha Mafuta Yajitenge Na Maji
Mkumbushe pia kipindi cha kampeni alijipigia domo kupitia page yake, akiomba apigiwe kura.Wakati ukionyesha 'Chuki' za wazi wazi Kwao 'Twitter' na kutaka 'Serikali' iifungie tambua kuwa hata Rais wako JPM nae ni mwana 'Twita' vile vile.
ππKama anga la Tanzania linaweza kuona ndege vita inayoweza kuiletea madahara Tanzania ndio isiweze kudhibiti Vpn,naomba ulale kama hauna mke
Aisee, nilifikiri ni mimi tu.Kama mlifunga whatsup na bado tuko sawa itakuwa twiter? Mbona hata tv hatuangalii tena na bado tuko sawa?
China wameshindwa kivipi?China wameshindwa sembuse Tz. Kwani VPN zinauzwa?
Kama mke yuko bleed?Apige kamoja kakulalia, ahaaaaa.