Sokolokwinyo
New Member
- Oct 14, 2020
- 1
- 3
Hapana,kuna matukio maalum yanayoweza sababisha bunge kuvunjwa,kwa hiyo si rahis kulivunja tuu hadi itokee jambo mahsusiJe hakuna uwezekano wa kuingia madarakani na kulivunja bunge kabla hajateua waziri mkuu na uchaguzi ukaitishwa upya ili apate wabunge wanaoweza kuunda serikali?