suma g
Member
- Mar 13, 2019
- 30
- 55
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japan ina wazee wengi na ipo karibu na nchi za kwanza kuathirika na Coronavirus lakini waliokufa kwa Coronavirus sio wengi.
Vile vile Germany inawazee karibia sawa na Italy lakini kiwango cha waathirika wa Coronavirus ni ndogo ukilinganisha na Italy!
Italy hawana good healthcare system na sasa hivi ime collapse!
Kabla ya kupata Corona alikuwa na maradhi mkuu...fuatilia mwafrika hafi kwa mafua Kama mafua
Nilikuwa nina mjibu aliyesema Italy Wameathirika kutokana na kuwa wazee wengi.Vipi kuhusu China wao pia wana poor healthcare?
Tatizo kubwa la Italia ni kua walishindwa kuchukua hatua za haraka, na ndio wengine wengi wamejifunza kwa kupitia kwao.
Walitakiwa wafunge mipaka mapema tu,
Walitakiwa wazuie watu wabaki majumbani kwa kipindi kirefu nyuma. Ila waliachia wakihisi watavuruga shughuli za kimaisha haya ndio madhara yake.
maambukizo ya maradhi yalikua ni mengi sana mitaani huku watu wakiendelea na shughuli kikawaida.
Nchi ya Pope unasema ya mashoga?nchi ya mashoga iyo wacha wafiane kama kuku, manina zao
Yale maji ya baraka mnayochovyaItaly kuna jambo la ziada si bure
Yukosahihi ,walishamaliza kesi zamagonjwa kama zakwenu huku ndomana watu wanaishi miaka mingi....hivyo miundominu iliyopo haikua kwajili ya covid19 ,hakuna aliyekua amejipanga ,kuhusu uchumi kidogo Italy miaka kadha iliyopita iliyumba sana inawapelekea kushindwa hatakutenga maeneo yamapambanio kama ilivofanya uchinaKuna mdau mmoja kasema kutokana na uchumi mzuri na mifumo imara ya afya Italy, wazee ni wengi sana na ndio wanaoathirika kwa kiasi kikubwa . Sijui usahihi wa hoja hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wangija baadhi wanampongeza kina le mutuz kwa kauli zake na kumuita eti ni chuma.!
Vipi kuhusu Irannchi ya mashoga iyo wacha wafiane kama kuku, manina zao
Asee una vituko weweNionyeshe mtu mweusi aliyekufa na Corona nikuonyeshe bata anayezaa 😎
Mkuu ugojwa huu hatabiriki unaweza kuupata ukapewa dawa ukapona na ukipimwa unaonekana negative, wengine wanakuwa carrier wa ugonjwa huu bila ya wao kuhathirika, wegine wanapona na kuonekana ni negative, lakini baadae wanaugua tena!!Hivi yule mgonjwa wa kwanza wa corona bongo bado hajaitwa mjengoni kupunga mikono?
Al Jazeera hawana tofauti na magazeti ya MusibaIdadi ya vifo vinavyotokana na #Covid19 imeendelea kuongezeka huko Ulaya, kwa sasa Italia imetangaza kuwa na vifo 651 kwa siku moja, idadi inayopelekea vifo ndani ya Italia kufikia 5,476
Pia Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amejiweka karantini mwenyewe baada ya kuchangamana na daktari aliyegundulika kuwa na #Covid19
Zaidi soma
Italy coronavirus deaths at 5,476 after 651 rise: Live updates
Death toll from coronavirus outbreak in Italy increases 13.5 percent as no sign of let up in killer contagion.
The death toll from the coronavirus pandemic continued its relentless rise in Europe on Sunday with Italy announcing 651 dead in one day, bringing its total to 5,476.
It was an increase of 13.5 percent but down from Saturday's figure when 793 people died.
The Canadian death toll from the coronavirus outbreak jumped almost 50 percent in less than a day, and the mayor of New York City - the US epicentre of the contagion - called the situation the greatest crisis since the Great Depression and warned hospitals would likely be overwhelmed in 10 days.
Globally, more than 13,000 people have now died from COVID-19. An estimated 92,000 of the 304,500 people who contracted the disease globally have recovered.
Source: Aljazeera
Ndani ya Itally vifo jumla ni 7,503Idadi ya vifo vinavyotokana na #Covid19 imeendelea kuongezeka huko Ulaya, kwa sasa Italia imetangaza kuwa na vifo 651 kwa siku moja, idadi inayopelekea vifo ndani ya Italia kufikia 5,476
Pia Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amejiweka karantini mwenyewe baada ya kuchangamana na daktari aliyegundulika kuwa na #Covid19
Zaidi soma
Italy coronavirus deaths at 5,476 after 651 rise: Live updates
Death toll from coronavirus outbreak in Italy increases 13.5 percent as no sign of let up in killer contagion.
The death toll from the coronavirus pandemic continued its relentless rise in Europe on Sunday with Italy announcing 651 dead in one day, bringing its total to 5,476.
It was an increase of 13.5 percent but down from Saturday's figure when 793 people died.
The Canadian death toll from the coronavirus outbreak jumped almost 50 percent in less than a day, and the mayor of New York City - the US epicentre of the contagion - called the situation the greatest crisis since the Great Depression and warned hospitals would likely be overwhelmed in 10 days.
Globally, more than 13,000 people have now died from COVID-19. An estimated 92,000 of the 304,500 people who contracted the disease globally have recovered.
Source: Aljazeera
MafuaKabla ya kupata Corona alikuwa na maradhi mkuu...fuatilia mwafrika hafi kwa mafua Kama mafua
Sent using Jamii Forums mobile app