digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Wakuu hamjambo?
Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.
Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425 wamekufa.
Mungu awarehemu, maana kwa sasa wanawazidi wachina kwa visa vya vifo, ambapo china Ina record ya 3,225 lakini wataliano idadi inasoma 3,405
Inaripotiwa kuwa hadi kufikia leo Alhamisi idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19 imefikia 3405 huku vifo vipya 427 vikitokea leo.
Aidha, idadi hiyo ya vifo nchini Italia inaipiku ile ya China ambapo vifo vilivyotokea ni 3245 tangu iliporipotiwa kwa muathirika wa kwanza mwishoni mwa waka jana.
Hivyo kwa msingi huo, inaonesha kuwa mpaka kufikia sasa taifa la Italia ndilo lililoathirika zaidi na virusi vya Corona ukilinganisha na China ambako ndiko virusi hivyo vilianzia.
===
Italy on Thursday overtook China’s coronavirus death toll, with 427 new fatalities taking its total since the first case was registered in February to 3,405.
China has officially reported 3,245 deaths since registering the first infection at the end of last year.
Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.
Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425 wamekufa.
Mungu awarehemu, maana kwa sasa wanawazidi wachina kwa visa vya vifo, ambapo china Ina record ya 3,225 lakini wataliano idadi inasoma 3,405
Inaripotiwa kuwa hadi kufikia leo Alhamisi idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19 imefikia 3405 huku vifo vipya 427 vikitokea leo.
Aidha, idadi hiyo ya vifo nchini Italia inaipiku ile ya China ambapo vifo vilivyotokea ni 3245 tangu iliporipotiwa kwa muathirika wa kwanza mwishoni mwa waka jana.
Hivyo kwa msingi huo, inaonesha kuwa mpaka kufikia sasa taifa la Italia ndilo lililoathirika zaidi na virusi vya Corona ukilinganisha na China ambako ndiko virusi hivyo vilianzia.
===
Italy on Thursday overtook China’s coronavirus death toll, with 427 new fatalities taking its total since the first case was registered in February to 3,405.
China has officially reported 3,245 deaths since registering the first infection at the end of last year.