Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

China wamewauwa wengi sana kwa makusudi
Wengi wamefungiwa ndani tena mpaka madirisha yamepigwa seal kabisa na hakuna kutoka wafe kwa njaa
Wanaokaidi wanapigwa sana
China hawana msalie hao ni kuuwa tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Italy ina idadi kubwa sana ya watu wenye umri mkubwa na ndo wanaoathirika zaidi.
Pia China kapambana sana kufika hapo alipofikia....
Nchi inayokuja kushangaza dunia ni Spain maana wao walizembea sana halo awali
 
Italy ina idadi kubwa sana ya watu wenye umri mkubwa na ndo wanaoathirika zaidi.
Pia China kapambana sana kufika hapo alipofikia....
Nchi inayokuja kushangaza dunia ni Spain maana wao walizembea sana halo awali
 
China wamewauwa wengi sana kwa makusudi
Wengi wamefungiwa ndani tena mpaka madirisha yamepigwa seal kabisa na hakuna kutoka wafe kwa njaa
Wanaokaidi wanapigwa sana
China hawana msalie hao ni kuuwa tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Bila ya ushahidi huu utakua ni udaku kama mwengine ila hawashindwi hawa washenzi kama wale waiughur wanawafanza vile unahisi wanashindwa na nn tena !?

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom