Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Hii ni hatari sasa Italy imeipiku China kwa idadi ya vifo baada ya leo vifo 400+ kuongezeka.
Hivi sababu pekee ni kuwa Italy wana idadi kubwa ya wazee? Najiuliza sehemu zingine za ulaya mbona hapapo hivyo.... Au kuna sehemu walienda wrong....All in all tusiwabeze sana coz huku kwetu ndo imepiga hodi.
God bless Italy
God bless Africa
God Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Large older population na pia hawakulichukulia hili suala kwa makini hadi ulivyosambaa sana. Yani wanakumbuka shuka wakati pamekucha.
 
Naona Irani nae anafukuzia kwa kasi nzuri..

Tafsiri ya haraka ninayopata ni kuwa china hali ilikua mbaya zaidi ila imefichwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Iran tatizo kubwa ni vikwazo vikali kutoka Marekani ambavyo vimesababisha upungufu wa vifaa tiba muhimu.

Huko China huenda baadhi ya data zilifichwa ili kupunguza taharuki kwa raia ila cha muhimu maisha yameanza kurejea upya.
 
Elungata,
Karibia nchi zote za magharibi zilizembea kuchukua tahadhari ndio maana bara la Ulaya kwa sasa ndio kitovu cha maambukizi kuliko hata China.

Ngoja tuone kama wapiga kura wao wataziadhibu serikali zao kwa uzembe maana hao ndio walimu wetu wa demokrasia.

Inashangaza jinsi mifumo yao ya afya ambayo ni miongoni mwa bora ulimwenguni ilivyolemewa ndani ya muda mfupi.
 
Sidhani kama una chanzo cha kuaminika kuthibitisha hichi ulichoandika.

Hizi ni propaganda tu za maadui na mahasimu wa China.

Mkuu Mbona waliomba ruhusa ya kuuwa 20,000 mahakamani?
Na habari ziliandikwa na wao wenyewe
Kweli ukiwa na maadui au marafiki lazima mengi yatasemwa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mkuu Mbona waliomba ruhusa ya kuuwa 20,000 mahakamani?
Na habari ziliandikwa na wao wenyewe
Kweli ukiwa na maadui au marafiki lazima mengi yatasemwa


Sent from my iPhone using Tapatalk
Duh!..hii habari ya kuomba ruhusa kuua watu na wewe uliamini ni kweli?

Hizo zilikuwa ni propaganda za mahasimu tuu

Na kitendo cha China kudhibiti huu ugonjwa mapema kimezidi kuwavuruga mahasimu wake.
 
Amin
Hii ni hatari sasa Italy imeipiku China kwa idadi ya vifo baada ya leo vifo 400+ kuongezeka.
Hivi sababu pekee ni kuwa Italy wana idadi kubwa ya wazee? Najiuliza sehemu zingine za ulaya mbona hapapo hivyo.... Au kuna sehemu walienda wrong....All in all tusiwabeze sana coz huku kwetu ndo imepiga hodi.
God bless Italy
God bless Africa
God Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!..hii habari ya kuomba ruhusa kuua watu na wewe uliamini ni kweli?

Hizo zilikuwa ni propaganda za mahasimu tuu

Na kitendo cha China kudhibiti huu ugonjwa mapema kimezidi kuwavuruga mahasimu wake.

Nimekuelewa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Napata shaka sana kusikia Italy imeipiku China na sasa inaongoza kwa vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid-19.

Virusi vya Corona vilianza kuitesa China toka December 2019. Walikuja kutoa taarifa rasmi mwishoni mwa mwezi wa January kuelekea February. Pia kuna taarifa zilitoka zikieleza kuwa hapo mwanzo mamlaka za serikali ya China ziliwakataza madaktari kutoa taarifa zozote kuhusu uwepo virusi hao hatari ndani ya nchi yao pengine wakizani wangeweza kupambana nao.

Baada ya kuona hali imekua tete na haiwezekani kuficha ndipo wakatoa taarifa. Cha kujiuliza, muda wote huo ni watu wangapi walikua wamekufa? China ni taifa linalopenda kufanya mambo kwa usili sana. Mi naamini huenda China wamekufa watu wengi zaidi ya 10,000.

Sema kukosekana kwa uwazi na tabia ya kuficha mambo ndiko kunaifanya leo Italia iongoze. Wachina siku zote vitu vyao ni feki. Hadi taarifa zao ni feki pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada vipi unauhusiano wowote na Mr. Polepole kijeba wa propoganda?
 
Back
Top Bottom