Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Ujerumani hawahesabu watu waliokufa wakiwa na magonjwa mengine pamoja na korona.
Duh!!! Ndo maana nimejiuliza mbona idadi ya wagonjwa ujerumani ni wengi lakini vifo si sana..kumbe ndo wanafanya hivyo!!!
 
Watu elfu nane ni wengi
Screenshot_20200320-133119.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran ndiyo walikuwa namba mbili kuwa na waathirika wengi baada ya China ila wameweza kupunguza kasi ya maambukizi.

Hizi nchi za China, Iran na Cuba zinashirikiana katika kutokomeza hili janga. Na kwa kiasi kikubwa wanafanikiwa ndiyo maana Italy wameomba msaada kutoka kwao.
Iran hawajapunguza kasi ya maambukizi mpaka sasa
 
Hii ni hatari sasa Italy imeipiku China kwa idadi ya vifo baada ya leo vifo 400+ kuongezeka.
Hivi sababu pekee ni kuwa Italy wana idadi kubwa ya wazee? Najiuliza sehemu zingine za ulaya mbona hapapo hivyo.... Au kuna sehemu walienda wrong....All in all tusiwabeze sana coz huku kwetu ndo imepiga hodi.
God bless Italy
God bless Africa
God Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa lao ni kukubali 5g ya China ije ifungwe kwao na ndo hapo USA alikasirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hamjambo?

Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.

Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425 wamekufa.

Mungu awarehemu, maana kwa sasa wanawazidi wachina kwa visa vya vifo, ambapo china Ina record ya 3,225 lakini wataliano idadi inasoma 3,405

View attachment 1393285

Inaripotiwa kuwa hadi kufikia leo Alhamisi idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19 imefikia 3405 huku vifo vipya 427 vikitokea leo.

Aidha, idadi hiyo ya vifo nchini Italia inaipiku ile ya China ambapo vifo vilivyotokea ni 3245 tangu iliporipotiwa kwa muathirika wa kwanza mwishoni mwa waka jana.

Hivyo kwa msingi huo, inaonesha kuwa mpaka kufikia sasa taifa la Italia ndilo lililoathirika zaidi na virusi vya Corona ukilinganisha na China ambako ndiko virusi hivyo vilianzia.

===
Italy on Thursday overtook China’s coronavirus death toll, with 427 new fatalities taking its total since the first case was registered in February to 3,405.

China has officially reported 3,245 deaths since registering the first infection at the end of last year.
UNAUKUMBUKA MGOGORO WA HUAWEI YA CHINA NA MAREKANI?
China na Huwaei yake alipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed....na kumbuka china ndo nchi pekee ilotengeneza 5g kwa sasa na ni teknolojia kubwa ya mawasiliano yenye kasi isiyo ya kawaida kitu ambacho kilimshtua mmarekani kwamba adui yake China ameweza vipi kuwa na uwezo wa kutengeneza 5g wakati yeye bado hajaweza?.halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G ya china katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.

Dunia ina mengi hii sababu ya italy kupigwa korona na mmarekani ni kwasababu walikubali China kunstall 5g network ulaya kitu ambacho marekani aliona kama chukizo kwake kwamba China anampiku na kumshinda na naanza kumsogelea polepole

#we must think out of box

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So USA ndo kafanya Italy wawe kwenye hali ile? Hebu funguka zaidi mkuu
UNAUKUMBUKA MGOGORO WA HUAWEI YA CHINA NA MAREKANI?
China na Huwaei yake alipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed....na kumbuka china ndo nchi pekee ilotengeneza 5g kwa sasa na ni teknolojia kubwa ya mawasiliano yenye kasi isiyo ya kawaida kitu ambacho kilimshtua mmarekani kwamba adui yake China ameweza vipi kuwa na uwezo wa kutengeneza 5g wakati yeye bado hajaweza?.halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G ya china katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.

Dunia ina mengi hii sababu ya italy kupigwa korona na mmarekani ni kwasababu walikubali China kunstall 5g network ulaya kitu ambacho marekani aliona kama chukizo kwake kwamba China anampiku na kumshinda na naanza kumsogelea polepole

#we must think out of box

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran ndiyo walikuwa namba mbili kuwa na waathirika wengi baada ya China ila wameweza kupunguza kasi ya maambukizi.

Hizi nchi za China, Iran na Cuba zinashirikiana katika kutokomeza hili janga. Na kwa kiasi kikubwa wanafanikiwa ndiyo maana Italy wameomba msaada kutoka kwao.
Hizi ni takwimu za leo
 

Attachments

  • Screenshot_2020-03-20-14-06-48-389_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2020-03-20-14-06-48-389_com.android.chrome.jpg
    60.6 KB · Views: 1
UNAUKUMBUKA MGOGORO WA HUAWEI YA CHINA NA MAREKANI?
China na Huwaei yake alipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed....na kumbuka china ndo nchi pekee ilotengeneza 5g kwa sasa na ni teknolojia kubwa ya mawasiliano yenye kasi isiyo ya kawaida kitu ambacho kilimshtua mmarekani kwamba adui yake China ameweza vipi kuwa na uwezo wa kutengeneza 5g wakati yeye bado hajaweza?.halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G ya china katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.

Dunia ina mengi hii sababu ya italy kupigwa korona na mmarekani ni kwasababu walikubali China kunstall 5g network ulaya kitu ambacho marekani aliona kama chukizo kwake kwamba China anampiku na kumshinda na naanza kumsogelea polepole

#we must think out of box

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kampuni gani ya Marekani ambayo ni mshindani wa Huawei katika kutengeneza vifaa vya mawasiliano
 
UNAUKUMBUKA MGOGORO WA HUAWEI YA CHINA NA MAREKANI?
China na Huwaei yake alipoanzisha Ile 5G ni Wuhan...ambapo ndipo first 5G testing bed....na kumbuka china ndo nchi pekee ilotengeneza 5g kwa sasa na ni teknolojia kubwa ya mawasiliano yenye kasi isiyo ya kawaida kitu ambacho kilimshtua mmarekani kwamba adui yake China ameweza vipi kuwa na uwezo wa kutengeneza 5g wakati yeye bado hajaweza?.halafu jiulize kwanini covid-19 ilianzia hapo hapo katika hilo jiji la wuhan...
Italy walikua washaanza ku install 5G ya china katika mikoa Yao ya kaskazini kama Milan..ukifuatilia pia corona imepiga sana kaskazini ya Italy na ndo ilikoanzia pia...soo hii 5G ndio cha kwanza kinachopigwa vita hapa pamoja na walioitengeneza iyo network
Ikumbukwe Nuclear war ikitokea Leo usifkirie itakua imesheheni mabomu kama yaliyopigwa Japan tuu,Bali vita kubwa itakayotokea itarindima kwa kurushiana magonjwa ya ajabu duniani...
Kuna kitu kinaitwa mind programming...ukiangalia zile movie za mazombie huoni kama ndio tulikua tunaanzaliwa kisaikolojia kupambana na magonjwa sugu yatayoadhiri watu wengi???.

Dunia ina mengi hii sababu ya italy kupigwa korona na mmarekani ni kwasababu walikubali China kunstall 5g network ulaya kitu ambacho marekani aliona kama chukizo kwake kwamba China anampiku na kumshinda na naanza kumsogelea polepole

#we must think out of box

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa shukrani mkuu... Lakini hili dude ni burden pia kwa US... Nimeona jana California wamefanya maamuzi magumu.
 
Back
Top Bottom