Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Leo tu watu 600+:wamekufa ,mungu awasaidie hawa watu
Screenshot_20200320-201819.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndugu zetu wanahitaji msaada wa dharura,pia Spain naye ana hali mbaya sana Jana niliona watu wanalalamika kwa kutimuliwa hospitalini wale wote ambao hawana critical conditions licha ya kuwa na maambukizi,uone ni jinsi gani kuuzuia ugonjwa huu ilivyo ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hili dude likiikamata vizuri nchi ni shida... Majuzi kipindi italy vifo vipo 200+ kwa siku niliona majeneza yanahifadhiwa hadi kanisani...leo hii ni 600+!!!! Sijui hali ipoje aisee... Naona hata spain wanaelekea huko sababu juzijuzi tu nao vifo vilikuwa 70+ per day leo wanachezea mbali!

Nadhani hii ni alert kwa nchi zetu hizi zenye case chache.... Halafu naona Chinese kwa sasa wanapata death below ten kama leo watatu tu.... Hata jana ule mji wa Wuhan kwa mara ya kwanza hakukutokea kifo since the outbreak!!! Nadhani ni wakati wao kutoa msaada sasa!!!
 
Italy walifanya uzembe, hawakuchukua hatua mapema
Leo wako siku ya kumi kwenye lockdown kwa maana hiyo asilimia kubwa ya wanaougua sasa waliambukizwa wiki mbili au tatu zilizopita
Hata hapa kwetu hali inaweza kuwa mbaya siku zijazo
 
Data za Wachina si za kuwaamini.

Cheki hii video kwa mfano mapolisi wa Kichina wameingia kwenye nyumba wamekuta watu wawili wamekufa halafu wanataka vifo vyao visiripotiwe. Je wangapi walikufa kwa mtindo huu?

 
Tarehe 12 mwezi huu walikuwa na vifo 1016 tu.

Leo hii kwa update iliyotolewa saa 10 usiku idadi ya vifo imeshagonga 4032.

Siku ya jana pekee wamekufa wagonjwa wa virusi ya Corona 627

Hali ya maambukizi na vifo imekuwa mbaya sana kwao.

So sad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tangu imeingia ni wiki mbili sasa,, wameshakufa wangapi? Updates plz
 
42774277, Hivyo vifo tumevijua kwasababu ya uhuru ya vyombo vya habari katika nchi za magharibi ya chini chini nikwamba china watu wamekua zaidi ya hao inao tangaza 3400, na Iran vile vile kwasababu no press freedom katika nchi hizo kutowa taarifa kamili, serikali zao ndozinazo wa feed vya kuongea.

Ila hu uongojwa kuingia kwenye nchi yetu masikini Tanzania ambayo hata milo mitatu kwa soku tu ni shida, nadhani tutakufa kama senene tuombe Mungu ubaki uko uko kwawenye uwezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom