Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

wanakosea wapi?
ugonjwa umeanzia China ila now waathirika zaidi ni Italy!
 
China wamewauwa wengi sana kwa makusudi
Wengi wamefungiwa ndani tena mpaka madirisha yamepigwa seal kabisa na hakuna kutoka wafe kwa njaa
Wanaokaidi wanapigwa sana
China hawana msalie hao ni kuuwa tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kitu kibaya wanaoreport hizi habari ni US ambao ni rival wa china. Kunaweza kuwa na ukweli au kusiwe na ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GRAPHU IKIONYESHA NCHI ZILIZO RIPORT VIFO VYA CORONA MPAKA KUFIKIA SASA...

Number of deaths Total (worldwide) 11,423

Italy
4,032
China
3,255
Iran
1,433
Spain
1,093
France
450
USA
275
UK
177
Netherlands
106
S. Korea
102
Germany
68
Switzerland
56
Belgium
37​

Showing entries 0 to 13 (79 entries
in total) Previous Next
 
Kitu kibaya wanaoreport hizi habari ni US ambao ni rival wa china. Kunaweza kuwa na ukweli au kusiwe na ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli Mkuu
Ila wachina hawana utani kama wameweza kukabiliana nao kwa mbinde
Kuuwa pia na kuwafunga ni njia pia zinazoweza kutumika maana jamaa ni wabishi haswa
Angalia clip ya Morocco wanavyopigwa na police
Wananchi wengine ni wabishi sana
Angalia UK wameambiwa watu wakae ndani wasiende pub ndio kwanza wanajazana
Sasa kuanzia leo 21/3 marufuku za pub, gym, na hoteli zote kwenda
Hii hatua inasaidia kutokomeza huu ugonjwa
Maneno bila vitendo haisaidii
Sydney huko wamefunga beaches zote hakuna kwenda tena
Better safe than sorry


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom