7ve
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,458
- 4,000
Ooh my kwa siku watu 600 sio kispot spot mjue hapo kuna watu wa kila namna wazee,vijana,watoto....duh mi nahisi hili game kwa Africa halija changanya tu.au na sisi ni muda wa kula bata Maana enzi za ngwengwe aka ngoma wakati imechanganya kuna baadhi ya nchi za Africa watu walikuwa wanakufa zaidi ya hao kwa siku.