T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Alisema at the end of this month then akataja tarehe.
Ndani ya mwezi huu watu elfu 23 wamefariki dunia yote.
Mpaka april 1 huenda dunia yote vifo vikafika 30k+ maana kwa hesabu za haraka watu zaidi ya 1500 huenda kila siku wanafariki.
Yani ingekuwa poa sana kama ungedondoka wewe kwanzaWatakaokufa na wafe. Hakuna namna!
Dunia itaendelea na watakaobaki!
Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.
Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!
Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!
Halafu nchi yangu anaiombea Nani, kila mtu na atabeba msalaba wake mwenyewePamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidieView attachment 1401142
Halafu mbaya zaidi angalia wanavyozikwa[emoji26][emoji22]Inasikitisha na Inaumiza Sana, ukiangalia video za watu wanavyo Lilia ndugu zao huko,unaweza ukaogopa hata kutoka njee..
Sasa na wewe "raisi" ndio kitu gani? Stupid!Angebadiri[emoji735]
Angebadili[emoji3514]
Wapuuzi kama wewe mnaniudhi sana, kuandika tu hujui halafu eti unamshauri raisi.
Stupid
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈAngebadiri[emoji735]
Angebadili[emoji3514]
Wapuuzi kama wewe mnaniudhi sana, kuandika tu hujui halafu eti unamshauri raisi.
Stupid
Asee Muombe muumba msamaha muumba wako. Hakuna aijuaye baadae yakeWatakaokufa na wafe. Hakuna namna!
Dunia itaendelea na watakaobaki!
Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.
Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!
Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!
Ni Rais ndugu siyo rais, sina nia mbayaMpumbavu wewe Mungu kakupiga kiboko cha live: Unanikosoa makosa ya kibinadamu na wewe unakosea, ulitaka kujifanya mkamilifu. Ni rais na sio raisi
[emoji2] [emoji2]
Hivi unawezaje kuunga post za watu wawili tofauti kama hivyo?
Bado sijakuelewa mkuukwa sababu Ugiriki(966) na Japan(1468), watu walioambukizwa ni wachache ukilinganisha na Italy(86000+)
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee hatari Sana
.
Hivi kwanini huko ugonjwa unaua Sana pamoja na miundombinu mizuri ya afya waliyo nayo
Ni nini hatma yetu huku pangu pakavu ?