T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Alisema at the end of this month then akataja tarehe.
Mimi niko kwenye magroup ya wafia dini nawapuuza ujinga wao. Tulibishana sana siku ile leo hola hakuna chanjo wala dawa. Mpuuzi mtupu na wafuasi wake.