Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

Wataokufa na wafe. Hakuna namna!

Dunia itaendelea na watakaobaki!

Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.

Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!

Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!
Kwa hiyo uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo?

Kwa hiyo kuzaana ni kosa ? Au imeandikwa wapi kuzaana ni kosa?

Au wewe umeokotwa huna baba,mama wala koo zitokanazo na wazazi wako? Au hawana thamani mbele ya macho yako?
 
Kuna kitabu kimoja kinaitwa,SATAN BUG,,yaani ukikisoma hicho ndo utajua hatari ya biological weapons,,yaani Bora silaha za kikemikali baada ya kupigwa baadae Hali inakua clear.satan bug kijiko kimoja tu kikiachiliwa,nusu ya wanadamu duniani wanapotea within one month
Mkuu nimekitafuta ulivyosema hivyo, nafikiri ni hiki kilichoandikwa na Alistair Maclean na nimekipakua tyr

Nitakisoma ili nielewe behind the scenes.
20200327_211821_rmscr.jpg
 
Wataokufa na wafe. Hakuna namna!

Dunia itaendelea na watakaobaki!

Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.

Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!

Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!
Vipi we hujazaliwa??

Jinga..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataokufa na wafe. Hakuna namna!

Dunia itaendelea na watakaobaki!

Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.

Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!

Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!
Mungu awasaidie kwa kweli.

Mungu alisuru taifa la Tanzania na Africa kwa ujumla.

Yani ujasiri wa kuishi kwa usalama haupo duniani tena!
Shetani na malaika wanapokutana JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nawaombea sana. Yaani nikiangalia watoto wanavyopigania uhai (kupumua kwa shida) harafu navuta hisia kama ndo mwanangu hadi machozi yanatoka. Kuna Msouth yuko Belgium ananitumia clip za wagojwa aisee unaweza fikiri ni Movie kumbe kweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu naomba na mm pm hyo video nione
 
Hahahaha mkuu punguza tungi
Wataokufa na wafe. Hakuna namna!

Dunia itaendelea na watakaobaki!

Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.

Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!

Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
WASHA TV yako international news usikie wahanga wa Corona, ndugu na jamaa zao wanahojiwa, hakuna mtu kwao uzunguni huko anaongelea kuomba Mungu!!!

Wanaongela vitu kama ku flaten the curve!

Yani mkakati wa mahesabu ya kisayansi wa ku slow down mlipuko wakati wanatafuta dawa. Nobody is talking about solving a cataclysmic pandemic through prayers!

Waafrika mkoje nyie vichwani ???
Huko kuflatern the curve kumewasaidia nini mpaka sasa hv??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angebadiri[emoji735]
Angebadili[emoji3514]

Wapuuzi kama wewe mnaniudhi sana, kuandika tu hujui halafu eti unamshauri raisi.
Stupid
ni makosa ya madogomadogo si kila mtu mwandishi mzuri, hiyo raisi uliyoandika ndiyo inaandikwa hivyo!
 
Back
Top Bottom