Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

Italy hali yazidi kuwa mbaya: Kabla hujalala tumia walau dakika moja kuwaombea kwa Mungu

Pamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidieView attachment 1401142
sasa watu wote hawa wanawazika wapi kwa wakati mmoja ????
 
Pamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidieView attachment 1401142
acha wavune walichopanda ...
 
Wewe ni mjinga kweli uchaguzi uko mwezi October huko unaathiriwa vipi na Corona ya mwezi March ?
Sisi tumeaminishwa ni ka upepo tu katapita.

Na kutuchanganya zaidi tukaahidiwa kimagumashi magumashi, uchaguzi mkuu uko palepale.

Uchaguzi mkuu wanini wakuu? Kwanini hiyo budget isiwe reallocated kuokoa watu huku ambako tayari wenzetu wananyolewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimeandika nikafuta.... basi una Uhuru wa kutoa maoni
Wataokufa na wafe. Hakuna namna!

Dunia itaendelea na watakaobaki!

Tena hii kasi ya vifo ingehamia Africa tupunguze idadi ya watu ili dunia iwe stabilized kwa uwiano sahihi wa watu na rasilimali.

Mijitu inazaa zaa hovyo tu usiku na mchana!

Dunia inazidi kuwa finyu na ngumu kwa ajili ya umati wa watu wanaotumia na kukomba kila kilichomo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimeandika nikafuta.... basi una Uhuru wa kutoa maoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mkuu! Hii ni balance of nature!

Dunia haiwezi kubeba mabilioni ya watu!

Umati wa watu unaleta magonjwa na njaa! Mpaka wengine wanaanza kula popo na wadudu.

Kisha magonjwa yanawarudia na kuwamaliza!

This is how nature balances itself!
 
Back
Top Bottom