5 itapendezaEmbu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.
Embu waza usiku fulani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini kila mtu anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, aisee. Na unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hata huko.
Inshallah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
Simba hii hii iliyotoka sare na KMC? Au ile iliyochapwa 5?Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.
Embu waza usiku fulani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini kila mtu anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, aisee. Na unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hata huko.
Inshallah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
Naunga mkono hojaKaka utakojoa kitandani. Amka
Hizo 5-1 au droo ya 2-2 hazihusiki na mashindano hayo ya FIFA.Simba hii hii iliyotoka sare na KMC? Au ile iliyochapwa 5?
Vigezo vya kushiriki iyo michuano unaijua?Embu jaribu kuwaza Simba ifanikiwe kufuzu kwenye mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yanayotarajiwa kufanyika Marekani.
Embu waza usiku fulani hivi, Tanzania nzima mijini hadi vijijini kila mtu anakesha kuisubiri mechi ya Simba vs Real Madrid, aisee. Na unajua lazima Infantino na FIFA yake wataipanga Simba kwenye mechi ya ufunguzi maana wanajua vibe letu litafika hata huko.
Inshallah, kama nitabarikiwa kuwa hai kama Simba itafuzu haya mashindano lazima niyaone live bila chenga.
Unaungaje mkono hoja topolo kama hii?Naunga mkono hoja
Vigezo vimeshawekwa. Tafuta mada ya "MADALALI WA SC" utavikuta humo.Vigezo vya kushiriki iyo michuano unaijua?
Timu iliyocheza si ni hiyo hiyo?Hizo 5-1 au droo ya 2-2 hazihusiki na mashindano hayo ya FIFA.
Kinachohusika ni zile 2-0 walizopigwa Wydad.
Kuna mchanganuo mmoja upo mtandaoni unaelezea vigezo ila kwa kifupi tu njia ya moja kwa moja kwa Simba kufuzu ni kubeba ndoo ya klabu bingwa Afrika msimu huu.vigezo vya kucheza hiyo michuano ni vipi?
Mashindano tunayoyazungumza hayafanani.Timu iliyocheza si ni hiyo hiyo?
Ngoja tuone iyo orodha itawasaidia Nini, Kama itawatoa nafasi ya 3 kwenye ligi ama itawafanya muwe na timu imara!Mashindano tunayoyazungumza hayafanani.
Maana Yanga imeipiga 5-1 Simba Lakini kwenye orodha ya vilabu vinavyoshindania kucheza Mashindano ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA 2025 HAIMO!!
Tunazungumzia mashindano ya FIFA wewe uko bize na mashindano ya TFF.Ngoja tuone iyo orodha itawasaidia Nini, Kama itawatoa nafasi ya 3 kwenye ligi ama itawafanya muwe na timu imara!
Unazungumzia mashindano ya fifa na TFF Iko chini ya mangungu Ama try again?Tunazungumzia mashindano ya FIFA wewe uko bize na mashindano ya TFF.
Ngoja tuone iyo orodha itawasaidia Nini, Kama itawatoa nafasi ya 3 kwenye ligi ama itawafanya muwe na timu imara!
Vigezo vya kushiriki iyo michuano unaijua?