Itapendeza sana Simba SC ikifuzu kucheza FIFA Club World Cup 2025

Itapendeza sana Simba SC ikifuzu kucheza FIFA Club World Cup 2025

Badala waishukuru FIFA kwa kuwafichia aibu wapo mitandaoni wanabwabwaja tu na kulalamika. FIFA wangeweka mkeka mzima, Deportivo de Utopolo wangekuwa mkiani na vipoint vyao 8. Washangae sasa jinsi wanavyomcheka yule mwenye point 45.
Hii mada ingekuwa inaihusu ile timu ya yule jamaa aliyekuwa anasisitiza kila dakika kuwa msuli hauvaliwi na kitu ndani, ingekuwa tafrani.
 
Badala waishukuru FIFA kwa kuwafichia aibu wapo mitandaoni wanabwabwaja tu na kulalamika. FIFA wangeweka mkeka mzima, Deportivo de Utopolo wangekuwa mkiani na vipoint vyao 8. Washangae sasa jinsi wanavyomcheka yule mwenye point 45.
Sawa Sawa na kumcheka Simba anaeishia robo fainali wakati yeye hajawahi kuvuka makundi tangu kombe lianzishwe😄😄
 
Back
Top Bottom